Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Mi nafikiri tungeanza kukubali wachunguzi huru kwa tukio la Lisu alafu ndio tuje kwa Magu ili kuonyesha wananchi hakuna upendeleo linapokuja swala la haki ya kuishi kwa kila Mtanzania
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Huyo tu uhai wake una thamani kubwa kuliko wa B. Saanane, Azory, Tundu Lissu, Mawazo nk?
Mbona mpk anatuambia kikwete alizungumza nae Jana yake usiku na kuambiwa angeruhusiwa kutoka hospital siku inayofuata, lakini usiku huo magufuli akatangaza kifo chake.

HAPA NAPO VIPI NO DOUBT?

KUWENI NA AKILI NINYI, AUAYE KWA UPANGA , KWA UPANGA HUO ATAUAWA
 
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Unachoandika hata sikuelewi. Make naanza kujiuliza ni muelewa kweli? Hivi tume inaanzishwa au inaundwa? Na unajua watu wenye mamlaka wenye kuunda tume? Nisiwe najibizana na mtu ambae hata aelewi taratibu mbalimbali za kimfumo.
Naona unajibu tu kujifurahisha. Sijaona point unayoiongea. Bali upo kujibishana lolote linalokuijia unaliandika.
Niseme umeshinda kwa mawazo yako yasiyo ya kisheria bali unavyowaza tu unakisema.
Wewe ndo kichwa chako kimejaa propanganda. Sioni ukijibu hoja kwa taratibu na sheria ila unajibu tu mradi umejibu. (Kuropoka).
Hongera! Ila madai yatume yataendelea siku zote.
Tuondolee upupu hapa na wewe, sheria sheria....sheria gani? Hiyo sheria ipo kwa Magu tu raia wengine wa Tanzania Hawana haki kisheria?!!! Nakuuliza Tundu Lissu Hana haki kisheria? Azory gwanda, Ben saa nane, akwilina akwilini, maiti za ufukweni, mawazo nk nk hawana haki kuundiwa Tume?!!!!!
Acha kabisa kuamsha khasira za watu, mwache mwenda kuzimu alale zake huko.
 
Mdanganye mwenye dhamana ya kusikiliza sauti za wananchi huku ukimng'ong'a


Sikiliza ni hivi

The investigation is vital to be conducted now before it is too late to conceal the truth behind the scene.

The Investigative Decision Making Entails the following

• Establish that an offence has been committed, by who, when, how (to uphold the modus operandi details with lead highlights) and why or has not been committed.
• Gather all available information, material, intelligence and evidence (The factual text must be substantially objective with details verified against records and pieces of information received from reliable and credible sources)
• Act in the interests of justice without intimidation or coercion
• Rigorously pursue all reasonable lines of enquiry.
• Conduct a thorough investigation leaving no shadow of doubt to prove or disprove.
• Identify, arrest and charge offenders.
• Present all evidence to the prosecuting authorities for the case to be determined its dimensional impact on the community
*The investigation must adhere to the Golden Rule in investigation roles
A. Assume nothing
B. Believe nothing
C. Challenge and check everything (Check & Confirm in the balance of probability)

The leaders entrusted to govern for the interests of the people owes to do the following as a binding contractual obligation:
1. Listen to members of the public concerns and decisively find the right ways to address
2. Listen to citizens and take their concerns seriously with justice expectations
3. Investigations should be impartial and unbiased
4. Inspire confidence and provide reassurance
5. The investigation must be led under very strong confidentiality because at the
beginning nobody knows if the facts are true or not
4. Support with information, advice and guidance
5. Take ownership and record citizen concerns correctly to details
6. Explain what you shall do and why to prevent a recurrence
7. Notify the public of the findings and cause of action

Kwanini CDM wamelalamika kuhusu DC wa hai kupitia mitandao na hatua zimechukuliwa haraka tena kwa barua rasmi lakini kwa hawa wanaohoji na kuomba uchunguzi ufanyike dhidi ya kifo cha JPM imekuwa nongwa? Kuna nini na kwa sababu gain?
Don't waste your precious time with small things mbavyo havina maslahi yoyote kwa taifa! Tafuta kazi ya kufanya ili upate mkate wa siku mbili tatu mbele!
And don't forget that barking dog never stop the lorry! Waache wanaobweka wabweke kwani hawatasababisha pancha!
 
Shaka na mimi ninayo.

Wasaidizi wake wa karibuwalitanguliia mauti. Kelele zikapigwa sana akubali masharti ya WHO kuhusu koroa ikiwa ni pamoja na chanjo.

Alipofariki hatujasikia tena viongozi wakifariki. Nini kimetokea? Kama kaondoka na korona ya nini Tume na maelekezo kibao!!!
Sasa Kama walikuwa hawachukui tahadhari za kitaalam dhidi ya ugonjwa wasife kwa Nini? Kwan wao miili yao imeundwa kwa Chuma?!! Na kwani hata chuma si hupiga kutu na kusagika?
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

Kwa hiyo unapendekeza, kila aliyekufa kwa corona aundiwe tume?
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


HAKUVAA BARAKOA, AKAJIFANYA MBABE HAJALI CORONA, AKAUGUA CORONA KAMA ALIVYOUGUA MAALIM SEIF SHARIF HAMAD NA PIERRE NKURUNZIZA NA MKEWE, HALAFU AKAFA KWA SABABU YA UKAIDI WAKE. PIA GWAJIMA AKASHINDWA KUFUFUA, SASA WEWE NA AKILI YAKO YA OVYO UNATAKA UCHUNGUZI WA NINI? AU WASUKUMA HUWA CORONA (KOLONA ) INAWAAGOPA???? ACHA UJINGA WEWE!
 
Kwa hiyo unapendekeza, kila aliyekufa kwa corona aundiwe tume?
Tunapendekeza iundwe Tume ili kuondoa mizozo kwa Raia sababu Wana maswal mengi ya kujiuliza pia hata wewe unaweza kua moja ya sababu ya sis kudai uchunguzi ufanyike sababu unawasi wasi Sana juu ya uchunguzi sijui unaogopa nn
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Wasukuma huwa wana mambo, mtu akifa kalogwa tu. Mtu akiugua kipindu pindu, dysentery, au kichocho ni kalogwa tu. Sijui mtaelimika lini?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Unataka kuchunguza kuhusu nini wakati inajulikana kwamba COVID 19 ndiyo iliyofanya lile Watanzania wengi walikuwa wanalitaka litokee kuhusu yule dhalimu!?
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.

 
kuandika mengi

si hoja, shida ni uvivu wako wa kusoma. Ndo maana unajibu havieleweki. Hujui kujenga hoja kwa misingi ya kisheria. Bali umejazwa na ushabiki ukidhani huyo samia atakuona weye wa maana.
Hoja ya kuundwa Tume huru itaendelea na haitakufa na ipo siku yatafanyika. Samia si Mungu na muamuzi wa yote, ni binadamu wa kawaida, alie pewa dhamana ya Urais kuwaongoza watanzania. Si mbaguzi ni mama alie na akili na mwelewa pia msikivu. Na ukubali kukosolewa.
ya kesho huyajui.
Nasisitiza kamati huru iundwe kuchunguza kifo cha Magufuli, kama unaumia umia.
Watanzania kwa kupenda tume!

Mbona Mhe. Samia aliliweka vizuri suala hilo,alisema mwenye ushahidi ajitokeze na akapeleke ushahidi huo Polisi.Sasa kama una ushahidi si upeleke tu kwenye vyombo vya usalama.Pengine ushahidi wako ukionekana relevant siyo lazima iundwe tume, achaneni na kasumba ya tume.
Serikaki ikipata viashiria vya hujuma inaweza kutafuta wataam kwenye taasisi za kimataifa kama Scotland Yard wakachunguza na kubaini ukweli.
Otherwise Haya mambo ya kuunda tume ni namna fulani ya kujitafutia ka-ulaji ili maisha yaendelee.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kwa Kodi za nani au wewe ndio utawalipa Posho hao watakaounda Tume ?
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?


Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Tume ya nini lila mtu mwenye akili timam anajuwa magufuli kafa kutokana na tatizo la moyo lililosababishwa na covid19 .ndio maana sasa watu hasa viongozi wavaa barakoa kwenye mikusanyiko mikubwa magufuli ushamba wake wakuona Dunia nzima watu ni wabumbavu ndio vilivyo sababisha kifo chake lakini hata hivyo tunashkuru kaondoka mapema.
 
Tuondolee upupu hapa na wewe, sheria sheria....sheria gani? Hiyo sheria ipo kwa Magu tu raia wengine wa Tanzania Hawana haki kisheria?!!! Nakuuliza Tundu Lissu Hana haki kisheria? Azory gwanda, Ben saa nane, akwilina akwilini, maiti za ufukweni, mawazo nk nk hawana haki kuundiwa Tume?!!!!!
Acha kabisa kuamsha khasira za watu, mwache mwenda kuzimu alale zake huko.
Nimefuatilia kutoka mwanzo wa thread nimegundua mnabishana na mwanachuo wa sheria first year!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Kodi za nani au wewe ndio utawalipa Posho hao watakaounda Tume ?
Kama Ni yeye anagharamia si ni heri akaitoe kwa watoto yatima? Na Kama Ni Serikali inatoa si ni heri iongezewe kwenye bajeti ya kukamilisha katiba mpya au walau iongezewe kwenye bajeti ya ulinzi wa mama yetu SSH

Watumishi wa Serikali hawajalipwa madai yao Hawa washamba wanaleta za kuleta hapa
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Shangazi zake Majaliwa hao aliotaka kuwatandika kwenye maandamano ya korosho wakaamua kumtandika yeye.
 
Hiyo tume naomba GWAJIMA ASKOFU asiwepo kwa sababu anaweza kuturudishia shida ambayo MUNGU alituondolea.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Hiyo tume ikishaundwa ikagundulika walimuua, atafufuka?. Umeandika upuuzi .............
 
Back
Top Bottom