Dogo sensa sio kama unavyofikiria kwa nchi hizi maskini.
Kulikuwepo na kitu kinaitwa EPR ( village electronic population register) wakapewa baadhi ya hao unaosema kwa baadhi ya wilaya hela nyingi zikatumika ,ulizia matokea yake..
Alafu ujue sensa sio kuhesabu watu like 1,2,3,...n hapana,sensa inajumuisha demographic variable nyingi, economic variable nyingi, social variable nyingi.
Na sasa kuna variable za majengo na anwani za makazi na huwezi mpa tablates mjumbe akaanze kuhesabu watu.
Sensa kwa afrika ni very cost fully
Wenzetu wazungu wameendelea kijitali ndio maana kwao hutasikia sensa period .Coz wanatumia de facto method of sensa.