Narudia tena, Mafundi gereji msipojiongeza mtaishia kutengeneza gari za mwaka 90

Eneo gani hilo wanazingatia professionalism?
 
Kikanjanja kanjanja[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sim ukajitengenezee gari lako km unajua. Ujuaji wa kindezi usio na msaada.
 
Hamia Burundi unasubiri nini ktk nchi ambayo huamini watu wake. wewe mwenyewe unachojua ni nini ktkt hii dunia, au profession yako ni kulalamika. Ondoka katafute nchi yako. Shenz type!
 
Kujifunza awataki- utawasikia hii gari ina Umeme mwingi sana! ( yaani ni ina too Computerized systems)Tatizo jingine Veta bado wanatumia syllabus ya 1947 Land-rover na Peugeot.
 
Kuna fundi pancha aliniharibia rim ya gari ikabd niweke tube tu baadae ninunue ring nyngne. Yan alilipga nyundo sema nlikoma kuanzia siku hiyo nikawa nikitaka badili taili au ina pancha naenda sehemu yenye machine ya kuvua rim tairi
Mnajitangaza km mna magari? Hiyo mikweche yenu hiyo ndiyo mtupotezee muda na kujaa server za JF?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…