Napinga kwa nguvu zote baadhi ya member humu kuwaona walimu kama "special group"

Napinga kwa nguvu zote baadhi ya member humu kuwaona walimu kama "special group"

Kuna harakati nimezikuta toka najiunga jamii forum na bado zinaendelea kwa baadhi ya member kuwadharau na kuwakejeli walimu wa nchi hii

Napinga kwa nguvu zote za kuwafanya walimu kama marginal group kwa kigezo cha mshahara na maisha kiujumla

Nakataa unyanyasaji huu wa kifikra kwa walimu eti kisa some of them walienda kwa olevel certificate

Hata kama imefika wakati walimu wakawa wengi mtaani kwa sababu ya kimfumo bado haiwafanyi walimu wadharauliwe kwani kada nyingi bado zinasota kwenye suala la ajira

Nchi hii hakuna mwenye afadhali tukija suala la maslahi hasa walio halmashauri na tukija kwenye mishahara bado utakuta mfumo unaotumika kulipa watumishi ni kulingana na kiwango chao cha elimu kwa kada zote

Kuhusu hali ya kimaisha ngazi ya halmashauri wote ni wagaa gaa na upwa wanakula wali bila mchuzi dharau zinatoka wapi?

Tukija superiority ya kada michepuo ya kada zingine na ualimu mtiririko ni uleule either mtu aende olevel certificate, advance certificate au chuo moja kwa moja

Kwanini walimu wadharauliwe? Kwanini tuwakejeli? Nchi hii tunategemeana hii ni ecosystem bila mwalimu bila dactari na kada zingine hakuna mtiririko wa uendeshaji nchi tuheshimiane
Walimu mbona wana maisha standard nipo nao Apa Nachingwea Bar moja inaitwa Zurich naona wanajitutumua kula Safari lager.
Sijui wamebahatisha wapi posho
 
Kuna harakati nimezikuta toka najiunga jamii forum na bado zinaendelea kwa baadhi ya member kuwadharau na kuwakejeli walimu wa nchi hii

Napinga kwa nguvu zote za kuwafanya walimu kama marginal group kwa kigezo cha mshahara na maisha kiujumla

Nakataa unyanyasaji huu wa kifikra kwa walimu eti kisa some of them walienda kwa olevel certificate

Hata kama imefika wakati walimu wakawa wengi mtaani kwa sababu ya kimfumo bado haiwafanyi walimu wadharauliwe kwani kada nyingi bado zinasota kwenye suala la ajira

Nchi hii hakuna mwenye afadhali tukija suala la maslahi hasa walio halmashauri na tukija kwenye mishahara bado utakuta mfumo unaotumika kulipa watumishi ni kulingana na kiwango chao cha elimu kwa kada zote

Kuhusu hali ya kimaisha ngazi ya halmashauri wote ni wagaa gaa na upwa wanakula wali bila mchuzi dharau zinatoka wapi?

Tukija superiority ya kada michepuo ya kada zingine na ualimu mtiririko ni uleule either mtu aende olevel certificate, advance certificate au chuo moja kwa moja

Kwanini walimu wadharauliwe? Kwanini tuwakejeli? Nchi hii tunategemeana hii ni ecosystem bila mwalimu bila dactari na kada zingine hakuna mtiririko wa uendeshaji nchi tuheshimiane
Umenena vyema mkuu. Kuna watu Kwa dharau tu wanalala na kuamka na wazo lao juu ya walimu. Tuheshimiane aise
 
Walimu ni watu muhimu sana, sema wameamua kutumika Kwa maslahi ya watawala
Kuna harakati nimezikuta toka najiunga jamii forum na bado zinaendelea kwa baadhi ya member kuwadharau na kuwakejeli walimu wa nchi hii

Napinga kwa nguvu zote za kuwafanya walimu kama marginal group kwa kigezo cha mshahara na maisha kiujumla

Nakataa unyanyasaji huu wa kifikra kwa walimu eti kisa some of them walienda kwa olevel certificate

Hata kama imefika wakati walimu wakawa wengi mtaani kwa sababu ya kimfumo bado haiwafanyi walimu wadharauliwe kwani kada nyingi bado zinasota kwenye suala la ajira

Nchi hii hakuna mwenye afadhali tukija suala la maslahi hasa walio halmashauri na tukija kwenye mishahara bado utakuta mfumo unaotumika kulipa watumishi ni kulingana na kiwango chao cha elimu kwa kada zote

Kuhusu hali ya kimaisha ngazi ya halmashauri wote ni wagaa gaa na upwa wanakula wali bila mchuzi dharau zinatoka wapi?

Tukija superiority ya kada michepuo ya kada zingine na ualimu mtiririko ni uleule either mtu aende olevel certificate, advance certificate au chuo moja kwa moja

Kwanini walimu wadharauliwe? Kwanini tuwakejeli? Nchi hii tunategemeana hii ni ecosystem bila mwalimu bila dactari na kada zingine hakuna mtiririko wa uendeshaji nchi tuheshimiane
 
Kwanza idadi yao ni kubwa kuliko kada nyingine zote alafu pia imeshajengeka mentality ya kuwa wale watu walioshindwa kimasomo (ufaulu mdogo) ndo huenda kwenye hiyo kada alafu pia ni kada inayoongoza Kwa maslahi kiduchu lakini pamoja na yote wanatumika mno na serikali hii inawafanya waonekane kama vile ni cheap labour
List ni ndefu but why walimu?

Mbona sector ya ulinzi na usalama haidharauliwi unaweza ukaleta hoja
 
Kwanza idadi yao ni kubwa kuliko kada nyingine zote alafu pia imeshajengeka mentality ya kuwa wale watu walioshindwa kimasomo (ufaulu mdogo) ndo huenda kwenye hiyo kada alafu pia ni kada inayoongoza Kwa maslahi kiduchu lakini pamoja na yote wanatumika mno na serikali hii inawafanya waonekane kama vile ni cheap labour
Ungesoma vizuri hoja zangu sijui kama ungerudia kuandika haya

Hebu niambie afsa maendeleo mwenye diploma analipwa shingapi?

Je hakuna mtendaji mwenye certificate (ufaulu mdogo)?
 
Unalinganisha vitu visivyofanana hata kidogo. Uwekezaji na risk za coaster ni sawa na degree?
Je, kwenye hiyo coaster kwa mwezi unapata net profit kiasi gani?
N.B usije ukachanganya pato na faida.
aise nilishangaa kusikia daktari analipwa 900k. pesa ambayo naingiza kwa coaster special hire moja ndani ya siku 3.

sio mwalimu sio daktari kwa mishara ya Tanzania mtu smart kichwani unaona ni upuuzi
i
 
Walipoanza kuchukua vilaza tu kwenda kuwa walimu hasa shule za msingi waliharibu kila kitu
Hivi unajua asaivi mtoto wako akipata four au three ya mwisho anapelekwa wapi?

Swali ni why walimu pekee ndio huonekana vilaza wakati kada nyingi tu wanachukua certificate na diploma kwa waliomaliza form four?
 
Kwanza idadi yao ni kubwa kuliko kada nyingine zote alafu pia imeshajengeka mentality ya kuwa wale watu walioshindwa kimasomo (ufaulu mdogo) ndo huenda kwenye hiyo kada alafu pia ni kada inayoongoza Kwa maslahi kiduchu lakini pamoja na yote wanatumika mno na serikali hii inawafanya waonekane kama vile ni cheap labour
Hakuna kada inayotumika nchi hii zaidi ya kada ya ulinzi na usalama hivyo hoja yako inakosa mashiko

Kwanini jeshi la police hawadharauliwi?

Unajua mshahara wa afisa maendeleo au mtendaji mwenye diploma ni shingapi? Mbona hadharauliwi?
 

Attachments

  • FB_IMG_1658577605667.jpg
    FB_IMG_1658577605667.jpg
    73.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom