Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Crap!!
Kifupi Ni Hakuna uchunguzi hapa, kula kande zako kakojoe ulale...finito.
 
Aliomba kazi ya kuwa kiranja wa malaika kaenda kuhudumu huko
 
Watanzania gani hao wanaotaka kamati ya uchunguzi Kama siyo MATAGA?
Tatizo lenu mlikuwa mnamshangilia Magufuli kama Mungu na mioyo yenu ilimwona Kama mungu,ndo maana hamtaki kukubali kuwa ni kweli amekufa,sasa aliyemchukua ni MUNGU sasa Mungu mtamuundia Tume?
Wapumbavu sana nyie MATAGA.
 
Tume ya nini yeye ali deny science akakumbatia ndumba ? Covid denying President ....kuna haja ya tume ?
 
Wanaounda tume ni nani? Waliokua wanakutangazia mzee wetu hajambo wakati alikua anaumwa? Mzee ameshalala tumuache apumzike!
 
Na Kama itatokea tume huru ya uchunguzi wa kifo hicho Cha mpendwa wetu, basi mm napendekeza uchunguzi huo ufanywe na makachero toka Korea kaskazini, au England " Scott yard"
 
Watanzania hao wenye shuku na uchunguzi juu ya kifo cha mpendwa wetu JPM huwezi kuwakuta JAMII FORUM au TWITTER tuko wachache

Wengi sana hawana ACCESS ya hii mitandao miwili.
Kwahyo hatimae tunakubaliana kua mashabiki zake ni mambumbumbu na wasio na elimu
 
ushakutana kwanza na wanafamilia kabla ya kuja na wazo la tume?
 
Si alikuwa akilindwa na ndugu zetu upande wa pili sasa anakufaje mtu mwenye ulinzi mkali
 
Mchunguzeni Mungu kama mnaweza maana ndiye aliamua kumlipa anavyostahili kwa kuua watu wengi bila kujali.
 
There is no need of witch-hunting. It is an open truth: Heart problem under Covid-19 infection.
 
Usisahau kuunda tume na kifo cha bibi na babu yako.Pumbafu sana!Kuna majitu yalimfanya Magu Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…