Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #81
umedharaulika haraka sana !Mnachezewa shere tu muingie kwenye 18, Tanzania hakuna upinzani kuna waropokaji tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umedharaulika haraka sana !Mnachezewa shere tu muingie kwenye 18, Tanzania hakuna upinzani kuna waropokaji tu
Habari ndio hiyo ewe mropokaji [emoji23][emoji1787]umedharaulika haraka sana !
Yes hao hao waropokaji ndio wanafanya polisi wote wasilale, msajili atafute mbinu za kubana waropokaji hata na wewe upo makini kufatilia waropkaji.Mnachezewa shere tu muingie kwenye 18, Tanzania hakuna upinzani kuna waropokaji tu
Nakazia ni waropokaji na wapayukaji tu, huku miaka inasonga.2025 mitano tena [emoji23][emoji1787]Yes hao hao waropokaji ndio wanafanya polisi wote wasilale, msajili atafute mbinu za kubana waropokaji hata na wewe upo makini kufatilia waropkaji.
Wewe ndo ulikuwa kwenye ile video ya Gwajima....😁😁😁😁Siro hajaitisha kikao na vyama vya siasa. Msajili ndiye aliyeitisha kikao hicho. ( siku nyingine andika vizuri ,uache kupindisha kama gwajiboy)
Bila kujali matokeo ya hicho kikao, nawashauri mhudhurie ili angalau mpate sababu za reactions zenu baadae.
[emoji445][emoji444][emoji99]
Huyu jamaa ni baba yako!Wewe ndo ulikuwa kwenye ile video ba Gwajima....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa hiyo wewe ni mama yangu mdogo? 😳Huyu jamaa ni baba yako!
Wewe mwenyewe umeandika, acha kashfa.Wewe ndo ulikuwa kwenye ile video ba Gwajima....[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Acha kashfa dogoKwa hiyo wewe ni mama yangu mdogo? [emoji15]