Narudia tena, Usafiri wa daladala hapa Dar es Salaam ni kwa ajili ya watu masikini

Hapo ulipo akaunti yako ya benki haya 30,000 hauna halafu unakuja kuandika uharo. Gari kitu gani jenga mijengo miliki nyumba za kifahari upangishe totoz.
 
 
Sio lazima usimame mkuu unaweza chuchumaa,kupiga magoti na hata kujiegemeza kwenye miguu ya abiria mwenzako aliyesimama au hata kukaa.Haijazuiwa unaweza kufanya kati ya hayo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…