Napendekeza Rais wetu aitwe Mungu

"Kajenga hiki, kanunua kile, kapiga mwingi, kasambaza dawa, brbr, shle, kaleta maji, mvua ...kila kitu." Mtu wa namna hii, hastahili jina flani, lipi kama sio hilo?! Yy kapendkeza, Chawa toeni pendekezo kama mwaona jamaa kakosea ...nk
CC
Look us muwa wa shamba
 
Wenye akili tumekuelewa message yako.
watz ni watu wapumbavu sana
 
Ukiona hivyo, ujue. Imekuingia barabara mwanangu. Ni suala la kuwa na akili tekenyeshi na tunduizi ndilo limenisukuma kuwaza hivyo na pia tokana na misifa anayomwagiwa.
Sema misifa hewa,

yule fundi mkuu wa nguo aliye sanifu mshonea vazi hewa mfalme anamdanganya na vazi hewa siku zaja mfalme atakapolivaa Hilo vazi ambele za watuwakiogopa kumwambia ukweli wakimsifu kwa vazi maridadi lakini akaja mtoto mdogo atamcheka na kumyioshea kidole kuwa mfalme kuwa yu uchi
 
Kuna Prof mmoja sijajua kwa njaa, hofu ama kutojiamnini kwake alitamka waziwazi akimwita Rais wake wa nchi nanukuuu "Muheshimiwa Mungu...."
Mpaka leo hajawahi kufuta kauli hiyo hadharani, asifikiri tumeshasahau.
 
Wale wadudu wachafu/chawa watakubaliana nawe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…