Napinga kwa nguvu zote baadhi ya member humu kuwaona walimu kama "special group"

Napinga kwa nguvu zote baadhi ya member humu kuwaona walimu kama "special group"

Kuna harakati nimezikuta toka najiunga jamii forum na bado zinaendelea kwa baadhi ya member kuwadharau na kuwakejeli walimu wa nchi hii

Napinga kwa nguvu zote za kuwafanya walimu kama marginal group kwa kigezo cha mshahara na maisha kiujumla

Nakataa unyanyasaji huu wa kifikra kwa walimu eti kisa some of them walienda kwa olevel certificate

Hata kama imefika wakati walimu wakawa wengi mtaani kwa sababu ya kimfumo bado haiwafanyi walimu wadharauliwe kwani kada nyingi bado zinasota kwenye suala la ajira

Nchi hii hakuna mwenye afadhali tukija suala la maslahi hasa walio halmashauri na tukija kwenye mishahara bado utakuta mfumo unaotumika kulipa watumishi ni kulingana na kiwango chao cha elimu kwa kada zote

Kuhusu hali ya kimaisha ngazi ya halmashauri wote ni wagaa gaa na upwa wanakula wali bila mchuzi dharau zinatoka wapi?

Tukija superiority ya kada michepuo ya kada zingine na ualimu mtiririko ni uleule either mtu aende olevel certificate, advance certificate au chuo moja kwa moja

Kwanini walimu wadharauliwe? Kwanini tuwakejeli? Nchi hii tunategemeana hii ni ecosystem bila mwalimu bila dactari na kada zingine hakuna mtiririko wa uendeshaji nchi tuheshimiane
Una hoja nzuri sana ila hii hoja wangekuja nayo serikali maana yenyewe ndio imetengeneza huo mfumo wa dharau.

Hivi wewe unajua siku hizi hadi wanafunzi wenyewe hawaheshimu walimu?

siku hizi wanafunzi wanaacha shule Kwa sababu anayemfundisha anaishi maisha mabovu kuliko ya nyumbani kwao?

Toka miaka ya 2000 hakuna kiongozi yeyote ambaye alitaka mtoto wake awe Mwalimu , heshima itatoka wapi kama viongozi wenyewe wanaona Bora watoto wao wauze ngada kuliko kuwa walimu??

KAZI YA UALIMU NI KAZI TAKATIFU ILA TUMEIHARIBU WENYEWE...

Juzi hujaona walimu wamepewa wali maharage wa buku tatu ili wahudhurie semina ya mtaala ulioboreshwa ..!? HAPO HESHIMA INATOKA WAPI ??
 
Walimu tunawaheshimu sana
Kila mtu ametoka kwenye mikono ya mwalimu
Walimu wameamua kujidhalilisha wenyewe
Walimu hawadai haki zao
Kutumika kuhujumu uchaguzi n.k

Serikali na walimu wenyewe wajipe hadhi
Wanaohujumu uchaguzi sio walimu pekeao ni kundi kubwa why walimu peke yao?
 
Walimu ndo Huwa wanatumika kuhujumu Imani zetu na kutuletea viongozi matapeli wasiokuwa chaguo la wananchi
Vipi wamama wanaovishwa vitenge
Vipi wafanyabiashara wakubwa
Vipi boda boda
Vipi makundi ya vijana wanaohongwa buku tano tano
Vipi wanafunzi wa vyuo wa kada zote

List ni ndefu sana swali ni why walimu?
 
Vipi wamama wanaovishwa vitenge
Vipi wafanyabiashara wakubwa
Vipi boda boda
Vipi makundi ya vijana wanaohongwa buku tano tano
Vipi wanafunzi wa vyuo wa kada zote

List ni ndefu sana swali ni why walimu?
Kwenye kundi hilo walimu ndo wasomi
Walipaswa wakae mbele wakatae huo uchafu, badala yake wao ndo huubaliki na kutuumiza
 
Ukiwa unakasirika na kila maoni yanayotolewa humu JF utawehuka bure... Hili ni jukwaa la fikra huru, humu kuna kila aina ya watu...
Kimsingi maoni yote yana mantiki ukiona kilichoandikwa na mwenzako hukielewi maana yake hujakomaa kifikra...
Sasa unakuta kuna Mwl anapokea million 1 kwa mwezi halafu kuna mimi nipo private sector napokea laki3 ila kilasiku nawatukana walimu humu, unadhan nani mgonjwa wa akili?
Walimu wanatucheka sana tunavyo waona cheap, nilichogundua Mwl anapokea mshahara ila kwa siku anafanya kazi masaa yasiyozidi 4, hapo kama akiwa ana vipindi kama hana wengi hawaendi kazini wanafanya mambo yao binafsi...🙄

WaTz wengi tuna kufa mapema kwasababu ya chuki wivu makasiriko husda vinyongo na roho mbaya...
 
Mleta mada,tunaomba usitutetee acha mambo yawe kama yalivyo...

Humu jf hakuna jema,yaani ukitafuta jema humu u fail....

Hutakiwi kutegemea huruma ya watu ili usimame, Hivyohivyo na mapungufu unayoonekana nayo jithamini mkuu
Wanakera sana hawathamini na hawaoni umuhimu wa mwalimu Tanzania hii kana kwamba siku serikali ikafuta kada ya ualimu sijui nini kitaendelea

Heshima ya mtu inatoka kwa mtu
 
Ukiwa unakasirika na kila maoni yanayotolewa humu JF utawehuka bure... Hili ni jukwaa la fikra huru, humu kuna kila aina ya watu...
Kimsingi maoni yote yana mantiki ukiona kilichoandikwa na mwenzako hukielewi maana yake hujakomaa kifikra...
Sasa unakuta kuna Mwl anapokea million 1 kwa mwezi halafu kuna mimi nipo private sector napokea laki3 ila kilasiku nawatukana walimu humu, unadhan nani mgonjwa wa akili?
Walimu wanatucheka sana tunavyo waona cheap, nilichogundua Mwl anapokea mshahara ila kwa siku anafanya kazi masaa yasiyozidi 4, hapo kama akiwa ana vipindi kama hana wengi hawaendi kazini wanafanya mambo yao binafsi...🙄

WaTz wengi tuna kufa mapema kwasababu ya chuki wivu makasiriko husda vinyongo na roho mbaya...
Umeongea vyema mkuu sina cha kuongeza
 
Una hoja nzuri sana ila hii hoja wangekuja nayo serikali maana yenyewe ndio imetengeneza huo mfumo wa dharau.

Hivi wewe unajua siku hizi hadi wanafunzi wenyewe hawaheshimu walimu?

siku hizi wanafunzi wanaacha shule Kwa sababu anayemfundisha anaishi maisha mabovu kuliko ya nyumbani kwao?

Toka miaka ya 2000 hakuna kiongozi yeyote ambaye alitaka mtoto wake awe Mwalimu , heshima itatoka wapi kama viongozi wenyewe wanaona Bora watoto wao wauze ngada kuliko kuwa walimu??

KAZI YA UALIMU NI KAZI TAKATIFU ILA TUMEIHARIBU WENYEWE...

Juzi hujaona walimu wamepewa wali maharage wa buku tatu ili wahudhurie semina ya mtaala ulioboreshwa ..!? HAPO HESHIMA INATOKA WAPI ??
List ni ndefu sana ya watu wanaotumika na serikali why walimu pekeyao?

Kuna niliemuorodheshea list ndefu ya magroup yanayotumika na serikali unaweza kuona. Hii ya kumdharau mwalimu ni mob iliyotengenezwa na baadhi ya watu kwa chuki dhidi ya kundi hili muhimu
 
Back
Top Bottom