Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Hapo ulipo akaunti yako ya benki haya 30,000 hauna halafu unakuja kuandika uharo. Gari kitu gani jenga mijengo miliki nyumba za kifahari upangishe totoz.unajipa matumaini lakini matajiri kama hawataki kutumia magari yao basi wana kodisha bolt au uber ....hayo mambo ya kubanana kwenye madaladala si ya kitoto .....yaani mtu uwe na kauwezo halafu ugombanie daladala mara ukanyagwe,upumuliwe ...duh hiyo wanaweza Wakinga tu au yule tajiri anayemiliki kampuni kuuubwa ya GALILAYA manake ni utajiri wao ni wa masharti...
Usafiri wa daladala hapa Dar ni kwaajili ya maskini.
Vijana tutafute pesa huku tukimwomba Mungu atuepushe na Usafiri huu uliojaa karaha na kadhia.
Haiwekani mtu una pesa zako usimame Kariakoo mpaka Mbagala, au usimame Kariakoo mpaka Tegeta.
Jioni ukitoka mjini kwenda pembezoni mwa jiji unavizia basi la kugeuka nalo ili upate siti, nako ukishangaa hupati.
Makonda jioni wanaringa kama wasichana mabikira.
Watu wananuka sigara mnapumuliana.
Indeed, mkuu.I doubt some people are not aware about priorities
saa moja na nusu asubuhiHuwa unapanda saa ngapi aseee .. nijiweke karibu karibu, kuna raha ya kubambia abiri 😀
Nitapata raha dunia, navyopenda wafupi unakaficha 😀😀😀😀.. tena kwa kubambia ndio mahala pakesaa moja na nusu asubuhi
jioni saa 12 na robo
monday to friday
angalia tu mdada mfupi mnene anadread fupi fupi hivi
[emoji23][emoji23]Mafuta ya elf 50 kwa wiki yanatosha kwenye ki baby walker, siyo gari...
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Mkuu umenikumbusha machungu...leo nimesimama kuanzia kariakoo hadi chanika
Leo umevaaje?saa moja na nusu asubuhi
jioni saa 12 na robo
monday to friday
angalia tu mdada mfupi mnene anadread fupi fupi hivi
orange tshirt na blue jeansLeo umevaaje?
Nimevaa fulana imeandikwa My Money Grows Like Grass, jinzi ya kuchanika chanika na ndala zile nyeupe.orange tshirt na blue jeans
Nimevaa fulana imeandikwa My Money Grows Like Grass, jinzi ya kuchanika chanika na ndala zile nyeupe.
Nakuja
hahahaaa poa naja piaNimevaa fulana imeandikwa My Money Grows Like Grass, jinzi ya kuchanika chanika na ndala zile nyeupe.
Nakuja
Du!!! Elfu 50 kwa wiki nzima .. hiyo ni Pikipiki au Gari?Mafuta ya elfu 50 yanatosha wiki mzima, sasa ukimwona mtu mpaka anapaki gari nyumbani kwasababu ya mafuta kukata huyo bado maskini
Wiki ya siku 5 ndugu. Gari nyingi tu zina afford mafuta ya 50k kwa wiki moja.Du!!! Elfu 50 kwa wiki nzima .. hiyo ni Pikipiki au Gari?
Manabii wa kizazi hiki ndio wanabatiza hivyo, hahahMkuu hv huo ubatizo unaoendelea Kwny avatar yako ni ubatizo wa maji mengi na je ni rasmi[emoji16][emoji16]
Naomba kuongezea nyama kidogo kuwa waliopanga apartment za 1200USD na kuendelea ni matajiri nao ni wapangaji na hawatumii usafiri wa ummaNaomba kuongezea nyama kidogo kuwa kupanga jijini Dar ni kwa masikini matajiri wamejenga halafu wanatumia usafiri wa umma
Mkuu kuendesha pia kuna usumbufu sana kama sis wenye gari manualUsumbufu wa kuendesha?
Yaani unaona bora ubanwe kwenye daladala na kila aina ya kadhia kisa gari linakusumbua kuendesha?