Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew that existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
Magufuli was a professional thief and a homicidal dictator, all praise to God who shortened his Arrogance lifestyle.
 
Alichokianza JPM 2015 ni lazima kikamilishwe. Majizi na wafanyabishara wa siasa ndio mlioumia.
Tulioumizwa ni sisi Wala hoi tulitekekezwa kwa kutopata ajira na zaidi sana hata fursa za ajira zinazidi kupotea kwa kuwapoteza potential investors. Sasa sisi graduates tena fresh graduate ni majizi wa wapi na tulimuibia nani
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la sabau au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.
2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.
5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine

Machoko bhana !!
 
Tulioumizwa ni sisi Wala hoi tulitekekezwa kwa kutopata ajira na zaidi sana hata fursa za ajira zinazidi kupotea kwa kuwapoteza potential investors. Sasa sisi graduates tena fresh graduate ni majizi wa wapi na tulimuibia nani
Umepata ajira tayari??
 
Mimi nadhani tukubaliane tu hapa ndani kuwa wewe mleta mada hauna akili sawa sawa. Na kuna uwezekano mkubwa utakuwa umetumwa.
Unataka akiri Gani wakati unafahamu prof Asad kuibua ufisadi tu alitumuliwa yaani jiwe wenu hakutaka kuguswa kabisa alitaka akiiba no one to question ndo mana hata vyombo vya habari vilizimwa yaani nchi iliongozwa gizani. Nchi zozote zinazopambana na ufisadi zinaongozwa kwenye mwanga na vyombo vya habari vinakuwa huru kuripoti chochote
 
Ni kweli nchi ilikuwa inakwenda siko, yaani tungejikuta watu wa sampuli kama zile za Mwanahabari huru ati zinashika nyazfa za uwaziri Mkuu.
 
Unataka akiri Gani wakati unafahamu prof Asad kuibua ufisadi tu alitumuliwa yaani jiwe wenu hakutaka kuguswa kabisa alitaka akiiba no one to question ndo mana hata vyombo vya habari vilizimwa yaani nchi iliongozwa gizani. Nchi zozote zinazopambana na ufisadi zinaongozwa kwenye mwanga na vyombo vya habari vinakuwa huru kuripoti chochote
Kama tu wametokea wa kupinga hoja yako, basi ufahamu kuwa, itarudiwa tena! Wapumbavu endeleeni kujipanga namna ya kununa tena!
 
Mambuzi Kateni mauno tu.
86d8372e4e03dbedfe23d1540f342f8e.jpg
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la sabau au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.
2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.
5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Jamaa wa 2015 alikuwa na kasoro zake but I would've preferred him kuliko hivi vituko vya sasa [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
 
Jamaa wa 2015 alikuwa na kasoro zake but I would've preferred him kuliko hivi vituko vya sasa [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Kuna vituko Gani kwa Sasa.
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la sabau au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.
2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.
5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Matapeli, mafisadi, na wengineo washenzi washenzi waliwezwa haswa.
😁😁😁😁
 
Matapeli, mafisadi, na wengineo washenzi washenzi waliwezwa haswa.
😁😁😁😁
We tutukane tu sisi watoto wa maskini tuliteswa mno na kwa Sasa angalu. Ajira zipo, mishara inaongezwa kila mwaka, uhuru wa kuongea nk
 
A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew that existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
He was a catastrophe to Tanzania and the neighboring countries, we thank that nature did its best and now we’re a free nation once again.
 
Back
Top Bottom