Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
- Thread starter
-
- #141
Mimi sitafuti kazi ila nimetoa maoni yangu na Haki yangu kidemokrasiaHizo ni lugha za kisiasa zilizojaa uchawa! Ilivyo maendeleo yanaletwa na Wananchi wenyewe siyo rais! Wananchi ndiyo walipa kodi ya kuendesha serikali inayoongozwa na kusimamiwa na Rais aliyeajiriwa na wananchi.
Kwa hiyo badala ya kutafuta kazi kwa njia ya uchawa tufanye kazi ili tuendelee.
Hilo siyo lengo la Uzi huu jaribu kupitia upyaIli kumuenzj kisawasawa badili jina lako na la ukoo mzima wajiite jina lake Kwanza.
Aise njaa mbaya
Picha yake kwenye sarafu inatosha,Hilo pendekezo.lako ni ujingaWadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
Picha yake kwenye sarafu inatosha,Hilo pendekezo.lako ni ujinga
Ntakuwa chawa wako maana unaumia sana nikiwa chawa wa SamiaLadyboy wetu na uchawa🤣🤣 dada acha uchawa
Ntakuwa chawa wako maana unaumia sana nikiwa chawa wa Samia
Sasa Mimi nitakuwa chawa wako SasaNime tafuta chawa wa Rutto sijapata. Mimi ni dawa ya machawa nchi hii imechoka uchafu
Wew ndo yule mwenye kifua kipana mkwe wa mama uliyepewa tamisemiWadau hamjamboni nyote?
Napendekeza Mkoa mmoja upewe jina la Mama Samia ikiwa ni njia ya kumuenzi & kumpa hamasa azidi kuchapa kazi Kwa nguvu kubwa kwa maslahi mapana ya Watanzania.
Mama huyu aliye jemedari mahiri amefanya makubwa yenye manufaa
Ndiye mwanamke pekee aliyewahi kuongoza Jamhuri ya Muungano wa tanzania tokea nchi yetu update uhuru
Ndiye mwanamke pekee Afrika Mashariki na kati kuongoza nchi akiwa Amiri Jeshi Mkuu
Naam Mkoa wa Samia ni muhimu uwepo Ili kumuenzi Kiongozi wetu mpendwa
Watanzania wote Wazalendo tuungane kwa pamoja kuunga mkono hoja hii muhimu.
Wabunge wetu pia msituangushe mtuunge mkono kuhakikisha kuwa jemedari wetu anaenziwa
Niwatakie mchana mwema
HapanaWew ndo yule mwenye kifua kipana mkwe wa mama uliyepewa tamisemi
Unasifia mpa unapitilia
Huu upumbavu wako peleka kizimkazi
Mapambio yamezidi maarifa.Hilo siyo lengo la Uzi huu jaribu kupitia upya
Umetoa wapi hayo matokeo ya huo utafiti?ukichunguza asilimia kubwa ya waliochanja chanjo za kovidi ndio wanauchawa uliopitiliza kuna namna ile chanjo inaharibu akili za watu
Ni maoni yako, ni Haki yakoMapambio yamezidi maarifa.
Uwanja haumtoshi wa Arusha.
Au shule ya wasichana Arusha.
Ama anatumia hela za mshahara wake na sio Kodi zetu?!.
Mnaboa hakika.
Lucas
kwa wajinga kama wwUmetoa wapi hayo matokeo ya huo utafiti?