hermanthegreat
JF-Expert Member
- Mar 2, 2021
- 1,274
- 3,282
Sawa tunakusubiri hospitalaise nilishangaa kusikia daktari analipwa 900k. pesa ambayo naingiza kwa coaster special hire moja ndani ya siku 3.
sio mwalimu sio daktari kwa mishara ya Tanzania mtu smart kichwani unaona ni upuuzi
Walimu mbona wana maisha standard nipo nao Apa Nachingwea Bar moja inaitwa Zurich naona wanajitutumua kula Safari lager.Kuna harakati nimezikuta toka najiunga jamii forum na bado zinaendelea kwa baadhi ya member kuwadharau na kuwakejeli walimu wa nchi hii
Napinga kwa nguvu zote za kuwafanya walimu kama marginal group kwa kigezo cha mshahara na maisha kiujumla
Nakataa unyanyasaji huu wa kifikra kwa walimu eti kisa some of them walienda kwa olevel certificate
Hata kama imefika wakati walimu wakawa wengi mtaani kwa sababu ya kimfumo bado haiwafanyi walimu wadharauliwe kwani kada nyingi bado zinasota kwenye suala la ajira
Nchi hii hakuna mwenye afadhali tukija suala la maslahi hasa walio halmashauri na tukija kwenye mishahara bado utakuta mfumo unaotumika kulipa watumishi ni kulingana na kiwango chao cha elimu kwa kada zote
Kuhusu hali ya kimaisha ngazi ya halmashauri wote ni wagaa gaa na upwa wanakula wali bila mchuzi dharau zinatoka wapi?
Tukija superiority ya kada michepuo ya kada zingine na ualimu mtiririko ni uleule either mtu aende olevel certificate, advance certificate au chuo moja kwa moja
Kwanini walimu wadharauliwe? Kwanini tuwakejeli? Nchi hii tunategemeana hii ni ecosystem bila mwalimu bila dactari na kada zingine hakuna mtiririko wa uendeshaji nchi tuheshimiane
Umenena vyema mkuu. Kuna watu Kwa dharau tu wanalala na kuamka na wazo lao juu ya walimu. Tuheshimiane aiseKuna harakati nimezikuta toka najiunga jamii forum na bado zinaendelea kwa baadhi ya member kuwadharau na kuwakejeli walimu wa nchi hii
Napinga kwa nguvu zote za kuwafanya walimu kama marginal group kwa kigezo cha mshahara na maisha kiujumla
Nakataa unyanyasaji huu wa kifikra kwa walimu eti kisa some of them walienda kwa olevel certificate
Hata kama imefika wakati walimu wakawa wengi mtaani kwa sababu ya kimfumo bado haiwafanyi walimu wadharauliwe kwani kada nyingi bado zinasota kwenye suala la ajira
Nchi hii hakuna mwenye afadhali tukija suala la maslahi hasa walio halmashauri na tukija kwenye mishahara bado utakuta mfumo unaotumika kulipa watumishi ni kulingana na kiwango chao cha elimu kwa kada zote
Kuhusu hali ya kimaisha ngazi ya halmashauri wote ni wagaa gaa na upwa wanakula wali bila mchuzi dharau zinatoka wapi?
Tukija superiority ya kada michepuo ya kada zingine na ualimu mtiririko ni uleule either mtu aende olevel certificate, advance certificate au chuo moja kwa moja
Kwanini walimu wadharauliwe? Kwanini tuwakejeli? Nchi hii tunategemeana hii ni ecosystem bila mwalimu bila dactari na kada zingine hakuna mtiririko wa uendeshaji nchi tuheshimiane
Kuna harakati nimezikuta toka najiunga jamii forum na bado zinaendelea kwa baadhi ya member kuwadharau na kuwakejeli walimu wa nchi hii
Napinga kwa nguvu zote za kuwafanya walimu kama marginal group kwa kigezo cha mshahara na maisha kiujumla
Nakataa unyanyasaji huu wa kifikra kwa walimu eti kisa some of them walienda kwa olevel certificate
Hata kama imefika wakati walimu wakawa wengi mtaani kwa sababu ya kimfumo bado haiwafanyi walimu wadharauliwe kwani kada nyingi bado zinasota kwenye suala la ajira
Nchi hii hakuna mwenye afadhali tukija suala la maslahi hasa walio halmashauri na tukija kwenye mishahara bado utakuta mfumo unaotumika kulipa watumishi ni kulingana na kiwango chao cha elimu kwa kada zote
Kuhusu hali ya kimaisha ngazi ya halmashauri wote ni wagaa gaa na upwa wanakula wali bila mchuzi dharau zinatoka wapi?
Tukija superiority ya kada michepuo ya kada zingine na ualimu mtiririko ni uleule either mtu aende olevel certificate, advance certificate au chuo moja kwa moja
Kwanini walimu wadharauliwe? Kwanini tuwakejeli? Nchi hii tunategemeana hii ni ecosystem bila mwalimu bila dactari na kada zingine hakuna mtiririko wa uendeshaji nchi tuheshimiane
List ni ndefu but why walimu?
Mbona sector ya ulinzi na usalama haidharauliwi unaweza ukaleta hoja
Ungesoma vizuri hoja zangu sijui kama ungerudia kuandika hayaKwanza idadi yao ni kubwa kuliko kada nyingine zote alafu pia imeshajengeka mentality ya kuwa wale watu walioshindwa kimasomo (ufaulu mdogo) ndo huenda kwenye hiyo kada alafu pia ni kada inayoongoza Kwa maslahi kiduchu lakini pamoja na yote wanatumika mno na serikali hii inawafanya waonekane kama vile ni cheap labour
Huyo alikula life ban kwa kuwakashifu walimu asaiv kanyooka bado kuna vimelea vyake humu nao watanyooka tu ngoja tuwanyooshe ili kama jamii tuheshimianeMpwayungu Village uko wapi?
iaise nilishangaa kusikia daktari analipwa 900k. pesa ambayo naingiza kwa coaster special hire moja ndani ya siku 3.
sio mwalimu sio daktari kwa mishara ya Tanzania mtu smart kichwani unaona ni upuuzi
Hivi unajua asaivi mtoto wako akipata four au three ya mwisho anapelekwa wapi?Walipoanza kuchukua vilaza tu kwenda kuwa walimu hasa shule za msingi waliharibu kila kitu
Hakuna kada inayotumika nchi hii zaidi ya kada ya ulinzi na usalama hivyo hoja yako inakosa mashikoKwanza idadi yao ni kubwa kuliko kada nyingine zote alafu pia imeshajengeka mentality ya kuwa wale watu walioshindwa kimasomo (ufaulu mdogo) ndo huenda kwenye hiyo kada alafu pia ni kada inayoongoza Kwa maslahi kiduchu lakini pamoja na yote wanatumika mno na serikali hii inawafanya waonekane kama vile ni cheap labour
sio kwamba kaja na ID nyingine?Huyo alikula life ban kwa kuwakashifu walimu asaiv kanyooka bado kuna vimelea vyake humu nao watanyooka tu ngoja tuwanyooshe ili kama jamii tuheshimiane
Mpwayungu village unaitwa hukuuUko nchi gani..?