Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

,,,Huna mda mchfu we na nani, eti uvae barakoa huy mamako mwenyeweumemuona anavo vaa barakoa ?,,, ni mpumbavu
Mwandiko wako utakugharimu, nakuhakikishia utagharamia matusi na uchonganishi huu unaoufanya.
 
Kwa sababu alikuwa hashauriki na kila kitu alitaka afanye mwenyewe mpaka kufukia Kula mahind ya kuchoma barabarani wakat ni hatar kiusalama basi hakuna haja ya time maana hata matukeo yakija ya namna gani hakuna wa kumlaum zaid ya Marehem mwenyewe.
Si Rais wa kwanza kula mahindi mtaani, mafano Kenyatta, amekula sana mahindi ya kuchoma mtaani, tena beach amekaa chini. Ni jambo la kawaida. Hakutaka kujitenga na jamii. Hata anapofikia kula mahindi usalama uwa upo.
Unavyosema akushaurika ni hisia zako tu. Kwani alikiri mara kadhaa kwamba alie kuwa Katibu Mkuu kiongozi mara kadhaa akitaka chukua hatua za watendaji wanao vuruga alimwomba asifanye hivyo na achukue muda. Nae alivumilia kuwatumbua mawaziri wake ambao hawakufanya vizuri.
Si hivyo tu, ni Rais alie kuwa anawapa wataalamu nafasi za kumshauri. Ni tume ngapi aliunda na kuchukua maamuzi ya tume hizo. Angalia madini. Alikutana na wafanya biashara wa madini, alikutana na viongozi wasitaafu. Na tulikuwa tunaona matokeo.
Shida kubwa wachache wanamchukuia kwa sababu hakuwapa nafasi serikalini, na pia aliziba mirija ya fedha walizopata isivyo kihalali.
 
Nad

Uuwaji unatofautiana, ndo maana kunahitajika Tume huru ili kuchunguza. Mara ngapi marais au viongozi wakubwa wameuwawa kisiri na jeshi likawa kimya? Marekani Rais Kennedy, aliuwawa tena wazi wazi, je jeshi lilifanya nini? Rais Karume aliuwawa Zanzibar mbele ya umati je jeshi lilifanya nini?
Kuna mauwaji ya siri na uwazi. Hivyo uchunguzi ni muhimu ili kujiridhisha.
Sasa wewe kudai jeshi lingefanya nini? Mfano Rais kama alipewa sumu hilo jeshi lilikuwepo kjua kapewa sumu?
Tunataka uchunguzi kuondoa utata uliopo. Mada ina maana na ni muhimu kwa maslahi ya nchi.
Mauaji yawe ya wazi au siri, yafanyike marekani au africa Kama Jeshi linalotakiwa litoe ulinzi wa Amiri jeshi lipo kimya we jiongeze.
Kama majeshi hayapo upande wa kutaka uchunguzi wa kifo cha amiri jeshi wao mkuu ni kupoteza muda kuhubiri uchunguzi maana Ts either ni natural death au wameruhusu/bariki hicho kifo.
Utapigania uchunguzi halafu nani akulinde na kuwachukulia wauaji hatua kama jeshi halina muda na uchunguzi?
 
Mauaji yawe ya wazi au siri, yafanyike marekani au africa Kama Jeshi linalotakiwa litoe ulinzi wa Amiri jeshi lipo kimya we jiongeze.
Kama majeshi hayapo upande wa kutaka uchunguzi wa kifo cha amiri jeshi wao mkuu haina maana kuhubiri uchunguzi. Ts either ni natural death au wameruhusu hilo litokee.
Swali alipouwawa Karume jeshi lilikuwepo, nini kilifanyika? Unataka kusema jeshi liliridhia? Pia Rais si wa jeshi tu ni wataifa. Hatuwezi subiri jeshi. Tunachotaka ni uchunguzi.
 
Sio kwamba walimtia ndimu
Kuficha matukio ni kawaida kwa Serikali zenye mlengo wa kidikteta Ndio maana hata swala la corona walificha ukweli kwa madai ya kuzuia taharuki kwa wananchi. So hata kifo cha Nduli walificha kwanza ili kufanya maandalizi, hawakutegemea kama jamaa angekata moto ghafla
 
Swali alipouwawa Karume jeshi lilikuwepo, nini kilifanyika? Unataka kusema jeshi liliridhia? Pia Rais si wa jeshi tu ni wataifa. Hatuwezi subiri jeshi. Tunachotaka ni uchunguzi.
Sikiliza mchunguzi, unahitaji jeshi ili uchunguzi wako uwe na maana.

Unapotoa mifano ya mauaji na jeshi kukaa kimya unaprove kuwa baada ya uchunguzi nothing will happen kama jeshi halina ushiriki.

Jeshi kama halitaki ww chunguza tu utakaa na ripoti zako, nothing will happen. Na uchunguzi ufanye kwa siri maana wakikudaka pia wengine watakuchunguza.

You need army to succeed kwenye claim zako kama zinaukweli na si propaganda.
 
Sikiliza mchunguzi, unahitaji jeshi ili uchunguzi wako uwe na maana.

Unapotoa mifano ya mauaji na matokeo ya jeshi kukaa kimya unaprove kuwa baada ya uchunguzi nothing will happen kama jeshi halina ushiriki.

Jeshi kama halitaki ww chunguza tu ukae na ripoti zako, nothing will happen. Na uchunguzi ufanye kwa siri maana wakikudaka pia wengine watakuchunguza.

You need army to succeed kwenye claim zako.
nani alikwambia uchunguzi unafanywa na jeshi? Ha ha ha! Uchunguzi uhusisha vyombo tofauti, na wataalamu tofauti. Kama baadhi watatoka jeshini sawa kinachotakiwa ni uundaji wa tume huru. Uchunguzi uwa unafanyika kwa siri na wakati mwingine uwezi tambua nani yupo katika hiyo tume ya uchunguzi. Zaidi unawez amtambua mwenyekiti wa hiyo tume lakini si wajumbe.
Wakati Nyerere alipotaka kupinduliwa uchunguzi ulifanyika chini ya chombo maalumu. Kuna wakubwa walio kuwa jeshini walio husika walihojiwa hadi kufahamika wote walio husika.
Rais ndo Amiri jeshi mkuu. Anauwezo wa kuunda chombo chochote cha uchunguzi bila hofu.
 
Kama The Hague imeshindikana, tume ya kuchunguza risasi zilipigwa na nani na walitumwa na nani imeshindikana, na mateso yanaendelea wewe unafikiri njia nyingine ingekuwa ipi?
Basi, jibu kwa wanaotaka uchunguzi ufanyike umeshawapa kwamba wewe na genge ulijualo ndio mlitekeleza nji hiyo

#Serikali chunguzeni kupigwa risasi kwa TAL, Kifo cha BWM, JPM, Upoteaji wa BSN,AG, FILIKUNJOMBE nk.

Mbona kifo cha Edward Moringe Sokoine kilifanyika na Msauzi aitwaye DUBE kushitakiwa na kufungwa. Ila bado Kifo kilibaki utata kwa kuwa kulikuwa na jeraha kama la risasi nyuma ya kichwa chake.

Isingewezekana gari likagonge gari la tatu nyuma wakati kulikuwa na magari kwenye msafara wake tena ya usalama

Kuna kiongozi mkubwa wa chama tawala alitamka hadharani mwaka 2019 kwamba Edward Moringe Sokoine hakufa kwa ajali ila aliuwawa na waathirika wa kibano alichokuwa anawapa wahujumu uchumi miaka ya 1983-1984 ilikuwa ni shida.

Kuondoa utata kwa sasa na matukio mengine UCHUNGUZI ufanyike wakati wasaidizi wake, daktari, manesi na marafiki wa karibu wakiwa ndio mashahidi. Tume iwe ni kijaji ili matokeo yake kama kuna jinai yapelekwe moja kwa moja mahakamani hapo mchezo mtakuwa mmeumaliza kisomi sio hivi sasa vitisho vya kimamlaka viatengenezwa visasi visivyoisha.
 
Iundwe tume ya kuchunguza vifo vya Ben Saanane na Azory Gwanda
 
nani alikwambia uchunguzi unafanywa na jeshi? Ha ha ha! Uchunguzi uhusisha vyombo tofauti, na wataalamu tofauti. Kama baadhi watatoka jeshini sawa kinachotakiwa ni uundaji wa tume huru. Uchunguzi uwa unafanyika kwa siri na wakati mwingine uwezi tambua nani yupo katika hiyo tume ya uchunguzi. Zaidi unawez amtambua mwenyekiti wa hiyo tume lakini si wajumbe.
Wakati Nyerere alipotaka kupinduliwa uchunguzi ulifanyika chini ya chombo maalumu. Kuna wakubwa walio kuwa jeshini walio husika walihojiwa hadi kufahamika wote walio husika.
Rais ndo Amiri jeshi mkuu. Anauwezo wa kuunda chombo chochote cha uchunguzi bila hofu.
Labda ufanywe na wanufaika but wengine tuna heshimu maamuzi ya Mwenyezi Mungu baada ya kusikia maombi ya wengi.
 
Kuna watu walisema kifo cha Mzee Mengi kichunguzwe wakihisi ulikuwepo mchezo mchafu. Lakini Mengi alifariki akiwa ni mzee wa miaka 77, umri ule ule aliokuwa nao Mwalimu Nyerere wakati anafariki 1999.

JPM kaondoka na miaka 60 huwezi kumweka katika kundi la ujana ukikumbuka ukweli kuwa alikuwa na matatizo ya moyo aliyodumu nayo kwa zaidi ya miaka 10.

Tupunguze haya mawazo ya kutafuta mchawi kila tunaposikia mtu fulani kafariki. Ni kujitafutia kuishi na sononeko la moyoni linaloumiza bila ya sababu za msingi.

Unataka ufanyike uchunguzi wa kifo cha mtu fulani wakati wewe mwenyewe ukifa hakuna atakayekuja kutaka uwepo uchunguzi wa kifo chako tena pengine watakaojua kuwa umeshaaga dunia wanaweza kuwa ni wachache kulinganisha na wote wanaokufahamu!.

Maisha mafupi haya, tupunguze unyonge wa moyoni.
 
Back
Top Bottom