Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #161
Sababu kuu ya kurudi ilikuwa nini?Mi nilienda mjini Kwa mbio za mwenge ulipozimwa nikarudi nyumbani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu kuu ya kurudi ilikuwa nini?Mi nilienda mjini Kwa mbio za mwenge ulipozimwa nikarudi nyumbani
Toka huko mjini, huku sungura pori, kanga ni wengi tu unawakamata kwa mikono tu 😀😂😂😂Aiseh
😂😂😂Siwez mim bora kulima pamba.Toka huko mjini, huku sungura pori, kanga ni wengi tu unawakamata kwa mikono tu 😀
Kabisa mkuuMaeneo yanapostawi migomba na kahawa,ni kuzuri kwa kuishi; mazingira yanakuwa yanavutia
Mikono itazeeka kabla ya umri wako😂😂😂Siwez mim bora kulima pamba.
😂😂HaiwezMikono itazeeka kabla ya umri wako
nilikuwa natembelea ukurasa mmoja; wachagga.com nikagundua kuna maeneo mazuri sana ya kuishi, ila bado tunasongamana mjini.Kabisa mkuu
Ebu weka picha za viganja tuvione 😀😂😂Haiwez
Ukorofi huo 🤣🤣Ebu weka picha za viganja tuvione 😀
ha ha ha ha, anatakiwa atupe ushuhudaUkorofi huo 🤣🤣
Nilienda kusoma nilipomaliza tu nikarudi haraka home mjini kuzitoSababu kuu ya kurudi ilikuwa nini?
Kwa kutumia fursa za kijijini, ukajikita kwenye shughuli ipi?Nilienda kusoma nilipomaliza tu nikarudi haraka home mjini kuzito
Na kwa nini wagongane mbele ya hao kina mama!!hao mbwa hapo kweli ni kijijini
Wanamaanisha maisha ya kijijini ni full burudaniNa kwa nini wagongane mbele ya hao kina mama!!
😂😂😂SitakiEbu weka picha za viganja tuvione 😀
Niliporudi nikasubiria matokeo ya advance yatoke yalipotoka nikaenda chuo SUZA bahati nzuri baada ya kumaliza nikaajiriwa serekaliniKwa kutumia fursa za kijijini, ukajikita kwenye shughuli ipi?
AsanteKila la kheri
Kwa hiyo kijijini hupataki tena?Niliporudi nikasubiria matokeo ya advance yatoke yalipotoka nikaenda chuo SUZA bahati nzuri baada ya kumaliza nikaajiriwa serekalini