Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Narudia tena, tusije kurudia kufanya kosa kama la 2015. Nchi ilikuwa inaenda kufa

Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Jiwe was a satan
 
What happened today afternoon, would never have happened during those bad days of tyrannical regime of the Python of Chato. This day shall go down in history as a day of infamy, where Tanganyika was officially auctioned off to the Arabs by a woman who is not a Tanganyikan.

I say this, Better the devil you know........


Alaas!!, Who then achitectured the existing parliament which blessed the auction?!!--- The Speaker was sorely prepared to take the seat by the Python, in no way Will the man of Chato duck the on going and any coming menaces in our country, essentially it is one who built the foundation.
 
Alaas!!, Who then achitectured the existing parliament which blessed the auction?!!--- The Speaker was sorely prepared to take the seat by the Python, in no way Will the man of Chato duck the on going and any coming menaces in our country, essentially it is one who built the foundation.
Kwamba unataka kusema bunge letu lingekuwa na watu tofauti huu mkataba usingepita, si ndiyo ???
Kwamba awamu za huko nyuma mambo yalikuwa ni tofauti, wabunge walikuwa na nguvu.
 
Kwamba unataka kusema bunge letu lingekuwa na watu tofauti huu mkataba usingepita, si ndiyo ???
Kwamba awamu za huko nyuma mambo yalikuwa ni tofuati, wabunge walikuwa na nguvu.


Kama Uchaguzi mkuu uliopita ungalikuwa ni wa haki leo CCM isingalikuwepo madarakani kabisa, kinachiendelea leo nchini mwetu ni laana ya uchaguzi haramu iliyofanywa na Magufuli, Yeye Mwenyewe na Makamu wake na Wabunge wote walipita katika njia za haramu na HARAMU siku zote HUZAA HARAMU na ndio maana leo tunashuhudia nchi yetu ikipigwa mnada mbele ya macho yetu.
 
Kama Uchaguzi mkuu uliopita ungalikuwa ni wa haki leo CCM isingalikuwepo madarakani kabisa, kinachiendelea leo nchini mwetu ni laana ya uchaguzi haramu iliyofanywa na Magufuli, Yeye Mwenyewe na Makamu wake na Wabunge wote walipita katika njia za haramu na HARAMU siku zote HUZAA HARAMU na ndio maana leo tunashuhudia nchi yetu ikipigwa mnada mbele ya macho yetu.
Ni lini uchaguzi umekuwa siyo haramu hapa Tanganyika ???
 
Ni lini uchaguzi umekuwa siyo haramu hapa Tanganyika ???


Chaguzi zote angalau huwa nusu-haramu lakini ule uliopita ulikuwa haramu kamili, angalia; hao wabunge 19 (the covid 19) wanawakilisha chama kipi??--- hapo ndipo itaona uharamu kamili wa uchaguzi uliopita na matokeo yake ndio haya tunayoyaona leo.
 
Chaguzi zote angalau huwa nusu-haramu lakini ule uliopita ulikuwa haramu kamili, angalia; hao wabunge 19 (the covid 19) wanawakilisha chama kipi??--- hapo ndipo itaona uharamu kamili wa uchaguzi uliopita na matokeo yake ndio haya tunayoyaona leo.
Nusu haramu ndiyo nini ?
 
Magufuli alikuwa na madhaifu mengi, lakini wahenge husema "zimwi likujualo halikuli ukakwisha"

Natumai watanganyika wote tumeona kilichotokea leo bungeni. Niwapeni tu taarifa, kwambu huu ni mwanzo tu. Kuna mengi yanakuja ambayo hamtaamini kama yanatokea hapa Tanganyika. Mtakuja kuamka mmechelewa sana. Kama huu ndiyo utawala wa kisheria basi niwatakieni kila la kheri wakuu.

But I say this, Better the devil you know...
Hili bunge ni matokeo yake pia, Magufuli angeweza kuijenga vizuri mno Tanganyika sema ndio hivyo yashapita...
 
A short lived frenzy and hysteria...Some Say
A Good riddance...Some say Too
A homicidal maniac....His common nomenclature

But I say this, with all his pitfalls, President Magufuli successfully put to light a grotesque and diabolical nefarious cabal that has stealthily sucked our nation's resources like leeches. The people whom we never knew existed. Most of traitors are now known by their names and monikers. For this, he earned my deepest respect.
Kingeresa chako kibaya ila nimekielewa
 
Nusu haramu ndiyo nini ?


Nusu maana yake ukiwa na kitu kizima na ukakikata vipande viwili vilivyokuwa sawa, kila kipande ndio huitwa nusu.

Katika Chaguzi nyingi zilizopita, (ukiondoa huu wa mwishoni), za vyama vingi angalau haki ilikuwa ikitendendeka sambamba na dhuluma ndio maana nasema chaguzi zilizopita kabla ya huu wa mwishoni (2020) zilikuwa nusu-haramu kwa maana kwamba pia nusu-halali nayo ilikuwepo na ndio maana hata Wabunge wa upinzani walikuwemo bungeni.
 
Nusu maana yake ukiwa na kitu kizima na ukakikata vipande viwili vilivyokuwa sawa, kila kipande ndio huitwa nusu.

Katika Chaguzi nyingi zilizopita, (ukiondoa huu wa mwishoni), za vyama vingi angalau haki ilikuwa ikitendendeka sambamba na dhuluma ndio maana nasema chaguzi zilizopita kabla ya huu wa mwishoni (2020) zilikuwa nusu-haramu kwa maana kwamba pia nusu-halali nayo ilikuwepo na ndio maana hata Wabunge wa upinzani walikuwemo bungeni.
Hao wabunge wa upinzani walizuia mkataba gani huko bungeni ?
 
What happened today afternoon, would never have happened during those bad days of tyrannical regime of the Python of Chato. This day shall go down in history as a day of infamy, where Tanganyika was officially auctioned off to the Arabs by a woman who is not a Tanganyikan.

I say this, Better the devil you know........
Chuki zako zitakuua.
 
Kwamba unataka kusema bunge letu lingekuwa na watu tofauti huu mkataba usingepita, si ndiyo ???
Kwamba awamu za huko nyuma mambo yalikuwa ni tofuati, wabunge walikuwa na nguvu.
Atutajie ni Bunge lipi hapo kabla liliwahi kupinga suala lililoletwa na Serikali kujadiliwa bungeni ! Kuanzia bunge la kwanza la vyama vingi 1995 !
 
Raisi Samia siyo Mtanganyika = A Fact
Raisi Samia kauza mali za Tanganyika = A Fact
Raisi Samia kauza mali za Tanganyika kwa Waarabu = Also a Fact
Hakuna dact hapo rudi darasani.
Fact ni kwamba kama hamuwataki Wazanzibar vunjwni Muungano mbona watafurahi? Samia
 
Hakuna dact hapo rudi darasani.
Fact ni kwamba kama hamuwataki Wazanzibar vunjwni Muungano mbona watafurahi? Samia
Raisi Samia siyo Mtanganyika = A Fact
Raisi Samia kauza mali za Tanganyika = A Fact
Raisi Samia kauza mali za Tanganyika kwa Waarabu = Also a Fact
 
Ukiwa na maana ya kwamba chaguzi za kabla ya 2020 zilikuwa za haki?
Kama Uchaguzi mkuu uliopita ungalikuwa ni wa haki leo CCM isingalikuwepo madarakani kabisa, kinachiendelea leo nchini mwetu ni laana ya uchaguzi haramu iliyofanywa na Magufuli, Yeye Mwenyewe na Makamu wake na Wabunge wote walipita katika njia za haramu na HARAMU siku zote HUZAA HARAMU na ndio maana leo tunashuhudia nchi yetu ikipigwa mnada mbele ya macho yetu.
 
Kila kitu kilikuwa kinaenda ovyo kana kwamba tunaongozwa na darasa la saba au nursery kabisa.

Hebu fikiria yafuatayo:

1. Uhuru wa habari ulikuwa umezimwa kama mshumaa ikabaki ni kumsifia tu mpaka kikaanziaha kipindi Cha kishindo Cha awamu ya tano.

2. CAG alivyoibua madudu tu akatumbuliwa fasta.

3. Wawekezaji wanakimbia daily wa nje na ndani nchi ikabaki biashara ni ngumu na ukumbuke watu walikuwa wanapoteza ajira daily ndo ikazalisha mass unemployment tunayoiona Leo.

4. Ukiamka tu asubuhi hujui kama utarudi nyumbani salama mana wasiojulikana walikuwa wametanda kila Kona na tunaogopana hasa.

5. Madudu ya yule bwana ni mengi mno natumia kuandika kitabu ili iwe fundisho kwa wengine
Wewe ndio unatupangia wa wakumchagua hatumchagui mtu kwa kuangalia chuki zenu na visasi baada ya Magufuli kuwanyoosha vyeti feki, wakwepa kodi, mafisadi, walamba asali, majizi, wauza ngada mnaomba asirudi tena
 
Nusu maana yake ukiwa na kitu kizima na ukakikata vipande viwili vilivyokuwa sawa, kila kipande ndio huitwa nusu.

Katika Chaguzi nyingi zilizopita, (ukiondoa huu wa mwishoni), za vyama vingi angalau haki ilikuwa ikitendendeka sambamba na dhuluma ndio maana nasema chaguzi zilizopita kabla ya huu wa mwishoni (2020) zilikuwa nusu-haramu kwa maana kwamba pia nusu-halali nayo ilikuwepo na ndio maana hata Wabunge wa upinzani walikuwemo bungeni.
Hawakuwa na nguvu ya kuzuia masuala ambayo serikali ya ccm imetaka kuyapitisha, kunahitajika wabunge wengi zaidi wa upinzani.
 
Back
Top Bottom