Pre GE2025 Napendekeza Mkoa wa Samia uanzishwe kumpa hamasa Kiongozi na jemedari wetu jasiri azidi kutuletea maendeleo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mimi sitafuti kazi ila nimetoa maoni yangu na Haki yangu kidemokrasia
 
Ili kumuenzj kisawasawa badili jina lako na la ukoo mzima wajiite jina lake Kwanza.
Aise njaa mbaya
 
Picha yake kwenye sarafu inatosha,Hilo pendekezo.lako ni ujinga
 
ukichunguza asilimia kubwa ya waliochanja chanjo za kovidi ndio wanauchawa uliopitiliza kuna namna ile chanjo inaharibu akili za watu
 
Wew ndo yule mwenye kifua kipana mkwe wa mama uliyepewa tamisemi
Unasifia mpa unapitilia

Huu upumbavu wako peleka kizimkazi
 
Maendeleo gani unayotaongelea kama bado tunauziwa Data kwa mafungu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…