Mmi nafikiri wapinzani wangekutana raisi na hao kina igp wakiwepo. Baada ya hapo wapokee maelekezo na kupiga ssluti kwenda kutekeleza.Matatizo hayawezi kutatuliwa kwa kutumia akili zilezile zilizoyatengeneza
Why kikao.?Katiba inasemaje?Sheria za vyama vya siasa inasemaje kuhusu mikutano ya vyama?Huyo msajili ni mpuuzi kwani alichotakiwa ni kumwambia Siro aache upuuzi wake.Yeye ni sehemu ya haya yanayoendelea nchini.Anatafuta namna ya kujiosha machoni pa watu.Hakuna kikao cha aina hiyo. Labda wamwalike Augustino Lyatonga Mrema (TLP) atadudhuria. Sisi wengine hatuoni umuhimu wa kikao cha namna hii wakati huu.
Tuendelee kuitisha makongamano mpaka dunia ione ushenzi na unajisi wa katiba unaoendelea Tanzania. Makongamano haya yaitishwe kwa wingi zaidi na yalenge maeneo ambayo dunia itaona kwa urahisi ukandamizaji wa polisi.
Hata huyo msajili hafai kupata hiyo heshima ni sehemu ya wavurugaji wa demokrasiaKwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP , Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa ccm , huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani , ameshiriki kuvuruga , kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote , Ametumika sana na Serikali ya ccm kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha ccm , NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA , Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro , kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani , bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro .
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa ccm .
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP
NAKALA : John Mnyika
Lengo ni kuyumbisha akili za watu tu. Mtu mwenye uelewa na akili timamu anajua nani asiyetii sheria ni polisi ambao wenye wimbo "tii sheria bila shuruti". Kwasababu wao wako juu ya sheria!Naunga mkono hoja kwa asilimia 100
Huyo Sirro hana "credibility" ya kuhudhuria kikao hicho.
Ingawa pia huyo Mutungi naye tuhisi kuwa ametokewa na Roho Mtakatifu Hadi kufikia uamuzi huo??
Kwa kuwa na yeye pia hana "credibility" ya kuitisha kikao hicho kwa namna na yeye pia alivyo-side na upande wa Chama tawala Katika kipindi chote, tokea ateuliwe kwenye nafasi hiyo nyeti Sana hapa nchini
Au tuite kuwa kuna shinikizo kubwa kwenye Jumuia ya Kimataifa ndiyo imemfanya huyo Msajili wa vyama vya siasa apige hiyo U-turn yake??
Kuna maswali mengi yanayokosa majibu kwenye huu mwelekeo mpya wa Msajili wa vyama vya siasa
Huu ndio ukweliMpaka Sasa ni chadema vs dola
Kuonyesha kwamba ccm imeshakufa haitajwi popote isipokuwa zinatajwa gvt oppressive machinery/apparatus Kama polisi msajili nk
Hii tafsiri yake ninini? Ccm kimepotea kwenye siasa tumebaki na polisi. Hivyo matokeo ni
Chadema 3 ccm 0
Na wala siyo IGP Sirro tu, bali hata huyo msajili wa vyama hana uhalali wowote wa kupatanisha vyama vya upinzani, labda vyama uchwara vya upinzani ambavyo ni vyama ndugu na CCM.Naunga mkono hoja kwa asilimia 100
Huyo Sirro hana "credibility" ya kuhudhuria kikao hicho.
Ingawa pia huyo Mutungi naye tuhisi kuwa ametokewa na Roho Mtakatifu Hadi kufikia uamuzi huo??
Kwa kuwa na yeye pia hana "credibility" ya kuitisha kikao hicho kwa namna na yeye pia alivyo-side na upande wa Chama tawala Katika kipindi chote, tokea ateuliwe kwenye nafasi hiyo nyeti Sana hapa nchini
Au tuite kuwa kuna shinikizo kubwa kwenye Jumuia ya Kimataifa ndiyo imemfanya huyo Msajili wa vyama vya siasa apige hiyo U-turn yake??
Kuna maswali mengi yanayokosa majibu kwenye huu mwelekeo mpya wa Msajili wa vyama vya siasa
Hivi aliye kuloga bado yupo hai?Itisheni tuwavunje viuno! Hivi Katibu Mkuu wenu yupo? Siku hizi kaacha hata kuhamasisha maandamano ya kwenda Kisutu kwa Mwamba
Mkuu ni vizuri wakutane waweke yote mezami na wasisite kuulizana maswali magumu magumu, ila pia majibu mepesi yasikubalike.Kwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP, Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa ccm , huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani, ameshiriki kuvuruga, kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote, Ametumika sana na Serikali ya ccm kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha CCM, NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA, Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro, kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani, bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro.
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP.
NAKALA : John Mnyika
Wewe kwa akili zako nyingi unavyoona,hawa watawala wanaipeleka wapi ili Taifa?Unajua nchi kuoza wewe? Hujaenda nchi zilizooza, siku ukifanikiwa kufika nchi zilizooza utafunga huo mdomo wako
CCM wamevurugwa kinyama. Siro ndiye spokesperson wao kwa sasa.Kwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP, Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa ccm , huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani, ameshiriki kuvuruga, kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote, Ametumika sana na Serikali ya ccm kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha CCM, NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA, Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro, kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani, bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro.
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP.
NAKALA : John Mnyika
KUBWA JINGA WEWE, LIONE KULEMsiposhiriki maana yake kila mkiandaa chochote mtatwangwa, amueni kusuka au kunyoa
KIKAO kama hiki ndo cha kusutanaKwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP, Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa ccm , huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani, ameshiriki kuvuruga, kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote, Ametumika sana na Serikali ya ccm kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha CCM, NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA, Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro, kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani, bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro.
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP.
NAKALA : John Mnyika
Hiyo ni kawaida mbona ,wala sio kitu kigeni kama hata tukivaa tu nguo zenye uwekundu na weupe wanaanza kutukimbiza wakijua ni sare za Chadema,Kuna kigeni hapo?Msiposhiriki maana yake kila mkiandaa chochote mtatwangwa, amueni kusuka au kunyoa
Unamlalamikia sirro ambaye katiba inamtaja kama mlinzi tu ili iweje ?KIKAO kama hiki ndo cha kusutana
Mimi nawashauri muhudhurie mtoe maduku duku yenu
Msipohudhuria maana yake hamna malalamiko ya msingi.
PingaKwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP, Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa ccm , huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani, ameshiriki kuvuruga, kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote, Ametumika sana na Serikali ya ccm kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha CCM, NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA, Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro, kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .
Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani, bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro.
Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa CCM.
NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP.
NAKALA : John Mnyika
Hakuna adhari kwa nchi? Unahisi mpaka wakaitisha kikao ni jambo dogo ee? Ukikua utaelewa nguvu ya upinzani ndani ya nchi.Mshiriki msishiriki hakuna athari yeyote Kwa nchi hi[emoji23][emoji1787]
lini hatukutwangwa ?Msiposhiriki maana yake kila mkiandaa chochote mtatwangwa, amueni kusuka au kunyoa