Napendekeza serikali ifunge projector madarasa yote shule za msingi badala ya kuajiri walimu, hii itasaidia kuokoa takriban trillion 3 Kwa mwaka

Napendekeza serikali ifunge projector madarasa yote shule za msingi badala ya kuajiri walimu, hii itasaidia kuokoa takriban trillion 3 Kwa mwaka

Yaani huo ndo utafiti wako! Usikurupuke soma Tena kabla hujatuma, yaani umechukua sample English medium tu afu ukatoa conclusion pamoja na Swahili medium pia! Kule msingi Kila mwalimu ni mahiri kwenye somo Fulani kama sekondari tu ila kutokana na uhaba wa walimu kulingana na wanafunzi ndio maana wanalazimishwa wafundishe yote tu, Sasa kinachotokea mwl anafundisha anachoweza kwenye somo Hilo asilonaumahiri nalo,
Hapo ni suala serikali kuajiri Kila mwaka pia hata vyuo vya kati viwe na masomo ya kufundishia yaani wale wanaosoma cheti. Yote kw yote mkono wa serikali uwe mrefu kwa maslahi ya hao walimu na seminar ziwe za kutosha!
 
Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.

kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.

Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.

Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vipindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.

Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.

Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!

Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.

Najua nimeeleeweka.
Wewe ulifundishwa na nani ukajua kuandika, kuhesabu na kusoma ulifundishwa na nani hadi ukafikia level uliyonayo kwa sasa. Kinyume na hapo ruhusu nikuite mpumbavu kama sio mjinga
 
Kwanini usiwafungie watoto wako projector ukawapa madini hayo halafu wakaenda kufanya necta kama private candidate
 
Hivi mbona jamii forums ya zamani sio kama ya sasa. Zaman kulikuwa na watu wwnye akili sana hatujuwa na wajingawajinga wengi humu, saiz tumevamiwa na watoto wapuuzi sana vipo vingine vina u de 18 humu, bado kidogo watakuja wale anatuma picha ana vichupi anaweka na namba ya simu kama ilivyo fb, ticktock na insta
 
Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.

kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.

Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.

Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vipindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.

Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.

Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!

Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.

Najua nimeeleeweka.
nchi gani kati ya zile za ulimwengu wa kwanza wanatumia mfumo huu yaan walimu wanasahihisha tuu lkn wanafunzi wanafundishwa na projector?
 
Wazo lako zuri sana... Na ndiyo kinachofanyika kwenye shule za private, government bado sana...
 
Ungalikua karibu yangu ningalikupulika kwenzi la maana akiri ikurudie unamawazo ya kiwaki
 
nchi gani kati ya zile za ulimwengu wa kwanza wanatumia mfumo huu yaan walimu wanasahihisha tuu lkn wanafunzi wanafundishwa na projector?
Kule walimu wanaingia darasani kila siku, huku mwalimu kwa makusudi kabisa haingii darasani mwezi mzima, anapeleka wanafunzi kulima shamba lake, tufanyeje sasa?
 
Amka acha kuota ndoto, nchi kubwa hii
 
Nilikuwa napendekeza hawa walimu ambao tayari wameshaajiriwa kazi yao isiwe kufundisha, kazi yao ibaki kuchukua attendance na kusahihisha mitihani tu.

kwanza hawajui kufundisha, halafu hata hicho wanachokifundisha hawakijui.

Yaani mwalimu kabisa wa hesabu wa shule ya msingi unamuuliza akueleze chochote kuhusu ‘Trigonometric ratios’ , ana baki anatoa macho tu.., hamna kitu., unamuuliza akueleze kanuni ya kutafuta ‘Surface Area’ ya Cylinder , anabaki kucheka cheka tu.

Sasa basi, napendekeza serikali iandae vipindi vya masomo mbali mbali ambapo vitarekodiwa kwenye video, pia video ziambatane na ‘Illustrative video animations’ ; ambapo mashuleni watakuwa wanapelekewa ‘Flash disk’ yenye vipindi vya masomo yote vya mwaka mzima, na viwe kwa kiswahili kama vile ambavyo wamekuwa wakifundishwa.

Ikifika mida wa kipindi husika, kiranja wa darasa anaweka flash, anachagua somo husika la kipindi husika kwa siku husika, na hapo wataanza kusikiliza somo , na wakimaliza wataweka slides na kuchukua notes hapo hapo na kukopy exercise za kufanya. Wakimaliza wanakusanya, mwalimu yeye kazi yake kusahihisha tu! Itumike Projector na tablet moja tu inatosha.

Hawa waliopo wanatosha sana kwa kuchukua attendance na kuchapa wale wasiofika shuleni, maana ndio wanachojua, lakini kitaaluma wapo empty, nina ndugu namjua personally, hadi nasemaga, hivi serikali ndio inamlipa huyu mshahara, hajui kitu kabisa!

Projector na Tablet havizidi laki 5, hapo na solar panel unapata, ila mwalimu unamlipa mamilioni kwa mwaka wakati anaingia darasani mara moja kwa mwezi.

Najua nimeeleeweka.


Ni brilliant idea ingawa inahitaji kuboreshwa sehemu fulani, mfano kama Mwanafunzi hajaelewa kipengele fulani katika somo husika amuulize nani??
Mbali na monitor wa darasa nani atakuwa msimamizi mkuu wakati wa kipindi kwani mwalimu kazi yake itakuwa ni kuangalia mahudhurio, kusahihisha maswali na kuchapa viboko tu??, hayo maswali marking scheme yake itapatikaje?? Nk.
 
Huyo atakaefundisha kwenye hiyo projector ni "malaika" nani mtoa mada?? Na mwanafunzi atajibiwa swali kwa FAQ?? Je kama ana swali jipya means asubiri hadi "malaika mfundishaji" afanye update eti?! Hahahaaa wewe jamaa ni ZUZU!
 
Huyo atakaefundisha kwenye hiyo projector ni "malaika" nani mtoa mada?? Na mwanafunzi atajibiwa swali kwa FAQ?? Je kama ana swali jipya means asubiri hadi "malaika mfundishaji" afanye update eti?! Hahahaaa wewe jamaa ni ZUZU!
Ndio, patakuwa na updated versions za video recordings kila wiki ikiwezekena, Tablets zote zitaungwa na internet bundle la bei nafuu. Maswali yote yanaweza kutumwa kwa mkupuo kwenye tablet ili waandaaji wa vipindi waunganishe maswali mapya kwenye FAQ ya updated recordings, baada ya miezi michache hapatakuwa na maswali mapya tena.., yote yatakuwa yameshawekwa kwenye FAQ
 
Ndio, patakuwa na updated versions za video recordings kila wiki ikiwezekena, Tablets zote zitaungwa na internet bundle la bei nafuu. Maswali yote yanaweza kutumwa kwa mkupuo kwenye tablet ili waandaaji wa vipindi waunganishe maswali mapya kwenye FAQ ya updated recordings, baada ya miezi michache hapatakuwa na maswali mapya tena.., yote yatakuwa yameshawekwa kwenye FAQ
Nimekuuliza hao waandaaji ni kina nani?? Kama ni walimu au malaika toka mbinguni??? Na kama ni walimu wawe wamesomea wapi??
 
Hajui juhudi za kumfundisha mtoto mpaka ajue kisoma na kuandika, anakurupuka tuu
Mtoto, mwanafunzi anahitaji uwepo wa mtu maana kuna wengine unakuta hawajui kitu, wengine wanasinzia sasa projector itatumikaje hapo.

Mtoa mada hana mtoto
 
Back
Top Bottom