Lim Hoo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2020
- 438
- 1,031
Ni zaidi ya topeBichwa lako limejaa matope
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni zaidi ya topeBichwa lako limejaa matope
USSR
Magufuli was a professional thief and a homicidal dictator, all praise to God who shortened his Arrogance lifestyle.A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too
But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew that existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
Tulioumizwa ni sisi Wala hoi tulitekekezwa kwa kutopata ajira na zaidi sana hata fursa za ajira zinazidi kupotea kwa kuwapoteza potential investors. Sasa sisi graduates tena fresh graduate ni majizi wa wapi na tulimuibia naniAlichokianza JPM 2015 ni lazima kikamilishwe. Majizi na wafanyabishara wa siasa ndio mlioumia.
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la sabau au nursery kabisa.
Hebu fikiria yafuatayo:
1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.
2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.
3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.
4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.
5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Umepata ajira tayari??Tulioumizwa ni sisi Wala hoi tulitekekezwa kwa kutopata ajira na zaidi sana hata fursa za ajira zinazidi kupotea kwa kuwapoteza potential investors. Sasa sisi graduates tena fresh graduate ni majizi wa wapi na tulimuibia nani
NdiyoUmepata ajira tayari??
Mimi nadhani tukubaliane tu hapa ndani kuwa wewe mleta mada hauna akili sawa sawa. Na kuna uwezekano mkubwa utakuwa umetumwa.Kwanza CAG kutaja tu na kuachwa huru ni credit kubwa sana kwamba kila kitu kipo huru sasa
Unataka akiri Gani wakati unafahamu prof Asad kuibua ufisadi tu alitumuliwa yaani jiwe wenu hakutaka kuguswa kabisa alitaka akiiba no one to question ndo mana hata vyombo vya habari vilizimwa yaani nchi iliongozwa gizani. Nchi zozote zinazopambana na ufisadi zinaongozwa kwenye mwanga na vyombo vya habari vinakuwa huru kuripoti chochoteMimi nadhani tukubaliane tu hapa ndani kuwa wewe mleta mada hauna akili sawa sawa. Na kuna uwezekano mkubwa utakuwa umetumwa.
Kama tu wametokea wa kupinga hoja yako, basi ufahamu kuwa, itarudiwa tena! Wapumbavu endeleeni kujipanga namna ya kununa tena!Unataka akiri Gani wakati unafahamu prof Asad kuibua ufisadi tu alitumuliwa yaani jiwe wenu hakutaka kuguswa kabisa alitaka akiiba no one to question ndo mana hata vyombo vya habari vilizimwa yaani nchi iliongozwa gizani. Nchi zozote zinazopambana na ufisadi zinaongozwa kwenye mwanga na vyombo vya habari vinakuwa huru kuripoti chochote
Jamaa wa 2015 alikuwa na kasoro zake but I would've preferred him kuliko hivi vituko vya sasa [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la sabau au nursery kabisa.
Hebu fikiria yafuatayo:
1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.
2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.
3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.
4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.
5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Kuna vituko Gani kwa Sasa.Jamaa wa 2015 alikuwa na kasoro zake but I would've preferred him kuliko hivi vituko vya sasa [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Hujapata ni uwongo [emoji1787]Ndiyo
Vingi mnooooooo .. wewe unaona mambo yako sawa?Kuna vituko Gani kwa Sasa.
Nimeshaipata nipo hapa NMB makao makuu. Na kila bank kwa Sasa Kuna opportunities indicating a health economyHujapata ni uwongo [emoji1787]
Viseme sasaVingi mnooooooo .. wewe unaona mambo yako sawa?
Matapeli, mafisadi, na wengineo washenzi washenzi waliwezwa haswa.Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la sabau au nursery kabisa.
Hebu fikiria yafuatayo:
1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.
2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.
3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.
4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.
5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
We tutukane tu sisi watoto wa maskini tuliteswa mno na kwa Sasa angalu. Ajira zipo, mishara inaongezwa kila mwaka, uhuru wa kuongea nkMatapeli, mafisadi, na wengineo washenzi washenzi waliwezwa haswa.
😁😁😁😁
He was a catastrophe to Tanzania and the neighboring countries, we thank that nature did its best and now we’re a free nation once again.A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too
But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew that existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.