Napinga IGP Sirro kukutana na Vyama vya Upinzani kwasababu hana hadhi ya kuwa mpatanishi

Napinga IGP Sirro kukutana na Vyama vya Upinzani kwasababu hana hadhi ya kuwa mpatanishi

Sirro na vijana wake wanatakiwa kukaa mita mia nne kutoka ukumbi wa kikao cha usuluhishi wakilinda amani na si vi ginevyo.Na mpatanishi atafutwe mtu mwingine.Ikiwezekana atoke nje ya nchi.Sirro anapaswa kuwajibika/kuwajibishwa haraka kwa ukatili na uvunjaji wa sheria alioufanya yeye na vikaragosi wake.
 
Kuna kitu hakiko sawa. Kwanini sasa ihali Kuna vuguvugu la kudai katiba mpya, kwanini wakutane polisi,vyama vya siasa na Mutungi na isiwe wadau wote wa kisiasa wakiwemo wananchi, NGO, Taasisi za kiraia,baraza la vyama vya siasa etc.

Je sheria zinasemaje kuhusu kazi za polisi,kazi za msajiri wa vyama vya siasa na kazi za vyama vya siasa pia je kufanya makongamano na mikutano ya katiba Kuna vunja sheria ipi au je kufanya hivyo ni hisani?

Kiujumla hili suala linafikirisha na kuibua maswali kuliko majibu
 
Siro hajaitisha kikao na vyama vya siasa. Msajili ndiye aliyeitisha kikao hicho. ( siku nyingine andika vizuri ,uache kupindisha kama gwajiboy)
Bila kujali matokeo ya hicho kikao, nawashauri mhudhurie ili angalau mpate sababu za reactions zenu baadae.
[emoji445][emoji444][emoji99]
majinga hayajui hata namna bora ya kula na kipofu.

wanasema mchawi mpe mwanao akulelee.
 
Mpaka Sasa ni chadema vs dola
Kuonyesha kwamba ccm imeshakufa haitajwi popote isipokuwa zinatajwa gvt oppressive machinery/apparatus Kama polisi msajili nk

Hii tafsiri yake ninini? Ccm kimepotea kwenye siasa tumebaki na polisi. Hivyo matokeo ni

Chadema 3 ccm 0
 
Ccm wajinga Sana wamepotezwa kwenye siasa na polisi wao wakijua polisi wanawasaidia kumbe wanawa replace.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP , Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa ccm , huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani , ameshiriki kuvuruga , kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote , Ametumika sana na Serikali ya ccm kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha ccm , NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA , Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro , kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .

Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani , bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro .

Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa ccm .

NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP

NAKALA : John Mnyika
Naunga MKONO hoja kwa asilimia 100
 
Kwa miaka yote tangu ateuliwe kuwa IGP , Mtukufu Sirro amejipambanua kuwa upande wa ccm , huyu ndio chanzo cha vurugu kwenye harakati zote za kisiasa za vyama vya upinzani , ameshiriki kuvuruga , kuumiza na kuua Raia wasio na hatia kwenye mikutano na maandamano ya amani ya vyama vya siasa yasiyo na vurugu zozote , Ametumika sana na Serikali ya ccm kudanganya raia ili kunufaisha chama chake cha ccm , NENDENI TUNDUMA MKAJIONEE UNYAMA WALIOFANYIWA CHADEMA , Mauaji ya Akwilina na utekaji wa MO ni ushahidi wa uongo wa wazi na wa kishamba sana wa Simon Sirro , kama yeye mwenyewe au mpambe wake anabisha ajitokeze hadharani .

Mtesaji mkuu wa Wanasiasa wa Tanzania kwa awamu ya 5 na hii ya 6 ni Simon Sirro kupitia Jeshi analoliongoza la polisi , kwa kadri ya kumbukumbu zangu sijawahi kuona vurugu zozote za kisiasa zilizoanzishwa na upinzani , bali nimeshuhudia utesaji , manyanyaso , wizi wa kura wa aibu sana na utekaji wa viongozi wa upinzani ukisimamiwa na Jeshi la polisi lililo chini ya Sirro .

Mtu wa namna hii hana uwezo wa kuitisha kikao na vyama vya siasa vya upinzani kwa namna yoyote ile si tu kwa vile hana MAMLAKA YA KISHERIA YA KUFANYA HIVYO , Bali pia haaminiki na anao upande wake wa yule aliyemteua ambaye ni Mwenyekiti wa ccm .

NASHAURI CHAMA CHANGU CHA CHADEMA KUTOHUDHURIA KIKAO CHOCHOTE KITAKACHOITISHWA NA SIMON SIRRO akiwa yeye binafsi ama akivaa cheo cha IGP

NAKALA : John Mnyika
akutane na Gwajima ndio saizi yake, bladi fuli
 
Back
Top Bottom