Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Napendekeza iundwe Tume Huru ya kuchunguza kifo cha Hayati Magufuli

Yaaah na ndo wapiga kura halisi, pia wahudhuriaji kampeni, safari hii 2025 huyu mama atapiga kampeni sijui wapi na chama chake.

Ni heri aanze kusafisha kwa kutembelea wananchi.
Yafaa ukaonane na Askofu Gwajima amfufue. Sijui anangoja nini?
 
Nadhani hata hujui nilichoongelea unakurupuka kuandika. Fatilia ujue nini kinaongelewa na kwnini. Si kuwashwa ukisikia tu Lisu basi unaandika bila kujua story imeanzia wp. Sasa upupu uloandika ndo dawa. Watu wengine. Think before you allow your mind to narrate on the issue or topic presented. Si kuja na vijineno ukajiona unamdomo mchafu. Matusi nayajua ila nafanya staha.
Acha kulia unapokumbushwa tabia za Marehemu wako. Hata hivyo kwani Askofu Gwajima kashindwa kabisa kumfufua?
 
Kutukana wazee wa mila si jambo jema - hapa alikuwa anaonywa tu.
Hakurudi tena kusini.
Ukiwa na waganga wasikuaminishe kwamba wao ndio mwisho, waganga uwaaingiza Sana watu chaka
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.
Huu ni upumbafu na uchochezi uliopitiliza taarifa kwa umma amefariki kwa ugojwa wa moyo ambapo aliumwa miaka kumi iliyopita sasa uchunguzi upi! Wakati mgombea mwenzake alipigwa risasi zaidi ya 16 uchunguzi wala haukufanyika, peleka upumbafu wako huko




Video ya tukio la moshi hio apo chini.

 
Kama haikuundwa tume wakati mzee nyerere alipofariki walisema mkapa ndio aliefanya mpango ule yakapita tumesahau...mtu aliondoka na lake halipo Kama serikali iliahindwa kuunda tume kwa wananchi mbalimbali waliopoteza maisba na kupotea katika mazingira yakutatanisha ni heri tusipoteze muda ziundwe tume zakutatua matatizo na changamoto za wananchi
 
Hizi story za kifo cha mwendazake tuzifunge sasa. Tuangalie nchi inajengwaje na rais aliopo sasa mheshimiwa Samia Suluhu Hassani.
 
Habar watanzania lengo langu la kuanzisha huu uzi si kwa Nia Mbaya ila nikutaka tu Kumaliza Maswali ya Watanzania wengi wanao shuku kua Hayat kafanyiwa hujuma.

Baada ya kuona mambo mengi Yanayo endelea kwenye mitandao ya kijamii na mitaani. ni wazi kabisa Baadh ya watanzania walio wengi Wana shuku kifo cha Hayat Magufuli na kudhan kua kifo chake kina Hujuma.

Serikal iheshimu mawazo ya watanzania tunao tilia shaka kifo cha Rais wetu na izingatie kwa kuunda Tume huru ya uchunguzi.

Mimi Binafsi nikikumbuka Tukio la ule Moshi uliomfata Hayat Magufuli Mtwara alipokua kwenye Gari bila kujulikana wapi umetokea na kuzua Taharuki nazid kua na mashaka kua Huenda zile zilikua baadhi ya mbinu za kutaka kujaribu na zilishindwa Lakini waliojaribu hawakuacha.

Pia wasiwas wetu unakua mwingi baada ya Habari kua nyingi za magufuli kafarik kabla hata ya serikal kutangaza huku picha za Gar la mait ambalo lilibeba mwili kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii

Kwanini Kina Tundulisu na kigogo walikua wanapata taarifa na walikua na uhakika kabisa kua mzee lazima afe na asipo na wengine kusema kabisa mzee kafa

Kwanini kifo chake walikitangaza Adui zake uku wakisherekea ushind

Kwanini kabla Magufuli yupo Hai viongoz walianguka kama kuku Tena wa karibu yake ila baada ya yeye kufa Hamna kiongoz hata mmoja alie kufa?

Huwezi kusema ule ulikua uchawi sababu hakuna uchawi na wala siamini uchawi kama upo.

Sasa ili kujiridhisha Basi serikal ifanye uchunguzi na uchunguzi uwe wa wazi ili kufuta hii shauku ya Baadhi ya watu kwani ikiendelea ivi na serikal kukaa kimia huwezi jua Baadaye itakua na madhara gani pia huto jua maadui baadae wanaweza kuutumia huu uvumi kama silaha so nibora serikal ilimalize kwanza ili swala kwani kila siku mambo yanazid kupamba moto.

Video ya tukio la moshi hio apo chini.


Kwa haya yanayoendelea hapa nchini kuanzia alipozimika tarehe 09/ 03/ 2021 hadi kufika leo 23/ 05/ 2021 takriban siku 70 mambo yamebadikika Sana.

Kwa ukweli uliopo Tanzania ya sasa hata AKIFUFULIWA, ataomba AULIWE mwenyewe baada ya Dakika 5 tu.

Hawezi kuthubutu kuona namna alivyosalitiwa kwanza na waliomuunga mkono kisengerenyuma. Na pili jinsi WATANZANIA wakivyoojaa FURAHA
 
Uchunguzi hautafanyika Ila kama kuna mkono wa mtu basi nae atamfuata mwendazake siku si nyingi.
 
Back
Top Bottom