Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nyieeee mjue mnapitiliza???? Ndio maana siku hizi wanaume nanyie mnafanyiwa wanayofanyiwa wanawake.Kwanini yeye afanywe kuwa special namna hiyo na sio mimi mwanaume?
Kwani mimi sinawaacha wazazi wangu?
Kuishi na sisi wanawake wanataka hata bila ushawishi wa maneno
We maskini tu acha mbwembwe dogo.Huna akili! Nashang'aa sana unavyokazania suala la umaskn??! Unanijua? Au ndo ujinga umekujaa u ignorant fool.
😀😀😀😀 wakishavaa vimini vinavyoacha mapaja nje au vile vitop vya brazil vinavyoacha kitovu wazi basi wanafikiri wana haki ya kununuliwa bia, makange na kugharamiwa usafiriHata mimi napinga ndiyo maana hata nikienda bar dem yoyote akiniomba nimnunulie bia moja hata awe mzuri vipi huwa najibu "Wewe umeninunulia ngapi?" Huku nimeweka uso wa Vladimir Putin. Wanazoea vibaya kupewa pewa tu na wanaona kama ni haki yao vile.
😀😀😀😀😀Wait shemegi, huu usaidizi uanzie kwenye mahari....hapa napo mwanaume bado ana mzigo, walau mahari ya 1m mfano me atoe laki 6 ke laki 4.
Tunahitaji ndoa imara zilizojengwa katika misingi ya kusaidiana. Au???
Mume atakula kwa jasho, wewe utakulaje?Huo uwajibikaji uwe kwenye kutoa pesa tu au na mengine tutashirikiana?!!
Sawa nitakubali kuwajibika ila na wewe usiwe mkali nikiomba tuwajibike wote kwenye kufua, kupika na usafi wa nyumba. Sababu hata maandiko yanasema, “ Mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu” hapo naomba twende sawa.!!
Msiwe mnachagua vifungu vya kuwafurahisha na kuwalinda nyinyi…!!
Uko sawa sana. Mwanamke ni spesho na pia ana privilej asizokuwanazo mwanaume. Ndivyo ilivyo kiasili, na wala haiwezi kubadilika.Kwanini yeye afanywe kuwa special namna hiyo na sio mimi mwanaume?
Kwani mimi sinawaacha wazazi wangu?
Kuishi na sisi wanawake wanataka hata bila ushawishi wa maneno
Nilichoongea ndicho kilicho exist tangu Dunia ianzeNyie ndo mnafanya ndoa ziwe ngumu. Wewe kama hauko tayari kuhudumia na kupambania matumbo ya familia yako, usioe mwanangu. Endelea kusikiliza nyimbo ya bachelor ya Nay wa mitego.
Hongera kwa kulishwa na kuveshwa ukiwa umejikalia bila kumsapoti mume kwa loloteWhat a weak man
Kushiriki anashiriki ila tayari kuna mipaka ilishachorwa kupitia kwenye division of labour kwenye societies. Hayo unayotaka wewe wafanye wanawake inabidi labda uunde dunia yako ili yatekelezwe.Nilichoongea ndicho kilicho exist tangu Dunia ianze
Mume na mke wameshirikiana kwa kazi tangu enzi na enzi
Hili la kutaka mwanamke asishiriki kwenye ustawi wa familia ni geni ktk tasnia ya ndoa
Nitakula kupitia jasho lake, kwani kwenye kuzaa ananisaidia?? Halafu wanaume kwann mnakataa majukumu yenu ya asili ya kutunza familia?!!Mume atakula kwa jasho, wewe utakulaje?
Kama unataka Kula, lazima umpe sapoti kwa vyovyote unavyoweza pale mume anapopambana kutoa jasho, kwa maana wewe ni msaidizi wake
Just for the sake of argument, nisaidie kujua: tapeli ni nani na mtapeliwa ni nani.Mkuu umeongea kwa uchungu sana ila ukweli utabaki palepale NDOA NI UTAPELI
Mwambie huyo, anataka asaidiwe na sauti awe nayo. Hawa ndio wale wanaume wanyanyasaji wake zao wakashinde kutafutia watoto wenyewe wakashinde vilabuniKushiriki anashiriki ila tayari kuna mipaka ilishachorwa kupitia kwenye division of labour kwenye societies. Hayo unayotaka wewe wafanye wanawake inabidi labda uunde dunia yako ili yatekelezwe.
Wewe kibuyu, leo imekuwaje tumekaa upande mmoja kwenye hii mada..? HahaMwambie huyo, anataka asaidiwe na sauti awe nayo. Hawa ndio wale wanaume wanyanyasaji wake zao wakashinde kutafutia watoto wenyewe wakashinde vilabuni
wifi,,hayo ya usafi atakuwekea house girl usijal,,au atanunua mashine,,au robot Eunice ataletwa hapo,, kazana kuuza vijora uache kitu mezaniHuo uwajibikaji uwe kwenye kutoa pesa tu au na mengine tutashirikiana?!!
Sawa nitakubali kuwajibika ila na wewe usiwe mkali nikiomba tuwajibike wote kwenye kufua, kupika na usafi wa nyumba. Sababu hata maandiko yanasema, “ Mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu” hapo naomba twende sawa.!!
Msiwe mnachagua vifungu vya kuwafurahisha na kuwalinda nyinyi…!!
Huyu zaidi ya kibuyu!! Mwanaume mzima na kengele zake anataka kusaidiwa pasu kwa pasu eti!! Hawa ndio wanasababisha wanawake wafanye vitu vya ovyo ili kusaidia familia, kwa maneno yake haya anaonekana sio muwajibikaji kabisaa.!!Wewe kibuyu, leo imekuwaje tumekaa upande mmoja kwenye hii mada..? Haha
Lazima mtoa mada atakuwa kibuyu zaidi yetu