Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Comments Bora kabisa

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
MANY "traitors are now known by their names". Well said! We can name them herein; Bashiru, Polepole, Sabaya and the likes.
 
Ila Tanzania kuna matahira jamani
 
🤣🤣🤣 acha uongo yaani FFU wakae kwenye kijiwe wanamskiliza lisu???

Alafu huyo mropokaji nani anamkubali zaidi ya nyie wajinga.

Alafu suala la Makamba na kinana kupitisha jina la mgombea urais haliwezekani CCM sio kama chadema chama cha familia ya kina mbowe . Yaani hadi mbowe akae na Baba mkwe wake mzee mtei ndio waamue nani awe mgombea urais.

Ccm ni taasisi hakuna alie juu ya Ccm ndio maana hakuna mwenyekiti wa moja kwa moja hadi milele kama chadema mna mwenyekiti wa milele hadi atakapokufa na akifa analisi mwana familia ili ukoo usipotee.

Kinana na Makamba hawana mamlaka ya kuchagua jina la Mgombea urais moja kwa moja acha uoambafu wako
 
Wewe ndiye unayelalamika na kuhangaika kuhusu Magufuli. Sisi tunaoujua ukweli wa nchi hii hatuna muda wa kupoteza kuchambua uozo aliouunda JKN na gullibly akawarithisha “vijana wake” aliofikiri wanaaminika akijidanganya kuwa wataendeleza legacy yake yenye mikanganyiko kibao.

Hili ni Frankenstein’s Monster litakaloendelea kuisulubu nchi hii hadi hapo kizazi chenye uelewa, nia, utashi na ujasiri wa kulifyekelea mbali kitakapoibuka. Uko sahihi kuwa Magufuli alikuwa matokeo ya uozo huo. Nasisitiza hakika Magufuli hakuwa jibu bali kielelezo dhahiri cha hatari za mfumo huo wa ovyo. Alikuwa kichocheo (catalyst) cha kuendeleza maafa ya taifa hili na zaidi ya yote alidhamiria kulipitisha taifa na watu wake ndani ya bonde la kivuli cha mauti kabisa. His was a sinister era indeed.
 
Wewe ni tahira unajua chanzo cha kuondoka manji au unaongea tu kama zwawa
 
SIWEZI KUJIHANGAISHA NA MFU.

I am not a zealot of political necromancy. But facts of what my eyes and ears beheld, those I will testify to the likes of you. Off course, after having detached myself from the hive mindset and unwanted sensationalism.

Nasema tena, kuna watu kama Raisi Magufuli asingewagusa sidhani kama hata upinzani wangedirikia kuwagusa kirahisi hata kama wangechukua nchi.

Sasa tunaweza kuendelea kubishana kuhusu "motive" ya Raisi Magufuli kwenye vita yake dhidi ya hawa watu, lakini jambo ambalo nadhani hatuwezi kulipinga ni kwamba matokeo ya hii vita yameturahisishia watanzania mambo mengi mno.

See you around cupid...
 
Wewe usiwe na wasiwasi sisi binadamu tukikosea tukaanza kutaabika huwa tunamuomba Mungu kisha huwa inampendeza na kisha huwa anaingilia kati.
Kujisemea mzee Hashim Rungwe mzee wa ubwabwa..... Kama si Mungu kuingilia kati..................
 
Nikipata muda andiko lako nitalipandisha kama Uzi
 
Sasa yanayofanyika sasa unaona yako sawa ,vipi uhuru wa kujieleza na kifungo cha mwanamuziki kwa kuimba ushungi,vipi waliotajwa na CAG wa sasa wamefungwa jela gani ?

USSR
Huyo amefikisha mahakamani, amehukumiwa. Wakati ule wa kipindi cha giza watu wasiojylikana wangempotezwa moja kwa moja au maiti yake ingekutwa mtaroni.
 
Crap from a low mind.
 
Achana na hilo pumbavu
Watu wenye akili ndogo ni wepesi sana wa kutukana kuliko kujenga hoja. Kutukana hakuhitaji akili. Kujenga ni lazima uwe na akili.
 
Sasa yanayofanyika sasa unaona yako sawa ,vipi uhuru wa kujieleza na kifungo cha mwanamuziki kwa kuimba ushungi,vipi waliotajwa na CAG wa sasa wamefungwa jela gani ?

USSR

Kwani waliotajwa na CAG kipindi cha dhalimu walifungwa wapi?
 
Interesting construct. Who is that “upinzani”? Someone special or specific distinguished entities or individuals in the citizenry that you recognize? Rivals of Magufuli? CCM? I might be dead to you but not stupid, certainly. I have a long background.

Btw, I have to admit I have no clue about that damn war Magufuli was waging against whoever for “our benefit”. Such that he had to grossly abuse the constitution, laws, and institutions, disrespect us, humiliate us, etc. For sure whatever he did we the people ain’t nowhere near better. And the CCM mafiosi are still roaming the streets and calling the shots.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…