Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #321
Wacha weee !!Muda utaongea, wao wameona anafaa..
Au ulitaka wakupe wewe ukocha!?
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weee !!Muda utaongea, wao wameona anafaa..
Au ulitaka wakupe wewe ukocha!?
We jamaa kamechi kamoja kashakuwehusha !Bado unapinga tu.?
Dah mmeanza kufukua makaburi [emoji23]Hahahah Gunners miss chance to go top as West Ham stunned them at Emirates.
2-0
Arteta[emoji13][emoji13][emoji13]
UpdatesHahahah Gunners miss chance to go top as West Ham stunned them at Emirates.
2-0
Arteta😝😝😝
31 December, 2023
Gunners miss again chance to go top
😝😝😝
Ndiyo.....Ulimakafu Castr hamis77 Will Jr arsenal2004 mkorea@ Montserrat nimeikuta mahali mnakubaliana na hili?
Huyu mjinga Arteta....?!??Mwenzenu Arsenali aliona mbali sana. Tafuteni Kocha wa kueleweka aseee.
Hapo tulikua tumetoka kumpa timu kocha mzoefu EmeryUlimakafu Castr hamis77 Will Jr arsenal2004 mkorea@ Montserrat nimeikuta mahali mnakubaliana na hili?
Aya uzi ushafufuliwa nini maoni yako 🤣🤣🤣🤣🤣Acha kupiga ramli wewe,
Ipo siku huu uzi utafufuliwa kukuumbua, kama baadhi ya nyuz zako type ya hii zinavyokuumbuaga
Hao makocha wazoefu wamepewa man u wameisaidia nini? Unajua hata arsene alipokuja arsenal, waandishi walikebehi, ARSENE NI NANI?
Zidane aliishusha had daraja madrid B, lkn kafanya vzr Madrid A
Fergi alianza vibaya, had akataka afukuzwe,
Usitoe garantii kuwa atafail, wanaweza kuja hao Wazoefu wakapoteana sana tu, tumeona kwa van gall kwa man u,
Kavurunda,
Wabongo tunawajua kila mtu kocha kila mtu mchambuz wa mpira, lkn mmeshindwa kuisaidia taifa starz kwenda hata CHANView attachment 779439
Nimetukanwa matusi yote unayoyajuaMwenzenu Arsenali aliona mbali sana. Tafuteni Kocha wa kueleweka aseee.
Nimetukanwa matusi yote unayoyajua