Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Hapo ulipo akaunti yako ya benki haya 30,000 hauna halafu unakuja kuandika uharo. Gari kitu gani jenga mijengo miliki nyumba za kifahari upangishe totoz.unajipa matumaini lakini matajiri kama hawataki kutumia magari yao basi wana kodisha bolt au uber ....hayo mambo ya kubanana kwenye madaladala si ya kitoto .....yaani mtu uwe na kauwezo halafu ugombanie daladala mara ukanyagwe,upumuliwe ...duh hiyo wanaweza Wakinga tu au yule tajiri anayemiliki kampuni kuuubwa ya GALILAYA manake ni utajiri wao ni wa masharti...