Napendekeza kura za uchaguzi mkuu zipigwe kwa kutumia Tigo pesa

Napendekeza kura za uchaguzi mkuu zipigwe kwa kutumia Tigo pesa

Itakapofika uchaguzi mkuu 2025, mtu aruhusiwe kupiga kura kwa kutumia simu yake ya mkononi kwa kutumia mifumo ya mobile money.

Pawekwe kipengele cha kupiga kura kwenye menu, ambapo atachagua Rais, Mbunge, Diwani, kisha atatuma kura yake.

Kwa wasio na simu wataenda kwa mawakala kwa kutumia alama za vidole zilizosajiliwa na Nida, atatumia tu mashine zile zile za bank au smartphone za mawakala zilizoongezwa kipengele cha kupiga kura.

Kwa kuwa pesa za kwenye Tigopesa ni ngumu kuiba, hata hizi kura zitakuwa salama.

===========================
KURA kuwa treated kama CURRENCY

“Kura ikitumwa inahuishwa kwenye servers zote instantly hadi zile zilizopo kwenye bank za nje ya nchi.

Sasa ukibadili taarifa kwa kufoji kwenye server moja, server zingine zote zitakataa kureconcile na server yako iliyochezewa.

Ni kama unavyotuma oesa toka Airtelcmoney kwenda kadi ya bank ya Visa au Mastercard inayofanya malipo marekani, taarifa zote zinahuishwa kote, lazima pawe na reconciliation, huwezi kufoji chochote!

Kimsingi hapa, tunachukulia kura kama ‘Currency’, na inakuwa treated just like currency, yaani kuiba kura inakuwa kama umeiba pesa!! Na ukituma kura ni sawa na umetuma pesa!!”

Na kama jinsi unavyoangalia salio lako la bank au simu kwa uhakika kabisa, basi hata NEC wataweza kupata matokeo ya Urais, Ubunge na Madiwani kwa kuangalia tu salio lao kama mtu anavyoangalia salio lake kwa simu.

Mabank na mitandao ya simu itaingiza pia kipato kwa kuruhusu mifumo yao kutumika, wanaweza wakalipwa Lumpsum watakayokubaliana na NEC.
Ana hoja
Asikilizwe 🤣
 
Itakapofika uchaguzi mkuu 2025, mtu aruhusiwe kupiga kura kwa kutumia simu yake ya mkononi kwa kutumia mifumo ya mobile money.

Pawekwe kipengele cha kupiga kura kwenye menu, ambapo atachagua Rais, Mbunge, Diwani, kisha atatuma kura yake.

Kwa wasio na simu wataenda kwa mawakala kwa kutumia alama za vidole zilizosajiliwa na Nida, atatumia tu mashine zile zile za bank au smartphone za mawakala zilizoongezwa kipengele cha kupiga kura.

Kwa kuwa pesa za kwenye Tigopesa ni ngumu kuiba, hata hizi kura zitakuwa salama.

===========================
KURA kuwa treated kama CURRENCY

“Kura ikitumwa inahuishwa kwenye servers zote instantly hadi zile zilizopo kwenye bank za nje ya nchi.

Sasa ukibadili taarifa kwa kufoji kwenye server moja, server zingine zote zitakataa kureconcile na server yako iliyochezewa.

Ni kama unavyotuma oesa toka Airtelcmoney kwenda kadi ya bank ya Visa au Mastercard inayofanya malipo marekani, taarifa zote zinahuishwa kote, lazima pawe na reconciliation, huwezi kufoji chochote!

Kimsingi hapa, tunachukulia kura kama ‘Currency’, na inakuwa treated just like currency, yaani kuiba kura inakuwa kama umeiba pesa!! Na ukituma kura ni sawa na umetuma pesa!!”

Na kama jinsi unavyoangalia salio lako la bank au simu kwa uhakika kabisa, basi hata NEC wataweza kupata matokeo ya Urais, Ubunge na Madiwani kwa kuangalia tu salio lao kama mtu anavyoangalia salio lake kwa simu.

Mabank na mitandao ya simu itaingiza pia kipato kwa kuruhusu mifumo yao kutumika, wanaweza wakalipwa Lumpsum watakayokubaliana na NEC.
Unawajua CCM-NEC vizuri wewe lakini[emoji848][emoji848]?? hata hiyo Tigo pesa yenyewe unaweza amka imeibwa kabisa au kufilisika na haiwezi kuhesabu tena hasa kama wanashindwa uchaguzi wa rais. Over [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Unawajua CCM-NEC vizuri wewe lakini[emoji848][emoji848]?? hata hiyo Tigo pesa yenyewe unaweza amka imeibwa kabisa au kufilisika na haiwezi kuhesabu tena hasa kama wanashindwa uchaguzi wa rais. Over [emoji125][emoji125][emoji125]
Mifumo ya kibank ni very solid, huwezi chezea kizembe
 
Tuendelee kuwapa ushauri, kama kweli wana ni ya kutenda haki, basi hawana budi kuoboresha na kurahisisha mifumo
Tokea lini hawa jamaa wakatenda haki?njia za wazi hawawezi kubali wanataka zile zinazochakatika.Tupo bado enzi za zamani sana ,nchi nyingi duniani wame advance vote through electronics sisi tunang'ang'ania makaratasi
 
Tokea lini hawa jamaa wakatenda haki?njia za wazi hawawezi kubali wanataka zile zinazochakatika.Tupo bado enzi za zamani sana ,nchi nyingi duniani wame advance vote through electronics sisi tunang'ang'ania makaratasi
Kazi yetu ni kuongea na kushauri tu, hadi watuchoke wenyewe
 
NEC waanze maandalizi ya upigaji kura unaotumia teknolojia za kisasa zaidi za kibayometriki
 
 
Hii hoja ulifikiria mbali sana ingawa sijui ufanisi wake utakuwaje. Mtu mmoja kasajili line 5, watadhibiti vipi?
NIDA namba ni moja tu kwa mtu mmoja. Tangazo lilishatolewa kwamba kila mtu anapaswa kukagua namba zote zilizosajiliwa kwa NIDA yake, na afute zile ambazo hazitambui, na ni zoezi endelevu. Hivyo NIDA namba ikishatumika kupiga kura, haiwezi tena kutumika, maana finger print ni unique..
 
Itakapofika uchaguzi mkuu 2025, mtu aruhusiwe kupiga kura kwa kutumia simu yake ya mkononi kwa kutumia mifumo ya mobile money.

Pawekwe kipengele cha kupiga kura kwenye menu, ambapo atachagua Rais, Mbunge, Diwani, kisha atatuma kura yake.

Kwa wasio na simu wataenda kwa mawakala kwa kutumia alama za vidole zilizosajiliwa na Nida, atatumia tu mashine zile zile za bank au smartphone za mawakala zilizoongezwa kipengele cha kupiga kura.

Kwa kuwa pesa za kwenye Tigopesa ni ngumu kuiba, hata hizi kura zitakuwa salama.

===========================
KURA kuwa treated kama CURRENCY

“Kura ikitumwa inahuishwa kwenye servers zote instantly hadi zile zilizopo kwenye bank za nje ya nchi.

Sasa ukibadili taarifa kwa kufoji kwenye server moja, server zingine zote zitakataa kureconcile na server yako iliyochezewa.

Ni kama unavyotuma oesa toka Airtelcmoney kwenda kadi ya bank ya Visa au Mastercard inayofanya malipo marekani, taarifa zote zinahuishwa kote, lazima pawe na reconciliation, huwezi kufoji chochote!

Kimsingi hapa, tunachukulia kura kama ‘Currency’, na inakuwa treated just like currency, yaani kuiba kura inakuwa kama umeiba pesa!! Na ukituma kura ni sawa na umetuma pesa!!”

Na kama jinsi unavyoangalia salio lako la bank au simu kwa uhakika kabisa, basi hata NEC wataweza kupata matokeo ya Urais, Ubunge na Madiwani kwa kuangalia tu salio lao kama mtu anavyoangalia salio lake kwa simu.

Mabank na mitandao ya simu itaingiza pia kipato kwa kuruhusu mifumo yao kutumika, wanaweza wakalipwa Lumpsum watakayokubaliana na NEC.

==========================
Update: 29/06/2023


===========================

Sijui kwanini mtu ikitokea ukawa na simu ya mkononi, unakuwa unaamini kila mtu ana simu yake ya mkononi.

Ova
 
NIDA namba ni moja tu kwa mtu mmoja. Tangazo lilishatolewa kwamba kila mtu anapaswa kukagua namba zote zilizosajiliwa kwa NIDA yake, na afute zile ambazo hazitambui, na ni zoezi endelevu. Hivyo NIDA namba ikishatumika kupiga kura, haiwezi tena kutumika, maana finger print ni unique..
Labda tutumie fingerprint. Unakuta namba zingine umemsajilia mtoto, nyingine ya simu ya kubaki nyumbani nk. Vile vimashine vya fingerprint vitafaa sana kurahisisha mambo na itaupdate database ya fingerprint pia
 
Sijui kwanini mtu ikitokea ukawa na simu ya mkononi, unakuwa unaamini kila mtu ana simu yake ya mkononi.

Ova
Mbona kwenye uzi nimeeleza nini kifanyike kwa wale wasio na simu? Unafaidika nini kukurupuka kucomment bila kusoma thread?
 
Back
Top Bottom