Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

We tutukane tu sisi watoto wa maskini tuliteswa mno na kwa Sasa angalu. Ajira zipo, mishara inaongezwa kila mwaka, uhuru wa kuongea nk
Watoto wa matajiri na mafisadi ndio waliteswa pamoja na baba zao.
 
Kabisa tusirudie kosa mazee!
 

Umetumwa tumekugundua
 
Huu uzi nahisi umeandikwa na mhanga wa vyeti feki aliyetumbuliwa au timu nyumbu au chawa wa walamba asali
 
Huu uzi nahisi umeandikwa na mhanga wa vyeti feki aliyetumbuliwa au timu nyumbu au chawa wa walamba asali
Hakujawahi kuwa na vyeti feki zile zilikuwa mbinu za kupunguza wafanyakazi tu na ndo mana vyombo vya habari havikuruhusiwa kuhoji chochote
 
Uhuru wa wakujieleza kwa wafanyabiashara wa siasa na wahuni waliokuwa wanatafuta uhuru wa kumtukana rais ulikandamizwa
 
Antony Dialo alisema haitakaa ijirudie tena.

Hata akina Makamba na Kinana hawawezi ruhusu.

Kuna kipindi nilikuwa nakaa kwenye vijiwe nakuta FFU wanasikiliza Hotuba za Lissu Youtube.

Nikajifanya kumponda Lissu ili niwasikie.

Aisee jamaa wanamkubali sana.
 
Kwanza CAG kutaja tu na kuachwa huru ni credit kubwa sana kwamba kila kitu kipo huru sasa
Huoni watumishi wake wanakufa Vifo vya utata?

Uhuru gani unauona wewe. NIPEMAUAYANGU
 
Tulikwa na jamaa anajiita " I am the State"
A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew that existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
C&p
 
A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew that existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
C&p
 
Una proof au umetoka kunywa kahaw?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…