Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Wewe ni tahira unajua chanzo cha kuondoka manji au unaongea tu kama zwawa
Achakunishobokea kijana!.Kama uwezo wako ni mdogo wa kuelewa maana ya majibu mfano na yenye kutafakarisha mtu,usiwe unakurupukia wanaume.
 
Alichokianza JPM 2015 ni lazima kikamilishwe. Majizi na wafanyabishara wa siasa ndio mlioumia.

Kwani Tanzania huru ilianza wakati wa dhalimu? Tanganyika ilianza 1961, hivyo utekelezaji wake ulianza enzi hizo, japo waumini wa dhalimu alifanikiwa kuwabrainwash kwa kuwaonyesha kuwa Tanzania ilianza kipindi yeye akiwa rais.
 
Unataka akiri Gani wakati unafahamu prof Asad kuibua ufisadi tu alitumuliwa yaani jiwe wenu hakutaka kuguswa kabisa alitaka akiiba no one to question ndo mana hata vyombo vya habari vilizimwa yaani nchi iliongozwa gizani. Nchi zozote zinazopambana na ufisadi zinaongozwa kwenye mwanga na vyombo vya habari vinakuwa huru kuripoti chochote

Si ndio hapo sasa, eti mtu anapambana na wezi lakini hataki uwazi! Dhalimu alifanikiwa kutishia watu na kutulazimisha tumuone ni mtu sahihi kwa nchi hii, na yoyote aliyekuwa anahoji uadilifu wake alikuwa anamtoa uhai, kumbambikia kesi, ama kuhujumu njia zake za kumuingizia kipato.
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Ujinga ni kipaji
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
These sound stupid! wewe ni nani hata usiwe na uhakika wa kurudi nyumbani? ulikuwa unafanya nini ktk nchi hii? Kma ni wizi, hiyo ilikuwa haki yako!

Ninachokiona Tanzania tuko tayari kunyamaza kwa kiongozi pumbafu kwa kuwa tu anaturuhusu kuiba na kulawiti nchi. Lakini hatuko tayari kuwa na mtu anayetushika mikono kwa wizi wetu.

Naangalia hali ya sasa ya serikali. Tuna mawaziri ambao hawajui lolote, lakini hutasikia watu kama huyu wakipiga kelele. Eti Riziwani naye ni waziri! Mijitu iko kimya tu, kazi kukumbuka vyeti feki, kutumbuliwa kwa uzembe, nk. Acheni kusambaza upuuzi.
 
Now, this is what I call a hive mindset and over-sensationalism of Tanzanian intelligentsia.

Kama unadhani ufisadi wa CCM ni EPA, BAE-Radar, Tegeta ESCROW, RICHMOND, MEREMETA na DOWANS basi itabidi tukufunge kurunzi la NASA. Tanzania hii kuna watu ambao ni hatari kwa nchi na hata nchi jirani. The Panama Papers zilivyovuja kuna mambo yalikuwa ya hatari mno mle na watanzania walikuwepo, lakini nashangaa wewe hujayagusia hapa kabisa. Wewe umekomaa na ufisadi wa vigogo wa CCM tu ambao uko kwenye magazeti hujagusa yale ya gizani.

The Panama Papers zinasema kuna watanzania wamezaliwa na kukulia mkoa wa Iringa lakini wana ukwasi wa kutisha kiasi cha kumwaga mabilioni ya pesa kwenye vyama vya siasa na makundi ya wahalifu kule nchi za Afrika ya kati na Afrika Magharibi. The trademarks of these people are just appalling, and makes scandals like EPA na ESCROW look like peanuts. If you carefully read the Panama Papers you'll discover that the Richmond CCM thugs are nothing but kindergarten babies compared to these international mafia.


Saying some people are "still untouchable" is a misnomer for phrases "blatant denial", and "sensationalism", which are major drawbacks for acumen and intellectual objectivity.


Hili la CCM kuguswa nadhani wandani wa chama kama Mzee wetu Jakaya Kikwete, Raisi Samia, Mzee Kinana, Mzee Lowassa, Mzee Makamba, Mzee Mangula, Mzee Membe, Mzee Rostam, na Marehemu Mzee Mkapa (May his soul rest in peace), ndiyo wanaweza kutoa majibu sahihi kwamba CCM iliguswa au haikuguswa.


Now, was Magufuli a saint ? No, he wasn't, and I never said he was.
He was a dark figure. Not, only dark, but pitch-black dark.. Nevertheless, he was Darkness in God's servitude.

As a historian and political realist, I have come to understand that Darkness is an integral part of human development.
See! similar cases were evident in America, England, China, Scandinavia, Russia, Singapore, so Tanzania is no different.

Ukweli mchungu ambao wengi wenu humu mliojaa hisia mnashindwa kuukubali hadi kushindwa kuangalia mambo kwa mapana yake ni kwamba vita ya Raisi Magufuli imewanufaisha CCM, CHADEMA, TISS, JWTZ, Raisi Samia na watanzania wote kwa ujumla. Kuna baadhi ya watu hapa nchini kama wasingeondolewa na Raisi Magufuli, hata upinzani wangechukua nchi sidhani kama hata wao wangeweza kuwagusa.

Huu ndiyo ukweli mchungu ambao hata watu kwenye vyombo vya usalama wanaufahamu lakini kwasababu ya chuki na hisia hawawezi kuukubali hadharani. This is understandable on their side, President Magufuli was an excessive lose canon. Moja kati ya majasusi waandamizi nchini, Mzee Mizengo Pinda akiwa waziri mkuu aliwahi kutamka hadharani bungeni kwamba tukiwagusa mafisadi uchumi wa nchi utayumba. Huu ndiyo utamaduni ambao ulijengeka hadi pale alipokuja Raisi Magufuli.

Raisi Samia angemkuta Yusuph Manji yule wa kipindi cha Jakaya Kikwete, sidhani hata kama angediriki kuwatuma vijana wake wa TISS kwenda kumkamata pale uwanja wa ndege wa Nyerere na kumshughulikia. Mtu ambaye kawaweka majaji na wanasheria wa serikali mfukoni, anakopesha makada wa CCM, ameshika tenda kubwa za jeshi, anawahongwa mashehe na kuna vijana wa TISS ni wafanyakazi wake unadhani hata CHADEMA wangechukua nchi wangemfanya kitu ?

Hivi watu kama Patel, Harbinder, Rugemalila unadhani unaweza kuwashinda kwa kwenda nao mahakamani ? Hata huko Marekani mnakopenda kukusifia walishughulika na mafisadi katika njia hizihizi ambazo TISS na Magufuli walizitumia. Ukifuatilia mambo ambayo EDGAR J HOOVER aliyafanya miaka ya 1920's dhidi ya Wakomunisti wa Marekani waliokuwa wanataka kusababisha vurugu, miaka ya 1930's dhidi ya magenge ya wahalifu kama kina John Dilinger, unaweza kubaki mdomo wazi tu. Sema shida yenu kubwa ni kwamba hamuwezi kuungalia ukweli usoni.


Hoja ya mleta mada ni nzito mno, na hakuna muungwana anayeweza kuipinga hata kidogo. Hata binafsi siwezi kuipinga kwasababu nafahamu kilichokuwa kinaendelea hapa nchini kwa kukiona siyo kusimuliwa au kulishwa maneno na mitandao. Hivyo nafahamu ukweli ni upi na wongo ni upi.

Ukweli ni kwamba mtu wa hulka ya Raisi Magufuli alitakiwa aishie nafasi ya utendaji kama uwaziri mkuu na siyo kuachiwa uraisi wa nchi kama Tanzania. Ila akapewa madaraka kwasababu mifumo ya nchi haikuwakubali Lowassa na Membe. So he was a compromise candidate na kulikuwa hakuna mbadala zaidi yake. Lakini pia historia yake ya utendaji ilimbeba sana. Japo wengi tunaomfahamu tokea yuko ujenzi na tabia zake za kibabe tulikuwa tunacheki tu tunasema hawa hawajui wanachokitaka.

Ukweli mwingine ni kwamba Tanzania inabidi ijifunze, hasa watawala wa CCM kwamba Raisi Magufuli alikuwa ni zao la mfumo mbovu wa kushindwa kuandaa viongozi na makundi mabaya ya kukomoana na ulaji yaliyojengwa na Raisi Kikwete na genge lake tokea miaka ya 90's. Hivyo watanzania mnaolalamika mngekuwa waungwana sana kama lawama zingeenda pia kwa watu waliomuweka Raisi Magufuli ilhali wakijua tabia zake ngumu tangu akiwa waziri.

Ukweli mwingine mgumu kuumeza ni kwamba, Raisi Magufuli anapendwa sana na watanzania wa kawaida ambao wewe na mimi tunawaita "Uneducated" and "unsophisticated". Sisi tuliotembea sehemu kubwa ya Tanzania, mjini na vijijini tumekuja kuukubali huu ukweli hata kama hapo mwanzo tulipingana sana na sera za Magufuli. Mpaka sasa naendelea kujifunza vitu vipya na nazidi kubadilika mawazo kuhusu Magufuli, japo baadhi ya sera zake mbovu ntaendelea kuzichukia na kuzilaani.

A Champion of the common folk, is an accolade I cannot deny him. I choose to give the devil his dues.

Uwongo kuhusu Rasi Magufuli ni huu: Kwamba kila aliyeguswa na Raisi Magufuli alikuwa ni mtakatifu na alionewa wivu kwasababu Raisi Magufuli alikuwa ni mtu wa visasi na mwenye kukurupuka. Kwamba Raisi Magufuli alikuwa anawonea wivu wakina Shubash Patel, Sumaiyah, Dewji, Rostam Aziz, Gulam brothers, Manji, Harbinder, Rugemalira na kwamba hawa walikuwa ni malaika ambao hawana dhambi dhidi ya hili taifa. Huu ni upuuzi mkubwa mno, kwasababu mafaili kuhusu hawa watu TISS walianza kuyapeleka ikulu tokea awamu ya tatu lakini yakapigwa kapuni.

Tena kama ulikuwa hujui mafaili haya yalipelekwa kwenye uchaguzi wa CCM mwaka 2005 ili kumfanya Jakaya asiwe Raisi kwasababu alikuwa na mtandao mbaya. Lakini hata Mzee Mkapa na ubabe wake alishindwa kufanya lolote lile kwasababu alikuwa anaogopa kugusu baadhi ya mambo nchi isichafuke.

Uwongo mwingine wa mwisho ambao wengi mnaoupenda ni huu: Utawala wa Raisi Magufuli was a one man's show. Kitu ambacho wengi hamkifahamu ni kwamba Tanzania mbali na madhaifu yake mengi ina mifumo ya kiusalama yenye nguvu kubwa mno. Tanzania is not a ramshackle kleptocracy. Kama Raisi Magufuli angekuwa peke yake basi hata mwaka mmoja asingemaliza salama. Nyuma ya pazia Raisi Magufuli alikuwa anaungwa mkono na genge la MIZEE YA COLD-WAR, ile mijasusi ya tokea kipindi cha Nyerere ambayo haitaki kukubali kwamba vita baridi imeisha na dunia imebadilika.

Kuna wazee wazito ndiyo walikuwa wanampa Magufuli taarifa hadi akaweza kufahamu apige wapi na kufanikiwa kuwakata baadhi ya watu mikia. Hivi unadhani kwa akili ya kawaida tu, Raisi Magufuli anageweza kuwashinda wakina Mkapa na Kikwete kirahisi-rahisi tu ? Kuna wazee nawafahamu wa kichagga, Kihehe, kibena, Kinyakyusa ndani ya mfumo ambao walikuwa wanafurahishwa mno na uongozi wa Raisi Magufuli hadi kumuunga mkono kwenye kumkomesha Jakaya ambaye wengi kizazi cha Nyerere huamini kwamba hakutakiwa kuwa Raisi mwaka 2005 na ndiye kansa ya nchi.

Mwisho kabisa: Nakubali watanzania waliumizwa, lakini tatizo siyo Magufuli peke yake. Kumwangushia jumba lote la lawama na kushindwa kufahamu kwamba kuna maelfu nyuma ya pazia waliouwezesha utawala wake ni ujinga wa kupindukia. Ndiyo maana hata Hitler alipoondoka kulikuwa na The Denazification Project kuwaondoa wafuasi wake watiifu ndani ya Ujerumani. Ila pia kusema kwamba miaka yote mitano hakuna jema ambalo Raisi Magufuli amefanya ni ubazazi ambao mimi binafsi niliyefanikiwa kwenda shule na kuelinika, pamoja na kuifahamu hii nchi vizuri siwezi kukubali kulishwa na mtu yoyote, nimeona kwa macho yangu na kusikia kwa masikio yangu.
Kwa Mimi ninayeamini katika utawala wa Sheria uchambuzi wako haunisaidii kukubaliana na zuri lolote alilofanya Magufuli katika kuisaida Tanzania.

Kama Magufuli alikuwa na nia ya kuisaida Tanzania, kwa nini asijenge mfumo thaniti wa kisheria ambao ungefuatwa na kusimamiwa na Utawala wake? Lakini badala yake akajenga mfumo wa genge lake la kihalifu kuwaumiza Wananchi?
Kisiasa kwa nini wakati wa utawala wake Sheria nyingi sana zilitungwa kukandamiza Upinzani? Kwani wapinza ndo walikuwa wahujumu Uchumi? Kwa nini pesa ya Umma itumike kununua wapinzani na kuwapa vyeo? Kwa nini sifa kuu ya mtu kuteuliwa na Magufuli ilikuwa ni uwezo wa kuwatukana viongozi wa Chama kikuu cha upinzani?

Kuhusu Vyombo vya habari, kwa nini vilizuliwa kutoa habari za Ufisadi wowote hapa Tanzania badala yake vililazimishwa kutangaza na kumsifia yeye tu Magufuli anagundua Ufisadi?

Kuhusu Mahakama, kwa nini mahakama za juu za Tanzania wakati wa utawala wake ziliamua kwa maelekezo yake? Mahakama za mikoa ziliamua kwa maelekezo ya Wakuu wa Mikoa? Mahakama za Wilaya ziliamua kwa maelekezo ya Wakuu wa Wilaya? Na Mahakama za Mwanzo ziliamua kwa maelekezo ya ma-CCM?
Kuhusu mauji ya watu waliokutwa kwenye viroba wakielea kwenye maji, kutekwa kwa watu, na kupotezwa kwa watu. Haya yalifanyika wakati wa utawala wake sijajua yalileta faida gani kwa Taifa zaidi ya kuleta laana kwenye Taifa letu?

Lakini pia ni Kweli kuna mambo mazuri sana ambayo Magufuli alifanya lakini kwa kuzingatia Utawala wa Sheria, kwa maovu aliyoyatenda kwa wakosoaji wake, raia wema na hao munaowaita mafisadi, Magufuli angechunguzwa na kupelekwa Mahakamani angepatikana na hatia na kupewa Adhabu kali sana.

Lakini Mungu ni mwema, ametutetea na kuamua
 
Kwanza CAG kutaja tu na kuachwa huru ni credit kubwa sana kwamba kila kitu kipo huru sasa
Kwani Toka 2016, CAG alikuwa nani na alikuwa haibui matatizo ktk matumizi ya fedha za Serikali?
Kama Bunge limekataa kufanya Kazi na CAG hata alibaki atafanyane kaI yake?
 
Kwani Tanzania huru ilianza wakati wa dhalimu? Tanganyika ilianza 1961, hivyo utekelezaji wake ulianza enzi hizo, japo waumini wa dhalimu alifanikiwa kuwabrainwash kwa kuwaonyesha kuwa Tanzania ilianza kipindi yeye akiwa rais.
Ilipoteza uelekeo kuanzia 2005
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Tatizo la kuwapa Walimu nchi!
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Umeongea vyema lakini umekosea hapo kuponda madarasa ya watu. Futa haponuweke mfano mwengine.

Uongozi siyo shule, ingekuwa yongozi ni shuke, kuna wenye ma phd wangapi hawana hata ujumbe wa nyumba kumi? Fikiri nje ya boks.
 
Ilipoteza uelekeo kuanzia 2005
Labda ulikuwa hujazaliwa, enzi za Nyerere wetu walivaa viraka, na kufulia hadi majani ya mpapai. Dhalimu naye alikuwa anataka kuturudisha zama zile za giza za kumuona rais ni kama Mungu, na ndio mwenye mawazo sahihi, hivyo hapaswi kupingwa.
 
Wewe unaonekana kutojitambua rasmi!

Ebu tuambie,huo uhuru wa habari uliopo sasa ni upi na umeleta tija gani kwa watanzania?

Hao wawekezaji waliopo sasa wana mchango gani katika kuinua ajira nchini,tofauti na ilivyokuwa huko awali?

Wewe uko na upofu wa tumbo maana huyaoni wala huyajui maisha wanayopitia walamba shubili wa nchi hii.

Wewe kimada chawa wa walamba asali endelea na Honeymoon yako,ila majibu rasmi mtayaona 2025.

Hayo maushungi mtayaona mzigo!

2025 kutakuwa na nini boss cha kutishia watu? Kwa taarifa yako mbegu ya upuuzi aliyopandikiza dhalimu ya kupora chaguzi za nchi, hakuna kiongozi yoyote wa CCM ataacha kuitumia. Usishangae huyo mama akaamua kutangazwa kwa kura nyingi kuliko idadi ya watanzania wote ikiwemo na watoto. Dhalimu amefanya uchaguzi kugeuka kuwa upuuzi kama upuuzi mwingine. Hivyo ukitishia majizi ya kura hiyo 2025 wanakuchora tu.
 
Wewe unaonekana kutojitambua rasmi!

Ebu tuambie,huo uhuru wa habari uliopo sasa ni upi na umeleta tija gani kwa watanzania?

Hao wawekezaji waliopo sasa wana mchango gani katika kuinua ajira nchini,tofauti na ilivyokuwa huko awali?

Wewe uko na upofu wa tumbo maana huyaoni wala huyajui maisha wanayopitia walamba shubili wa nchi hii.

Wewe kimada chawa wa walamba asali endelea na Honeymoon yako,ila majibu rasmi mtayaona 2025.

Hayo maushungi mtayaona mzigo!

2025 kutakuwa na nini boss cha kutishia watu? Kwa taarifa yako mbegu ya upuuzi aliyopandikiza dhalimu ya kupora chaguzi za nchi, hakuna kiongozi yoyote wa CCM ataacha kuitumia. Usishangae huyo mama akaamua kutangazwa kwa kura nyingi kuliko idadi ya watanzania wote ikiwemo na watoto. Dhalimu amefanya uchaguzi kugeuka kuwa upuuzi kama upuuzi mwingine. Hivyo ukitishia majizi ya kura hiyo 2025 wanakuchora
Now, this is what I call a hive mindset and over-sensationalism of Tanzanian intelligentsia.

Kama unadhani ufisadi wa CCM ni EPA, BAE-Radar, Tegeta ESCROW, RICHMOND, MEREMETA na DOWANS basi itabidi tukufunge kurunzi la NASA. Tanzania hii kuna watu ambao ni hatari kwa nchi na hata nchi jirani. The Panama Papers zilivyovuja kuna mambo yalikuwa ya hatari mno mle na watanzania walikuwepo, lakini nashangaa wewe hujayagusia hapa kabisa. Wewe umekomaa na ufisadi wa vigogo wa CCM tu ambao uko kwenye magazeti hujagusa yale ya gizani.

The Panama Papers zinasema kuna watanzania wamezaliwa na kukulia mkoa wa Iringa lakini wana ukwasi wa kutisha kiasi cha kumwaga mabilioni ya pesa kwenye vyama vya siasa na makundi ya wahalifu kule nchi za Afrika ya kati na Afrika Magharibi. The trademarks of these people are just appalling, and makes scandals like EPA na ESCROW look like peanuts. If you carefully read the Panama Papers you'll discover that the Richmond CCM thugs are nothing but kindergarten babies compared to these international mafia.


Saying some people are "still untouchable" is a misnomer for phrases "blatant denial", and "sensationalism", which are major drawbacks for acumen and intellectual objectivity.


Hili la CCM kuguswa nadhani wandani wa chama kama Mzee wetu Jakaya Kikwete, Raisi Samia, Mzee Kinana, Mzee Lowassa, Mzee Makamba, Mzee Mangula, Mzee Membe, Mzee Rostam, na Marehemu Mzee Mkapa (May his soul rest in peace), ndiyo wanaweza kutoa majibu sahihi kwamba CCM iliguswa au haikuguswa.


Now, was Magufuli a saint ? No, he wasn't, and I never said he was.
He was a dark figure. Not, only dark, but pitch-black dark.. Nevertheless, he was Darkness in God's servitude.

As a historian and political realist, I have come to understand that Darkness is an integral part of human development.
See! similar cases were evident in America, England, China, Scandinavia, Russia, Singapore, so Tanzania is no different.

Ukweli mchungu ambao wengi wenu humu mliojaa hisia mnashindwa kuukubali hadi kushindwa kuangalia mambo kwa mapana yake ni kwamba vita ya Raisi Magufuli imewanufaisha CCM, CHADEMA, TISS, JWTZ, Raisi Samia na watanzania wote kwa ujumla. Kuna baadhi ya watu hapa nchini kama wasingeondolewa na Raisi Magufuli, hata upinzani wangechukua nchi sidhani kama hata wao wangeweza kuwagusa.

Huu ndiyo ukweli mchungu ambao hata watu kwenye vyombo vya usalama wanaufahamu lakini kwasababu ya chuki na hisia hawawezi kuukubali hadharani. This is understandable on their side, President Magufuli was an excessive lose canon. Moja kati ya majasusi waandamizi nchini, Mzee Mizengo Pinda akiwa waziri mkuu aliwahi kutamka hadharani bungeni kwamba tukiwagusa mafisadi uchumi wa nchi utayumba. Huu ndiyo utamaduni ambao ulijengeka hadi pale alipokuja Raisi Magufuli.

Raisi Samia angemkuta Yusuph Manji yule wa kipindi cha Jakaya Kikwete, sidhani hata kama angediriki kuwatuma vijana wake wa TISS kwenda kumkamata pale uwanja wa ndege wa Nyerere na kumshughulikia. Mtu ambaye kawaweka majaji na wanasheria wa serikali mfukoni, anakopesha makada wa CCM, ameshika tenda kubwa za jeshi, anawahongwa mashehe na kuna vijana wa TISS ni wafanyakazi wake unadhani hata CHADEMA wangechukua nchi wangemfanya kitu ?

Hivi watu kama Patel, Harbinder, Rugemalila unadhani unaweza kuwashinda kwa kwenda nao mahakamani ? Hata huko Marekani mnakopenda kukusifia walishughulika na mafisadi katika njia hizihizi ambazo TISS na Magufuli walizitumia. Ukifuatilia mambo ambayo EDGAR J HOOVER aliyafanya miaka ya 1920's dhidi ya Wakomunisti wa Marekani waliokuwa wanataka kusababisha vurugu, miaka ya 1930's dhidi ya magenge ya wahalifu kama kina John Dilinger, unaweza kubaki mdomo wazi tu. Sema shida yenu kubwa ni kwamba hamuwezi kuungalia ukweli usoni.


Hoja ya mleta mada ni nzito mno, na hakuna muungwana anayeweza kuipinga hata kidogo. Hata binafsi siwezi kuipinga kwasababu nafahamu kilichokuwa kinaendelea hapa nchini kwa kukiona siyo kusimuliwa au kulishwa maneno na mitandao. Hivyo nafahamu ukweli ni upi na wongo ni upi.

Ukweli ni kwamba mtu wa hulka ya Raisi Magufuli alitakiwa aishie nafasi ya utendaji kama uwaziri mkuu na siyo kuachiwa uraisi wa nchi kama Tanzania. Ila akapewa madaraka kwasababu mifumo ya nchi haikuwakubali Lowassa na Membe. So he was a compromise candidate na kulikuwa hakuna mbadala zaidi yake. Lakini pia historia yake ya utendaji ilimbeba sana. Japo wengi tunaomfahamu tokea yuko ujenzi na tabia zake za kibabe tulikuwa tunacheki tu tunasema hawa hawajui wanachokitaka.

Ukweli mwingine ni kwamba Tanzania inabidi ijifunze, hasa watawala wa CCM kwamba Raisi Magufuli alikuwa ni zao la mfumo mbovu wa kushindwa kuandaa viongozi na makundi mabaya ya kukomoana na ulaji yaliyojengwa na Raisi Kikwete na genge lake tokea miaka ya 90's. Hivyo watanzania mnaolalamika mngekuwa waungwana sana kama lawama zingeenda pia kwa watu waliomuweka Raisi Magufuli ilhali wakijua tabia zake ngumu tangu akiwa waziri.

Ukweli mwingine mgumu kuumeza ni kwamba, Raisi Magufuli anapendwa sana na watanzania wa kawaida ambao wewe na mimi tunawaita "Uneducated" and "unsophisticated". Sisi tuliotembea sehemu kubwa ya Tanzania, mjini na vijijini tumekuja kuukubali huu ukweli hata kama hapo mwanzo tulipingana sana na sera za Magufuli. Mpaka sasa naendelea kujifunza vitu vipya na nazidi kubadilika mawazo kuhusu Magufuli, japo baadhi ya sera zake mbovu ntaendelea kuzichukia na kuzilaani.

A Champion of the common folk, is an accolade I cannot deny him. I choose to give the devil his dues.

Uwongo kuhusu Rasi Magufuli ni huu: Kwamba kila aliyeguswa na Raisi Magufuli alikuwa ni mtakatifu na alionewa wivu kwasababu Raisi Magufuli alikuwa ni mtu wa visasi na mwenye kukurupuka. Kwamba Raisi Magufuli alikuwa anawonea wivu wakina Shubash Patel, Sumaiyah, Dewji, Rostam Aziz, Gulam brothers, Manji, Harbinder, Rugemalira na kwamba hawa walikuwa ni malaika ambao hawana dhambi dhidi ya hili taifa. Huu ni upuuzi mkubwa mno, kwasababu mafaili kuhusu hawa watu TISS walianza kuyapeleka ikulu tokea awamu ya tatu lakini yakapigwa kapuni.

Tena kama ulikuwa hujui mafaili haya yalipelekwa kwenye uchaguzi wa CCM mwaka 2005 ili kumfanya Jakaya asiwe Raisi kwasababu alikuwa na mtandao mbaya. Lakini hata Mzee Mkapa na ubabe wake alishindwa kufanya lolote lile kwasababu alikuwa anaogopa kugusu baadhi ya mambo nchi isichafuke.

Uwongo mwingine wa mwisho ambao wengi mnaoupenda ni huu: Utawala wa Raisi Magufuli was a one man's show. Kitu ambacho wengi hamkifahamu ni kwamba Tanzania mbali na madhaifu yake mengi ina mifumo ya kiusalama yenye nguvu kubwa mno. Tanzania is not a ramshackle kleptocracy. Kama Raisi Magufuli angekuwa peke yake basi hata mwaka mmoja asingemaliza salama. Nyuma ya pazia Raisi Magufuli alikuwa anaungwa mkono na genge la MIZEE YA COLD-WAR, ile mijasusi ya tokea kipindi cha Nyerere ambayo haitaki kukubali kwamba vita baridi imeisha na dunia imebadilika.

Kuna wazee wazito ndiyo walikuwa wanampa Magufuli taarifa hadi akaweza kufahamu apige wapi na kufanikiwa kuwakata baadhi ya watu mikia. Hivi unadhani kwa akili ya kawaida tu, Raisi Magufuli anageweza kuwashinda wakina Mkapa na Kikwete kirahisi-rahisi tu ? Kuna wazee nawafahamu wa kichagga, Kihehe, kibena, Kinyakyusa ndani ya mfumo ambao walikuwa wanafurahishwa mno na uongozi wa Raisi Magufuli hadi kumuunga mkono kwenye kumkomesha Jakaya ambaye wengi kizazi cha Nyerere huamini kwamba hakutakiwa kuwa Raisi mwaka 2005 na ndiye kansa ya nchi.

Mwisho kabisa: Nakubali watanzania waliumizwa, lakini tatizo siyo Magufuli peke yake. Kumwangushia jumba lote la lawama na kushindwa kufahamu kwamba kuna maelfu nyuma ya pazia waliouwezesha utawala wake ni ujinga wa kupindukia. Ndiyo maana hata Hitler alipoondoka kulikuwa na The Denazification Project kuwaondoa wafuasi wake watiifu ndani ya Ujerumani. Ila pia kusema kwamba miaka yote mitano hakuna jema ambalo Raisi Magufuli amefanya ni ubazazi ambao mimi binafsi niliyefanikiwa kwenda shule na kuelinika, pamoja na kuifahamu hii nchi vizuri siwezi kukubali kulishwa na mtu yoyote, nimeona kwa macho yangu na kusikia kwa masikio yangu.

Boss una story za mikwara ya hatari, au huwa unasoma na kuangalia movies za action ndio unaleta habari hizo nini? Kwamba kuna watanzania wamezaliwa Iringa na wana ukwasi wa hatari, hadi kufadhili vyama na makundi mbalimbali, cha ajabu hata kuwataja tu umeshindwa wakati unatumia fake I'd!

Hakuna anayesema Magufuli hajafanya mambo kadhaa kwa usahihi, hakuna lolote alilofanya kama jema, bali amefanya kama wajibu wa nafasi yake ya urais, kwani hakuna hata moja alilofanya kama hisani, labda kwa aliowapa vyao vya upendeleo, na ubunge katika uchaguzi wa kishenzi Kupata kutokea hapa Tanzania.
 
Si ndio hapo sasa, eti mtu anapambana na wezi lakini hataki uwazi! Dhalimu alifanikiwa kutishia watu na kutulazimisha tumuone ni mtu sahihi kwa nchi hii, na yoyote aliyekuwa anahoji uadilifu wake alikuwa anamtoa uhai, kumbambikia kesi, ama kuhujumu njia zake za kumuingizia kipato.
Endelea kulishwa matango pori ya mafisadi karumekenge wewe
 
Watu wenye akili ndogo ni wepesi sana wa kutukana kuliko kujenga hoja. Kutukana hakuhitaji akili. Kujenga ni lazima uwe na akili.
Akili yako haina akili,bwege tu wewe
 
🤣🤣🤣 acha uongo yaani FFU wakae kwenye kijiwe wanamskiliza lisu???

Alafu huyo mropokaji nani anamkubali zaidi ya nyie wajinga.

Alafu suala la Makamba na kinana kupitisha jina la mgombea urais haliwezekani CCM sio kama chadema chama cha familia ya kina mbowe . Yaani hadi mbowe akae na Baba mkwe wake mzee mtei ndio waamue nani awe mgombea urais.

Ccm ni taasisi hakuna alie juu ya Ccm ndio maana hakuna mwenyekiti wa moja kwa moja hadi milele kama chadema mna mwenyekiti wa milele hadi atakapokufa na akifa analisi mwana familia ili ukoo usipotee.

Kinana na Makamba hawana mamlaka ya kuchagua jina la Mgombea urais moja kwa moja acha uoambafu wako
Hilo povu sasa duuh.
Mkuu umepaniki utadhani Baba yako ndio atakuwa rais😅😅
 
Back
Top Bottom