Napendekeza waanze haraka sana hili Zoezi na Mwamposa na Mwacha kwani nina uhakika nao wana Changamoto hii tajwa na Padri Sanga wa SAUT Mwanza

Napendekeza waanze haraka sana hili Zoezi na Mwamposa na Mwacha kwani nina uhakika nao wana Changamoto hii tajwa na Padri Sanga wa SAUT Mwanza

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Baadhi ya wasomi wa Biblia na viongozi wa dini wameshauri kitengenezwe chombo kitakachofuatilia mienendo ya wahubiri na wachungaji pamoja na kuwapima afya ya akili kabla ya kuruhusiwa kuhubiri.

Ushauri huo umetolewa leo Alhamisi Novemba 14, 2024 kwenye kongamano la kiukemene kujadili imani moja na mafundisho sahihi kwa ustawi wa binadamu lililoandaliwa na Chuo cha Biblia cha Kilutheri Nyakato kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (Saut) vyote vya mkoani Mwanza.

Akitoa mada kwenye kongamano hilo, Mkuu wa Idara ya Falsafa na Maadili chuo cha Saut Mwanza, Padri Innocent Sanga amesema Biblia haina tena utamu wa kuhubiri na hata umisionari umepoteza ladha kwa sababu umeingiliwa na wanyang’anyi wanaotumia vifungu vyake kutapeli waumini wao.

“Tutengeneze chombo…Tunapaswa kuwapima wachungaji vichwa vyao, afya ya akili, kuna wengine ni wagonjwa, wanadanganya watu kumbe hapa kichwani pameshaharibika…miaka na miaka pameshaharibika,”amesema Padri Sanga.

Chanzo: mwananchi_official

Mimi nionavyo Wahubiri pamoja na Waumini wao wote kwa 100% wana Changamoto Kubwa sana tu ya Afya ya Akili.
 
Baadhi ya wasomi wa Biblia na viongozi wa dini wameshauri kitengenezwe chombo kitakachofuatilia mienendo ya wahubiri na wachungaji pamoja na kuwapima afya ya akili kabla ya kuruhusiwa kuhubiri.

Ushauri huo umetolewa leo Alhamisi Novemba 14, 2024 kwenye kongamano la kiukemene kujadili imani moja na mafundisho sahihi kwa ustawi wa binadamu lililoandaliwa na Chuo cha Biblia cha Kilutheri Nyakato kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (Saut) vyote vya mkoani Mwanza.

Akitoa mada kwenye kongamano hilo, Mkuu wa Idara ya Falsafa na Maadili chuo cha Saut Mwanza, Padri Innocent Sanga amesema Biblia haina tena utamu wa kuhubiri na hata umisionari umepoteza ladha kwa sababu umeingiliwa na wanyang’anyi wanaotumia vifungu vyake kutapeli waumini wao.

“Tutengeneze chombo…Tunapaswa kuwapima wachungaji vichwa vyao, afya ya akili, kuna wengine ni wagonjwa, wanadanganya watu kumbe hapa kichwani pameshaharibika…miaka na miaka pameshaharibika,”amesema Padri Sanga.

Chanzo: mwananchi_official

Mimi nionavyo Wahubiri pamoja na Waumini wao wote kwa 100% wana Changamoto Kubwa ya Afya ya Akili.
Mbona umemsahau Daniel Mgogo yule anayewafundisha waumini wake jinsi ya kujamiiana Kwa kitanda.

Tapeli sana yule.
 
Wasimsahau na mchungaji mkuu wa pale gogoni. Ana injili ya ajabu sana
 
Neno la Mungu limekuwa linapotoshwa sana na wajumbe wa kuzimu
 
Msimsahau Anton Lusekelo AKA chief mwantembe AKA kifaru Cha yesu, kutwa kuchonga tu kiduku chake, kutongoza waumini, kuingilia siasa na kupotosha waumini.
Pia anajipodoa.
 
Mungu hapiganiwi yeye hujipigania mwenyewe, habari ya udanganyifu ilikuwepo na itaendelea kuwepo cha msingi ni watu kuifuata nuru.
 
Hao wakina mwamposa mwacha na wengine ni matapeli tu na wanalindwa na watu waliyokuwa kwenye mfumo

Ova
 
Mbona umemsahau Daniel Mgogo yule anayewafundisha waumini wake jinsi ya kujamiiana Kwa kitanda.

Tapeli sana yule.
Nampenda kwakuwa anahimiza Watu kutiana (kutia / kutiwa) kwani hakuna Starehe niipendayo duniani kama Kutia.
 
Back
Top Bottom