Napinga fainali ya FA kufanyika Zanzibar, Kisoka Zanzibar ni Nchi nyingine wala haina timu kwenye michuano hiyo

Shida mijitu inajipendekeza mdogomdogo utasikia baadhi ya mechi za ligi kuu kupelekwa Zenji hapa wanatest tu ikikubali utasikia kikao cha TFF kimepitisha sheria ya ligi kuchezwa huko
Hatutakubali Asilani!
 
Ujinga mkubwa, kwanini Zanzibar. Ni upumbavu mkubwa mno kupeleka fainali huko.
 
hebu acheni mambo yakipuuzi tukiwa namawazo kama yako kuja kupata umoja wakitaifa na kuinga Africa itakuja kuwa tabu sana!.

if the option failed to the mainland let it be Zanzibar!.
Muhimu kuzingatia kanuni. Kama unakumbuka kuna timu ilitaka kwenda Zanzibar TFF wakasema kanuni haziruhusu hii ni ligi ya bara.

Sasa haya mashindano ni ya Tanzania?

Haina shida kuweka kanuni za mashindano mbona ulaya nadhan spain walihamisha baadhi ya mechi kupigwa nje ya spain.
 
Umeangalia labda suala la Mapato ? Kama faranga ni nyinzi zaidi zitapatikana huko hata Mwezini watu watakwenda....
 
Umeniwahi mkuu nilitakuuliza hili, Watanganyika tunajipendekeza sana. Ivi ulishawahi kusikia fainali ya mapinduzi kuchezwa bara.
 
Kwa akili yako ndogo unadhani ni sahihi kwa ligi ya Tanganyika fainali kufanyika Zanzibar, au utuambie lini Uliona Kipanga na KMKM wakicheza Kwa Mkapa fainali ya Karume Cup?

acha kutia siasa kwenye mambo ya football
 
Ni zile zile siasa za kinafiki tu, na hayo yote ni kutaka kupoza sumu aliyoitema Lisu juu ya muungano!! Subiria uone mabango yatakayokuwa uwanjani!!
 
Naona Ligi ya Tanganyika nayo wamehamishia Zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…