Mleta mada angepinga majina ya Steshen zote kuitwa majina ya maraisi!Every majina ya wanasiasa
Stend, meli, stesheni, majengo, madaraja.
Hakuna majina mengine kama ya vivutio vya kitalii na mengine.
Ingeitwa Dar es salaam rail way station, Dodoma rail way station, Morogoro railway station INGEKUAJE??
#YNWA
Kuna maajabu tu 🤣Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864
Hujui kitu wewe Shut up!kajenga mama ako sasa??
au ilo wazo alitoa baba ako??
Unawashwa na mambo ambayo huna mchango hata 0%
nyie watu wa hivi mara nyingi ni wachawi
Ulitaka hiyo station iitwe jina la bwana yako Mbowe? Kwanza si mlipinga ujenzi wa SGR sasa inawauma nini station kuitwa jina la mwamba MAGUFULI? Utake usitake station itaitwa kwa jina hilo kama hutaki kajinyonge! Chadema urais mtausikia tu kwa akili za kishoga hivi!!Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864
Nifuatilie vizuri utaelewaMleta mada angepinga majina ya Steshen zote kuitwa majina ya maraisi!
Lakini kupinga jina la raisi mmoja tu inaonekana kama chuki
Najua mnanitukana mara nyingi sana, lakini mbona matusi ni yale yale, hamna matusi mapya?Ulitaka hiyo station iitwe jina la bwana yako Mbowe? Kwanza si mlipinga ujenzi wa SGR sasa inawauma nini station kuitwa jina la mwamba MAGUFULI? Utake usitake station itaitwa kwa jina hilo kama hutaki kajinyonge! Chadema urais mtausikia tu kwa akili za kishoga hivi!!
Nakuhakikishia kwamba huo Ujinga tutauondoa, Stay tuned.Mwishowe each and every piece of nchi itaitwa Magufuli.And,that's monotonous and hideous as well.It's enough now!
Asingekuepo Magufuli hata hiyo station unayopiga isipewe jina lake isingekuepo sijui ungepinga nini.Hii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864
Hivi kwa kiingereza tungeitaje ili anayetukanwa asinune sana mkuu?Ni bora iitwe dikteta uchwara.
Very minute mind of yours!Asingekuepo Magufuli hata hiyo station unayopiga isipewe jina lake isingekuepo sijui ungepinga nini.
Jengeni makao makuu myaite mtei
Magufuli alikuwa mnoko na visasi kwa matapeli ya kisiasa kama mboweHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864
Kama ni maoni yako ni haki yakoHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864
Una roho ya kutu😎😎Jina la Ikulu linatumika kijinga sana!
Leo nitapingana na wewe kabisaaHii ni kwa sababu John Magufuli hakuwa kiongozi bora wala hakuwa kiongozi wa kuigwa, Alikuwa kiongozi Mnoko, Katili na mwenye visasi (Mifano ni Mingi mno)
Kingine ni hiki haiwezekani kwenye Nchi ya watu wenye akili kummilikisha mtu mmoja majina yote ya maeneo muhimu ya Nchi.
Nitashawishi wadau walikatae Jina hilo kupewa SGR ili lisilete mkosi kwenye Taifa.
View attachment 3058864