Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subiri kwanza unipe ile hela ndio uhamie bush.Mjini lawama nyingi
Kuna vijiji vina mandhari nzuri sana, hatujazaliwa ili tukue,tuzeeke, na tufie sehemu zenye msongo wa mawazo; kubadili mazingira ni muhimu.Kweli mkuu maisha ya mjini hasa dar bt sasa ivi vijiji vingi vimekuwa miji tofaut ni folen za magari lakini huduma za muhimu zipo
Simu ni mtihani mkubwa sana kwa jamiiKweli mkuu, simu ni kisababishi namba moja kilichosababisha kupungua kwa upendo katika jamii; imeondoa ile dhana ya kutembeleana na kusaidiana.
Na kule wapo..Unaenda kijijini kwenda kudinya nyama kwa nyama??
Unaenda kijijini ambako wahatumii mafuta ya kula zaidi ya mawese??
Kila la heri ila cha msingi Katie mimba za kutosha ndio mtaji wa kwanza wa mwanakijiji.
Nitaingia kwa mkwara wa kujiita nabii 😀ili ukalogwe vizuri
Kabisa mkuu maisha ya dar kero nyingi hewa Chafu hulali vizuri kelele za bar na vigodoro ni shida tupu ukitaka kwenda sehemu hujui utafika saa ngap kero tupu maisha ya dar nilikimbia mda sanaKuna vijiji vina mandhari nzuri sana, hatujazaliwa ili tukue,tuzeeke, na tufie sehemu zenye msongo wa mawazo; kubadili mazingira ni muhimu.
Nitawapiga mkwaraili ukalogwe vizuri
Nikamatie ata wawiliHuku kwetu wengi sana haooo
ha ha ha haUsitufokee sasa jomba , we nenda tu .
Wasalimie huko Ileje
Siwawezi kwa speed yaoNikamatie ata wawili
Nawaachia vijana muendeleze pale nilipoishia 😀 😀Duh,
Halafu pisi utaachia nani?!
Nahisi unatania kufurahisha genge broo!
Njoo uchukue manatiSiwawezi kwa speed yao
SawaNimeamua nikazeekee kijijini kwa sababu zifuatazo:-
Kule kijijini nitapata hewa safi isiyokuwa na mchafuko Kule kijijini nitapata majirani wema wasiokuwa na choyo Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana bila chuki Kule kijijini tutakuwa tunakunywa togwa pamoja Kule kijijini tutapunguza msongo wa mawazo Kule kijijini tutaingia shamba lolote kuchuma matunda na kula Kule kijijini tutakuwa tunasikia milio ya ndege na viumbe mbali mbali Kule kijijini tutafurahia uoto wa asili Kule kijijini tutakuwa tunaenda kuwinda kama sehemu ya michezo Kule kijijini tutapata marafiki wengi ambao sio wanafiki Kule kijijini tutakuwa tunatembeleana panapotokea mmoja wetu anaumwa. Kukaa kwenye nyumba ya nyasi yenye hewa safi na ya kuvutia Kula vyakula vilivyopikiwa kwenye vyungu na kuwa na ladha nzuri Kendwa kuogelea mitoni na kuvua samaki kama sehemu ya michezo na uwindajiKwa ujumla maisha ya kijijini yatakuwa ni mazuri sana
View attachment 3121969
Kwa nyie mnaobaki mjini, nawaachia mpambane na:-
Majungu na fitina zenu Mchafuko wa hali ya hewa Jua kali Msongamano wa watu Makelele ya baa na kumbi za starehe zinazoharibu utulivu wa ubongo Misongo ya mawazo kutokana na changamoto za kimazingira Kudharauliwa na vijana Kununua kila kitu; nyanya, yai ,mchicha n.k Kutokuwa na marafiki wa kweli Kila mmoja kumuona mwenzie fursa Kuzeeka kabla ya umri wako Kupata magonjwa ya moyo na presha n.k Kula vyakula vyenye kemikali katika kukuzia au usindikajiView attachment 3121971
Fanya maamuzi mapema; njoo kijijini tukawinde kanga pori, sungura, n.k pamoja na kuongeza miaka mingi ya kuishi.