Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
 
A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too
A homicidal maniac....His common nomenclature

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
 
Sasa yanayofanyika sasa unaona yako sawa ,vipi uhuru wa kujieleza na kifungo cha mwanamuziki kwa kuimba ushungi,vipi waliotajwa na CAG wa sasa wamefungwa jela gani ?

USSR
 
Tulikwa na jamaa anajiita " I am the State"
 
Shikamoo professor
 
Tanzania kuna wajinga wengi sana
 
Exposing without action...
 
Wenye akili wanakuelewa
 
Uzi kwa kiswahili umesoma ukauelewa kilichofanya unaandika kingereza chako Ni nn
 

Hilo unaloliita kosa unafikiri ni nani alilifanya!?
Na bado, Saa inakuja πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Wameishia kuwa ni walewale wapumbavu wanaoendelea kulalamika kuhusu kile wengi tulikichukia kutoka miongo mingi iliyopita!

Kwamba nchi iwe na waajiriwa wengine hata shule hawakwenda na wakati huohuo wanakuwa ndo mabosi kwa wenye Degree zao? Ni upumbavu

Kwamba nchi inakuwa na viongozi wenye stori nyingi za tutafanya hiki na kile miaka na miaka inapita bila utekelezaji? Huo inawafaa nyinyi tu mnaolilia uhuru wa Habari na nchi inaliwa na mafisadi na hakuna anayesema!

Ni ujinga kuwa nchi ya stori nyiingi bila action halafu tujivunie uhuru wa Habari

Kwani sisi tunakula uhuru wa Habari au kazi?
 
Huu ni utoko totally
 
Sasa yanayofanyika sasa unaona yako sawa ,vipi uhuru wa kujieleza na kifungo cha mwanamuziki kwa kuimba ushungi,vipi waliotajwa na CAG wa sasa wamefungwa jela gani ?

USSR
Achana na hilo pumbavu
 
Makini sana bro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…