Mmoja aliomba nimshikie mtoto nikamuuliza huyo mtoto umemfunga pampaz? Akasema hapana.nikasema akinikojolea?😂😂 big noHawasemi anakaa tu hata wenye watoto unampisha anayaweka tu hata kusema asante jamani?
[emoji23][emoji23][emoji23]Walemavu tuwapishe hawakuomba kuwa walemavu
Wajawazito na wenye watoto inahitaji mjadala
Ila wazee hapana.
Mitaani kuna magari hadi milioni tatu,bodaboda used mpaka laki sita,hivi kweli mpaka unafika miaka sitini na zaidi hata pikipiki imekushinda
Tukiacha kuwapisha tutawapa uchungu wa kupambana na maisha hata katika uzee wao
Kuwapisha siti ni kuwadekeza na kuwafanya wabweteke
Vijana pambaneni msitegemee hisani ya kupishwa siti uzeeni
Mimi hata ukija na miaka 89 sikupishi nakuangalia macho makavu sikupishi
We kula bata ujanani ila jua uzeeni tutakutana kwenye daladala.
Uzee si ugonjwa ni baraka tusiogope uzee,nimejisikia kuwatania babu na bibi zetu
Unenikumbusha Miaka kadhaa nyuma; kuna Jamaa alikuwa mwanafunzi chuo flani amepanga kwa Msataafu mmoja anaishi na Familia yake..Kuna mzee mmoja huwa ananiomba nimsaidie kutoa hell zake huwa aninipa password yake kbsa pia Ana watot 3 ila hawaamini Yuko radhi anisubiri mpk nije ndio nikamletee hella nmb au mpesa anazotumiwa za mazao shambn kwake ..
Password Ni 0961 [emoji16]
Watot wake wa kike alinifata nimpe namb za Siri za Bab ake ila nimegoma siku hz wananichukia San yey na mam yake mzeee ananimbia nikijaribu kutoa password nitakufa namm nimeingia ofu mbaya Ana account mbili za nmb na crdb hyo ya nmb ndio zilizoingiza hzo pesion
Mzee yule alishakuwa mpk mkurugenzi wa halmashuri kadha hapa nchin
Kwa kweli kila nilifanya muahama wowote napata 20000 jus Kati ndio akanikunjia Mia mbili baada ya kumuelezea tatizo Langu
[emoji848]Erick ShigongoUnenikumbusha Miaka kadhaa nyuma; kuna Jamaa alikuwa mwanafunzi chuo flani amepanga kwa Msataafu mmoja anaishi na Familia yake..
Huyu Mwanachuo alikuwa mtu Wa Dini sana ilhali Vijana Wa Mzee Mstaafu walikataa shule wakawa watu Wa mitungi na Bhange tu. Mstaafu akatokea kumwelewa sana Bwana mdogo mpaka akamkabidhi Kadi yake ya Benki. Siku akitaka pesa anamwambia Dogo amtolee mpunga Kwenye ATM maeneo ya chuoni kwao akirejea maskani awe anampatia.
Maisha yakaenda hivyo, huku Familia haijui kuwa Mzee amekabidhi kadi kwa Dogo maana Mzee alimwambia wakijua watakusumbua.. Sasa siku moja Ghafla Mzee Presha ikapanda, ile kumwahisha Hospitali akafia njiani. Jioni Jamaa anarejea akakutana na msiba, Mama Analia na kuomboleza wataishije bila Mzee.
Dogo akala buyu tu mpaka walipomaliza kuzika ndipo akamwita Mama pembeni akamkabidhi kadi akamwambia hii alinipa Mzee niwe namtolea Pesa na kwenye akaunti kimebakia kiasi kadhaa. Mama hakuamini macho yake. Kuanzia siku ile Dogo akawa halipi kodi na akawekwa kwenye orodha ya msosi kama mmoja Wa watoto Wa Mama. Na jukumu la kutoa pesa Mama akamwachia aendelee nalo pindi akihitaji pesa.
Yule Jamaa alipomaliza chuo hakumaliza mwezi Mtaani akala Shavu kwenye Mashirika ya UN, Mshahara mnono na marupurupu ya maana. Mpaka Leo anamhudumia yule Mama pamoja na kuipa sapoti zote Familia ya Marehemu Mstaafu, na hata shughuli za kuozesha mabinti Wa Mstaafu Mama alimkabidhi Jamaa asimamie kama Kaka Mkubwa Wa Familia..
Good people are still thereUnenikumbusha Miaka kadhaa nyuma; kuna Jamaa alikuwa mwanafunzi chuo flani amepanga kwa Msataafu mmoja anaishi na Familia yake..
Huyu Mwanachuo alikuwa mtu Wa Dini sana ilhali Vijana Wa Mzee Mstaafu walikataa shule wakawa watu Wa mitungi na Bhange tu. Mstaafu akatokea kumwelewa sana Bwana mdogo mpaka akamkabidhi Kadi yake ya Benki. Siku akitaka pesa anamwambia Dogo amtolee mpunga Kwenye ATM maeneo ya chuoni kwao akirejea maskani awe anampatia.
Maisha yakaenda hivyo, huku Familia haijui kuwa Mzee amekabidhi kadi kwa Dogo maana Mzee alimwambia wakijua watakusumbua.. Sasa siku moja Ghafla Mzee Presha ikapanda, ile kumwahisha Hospitali akafia njiani. Jioni Jamaa anarejea akakutana na msiba, Mama Analia na kuomboleza wataishije bila Mzee.
Dogo akala buyu tu mpaka walipomaliza kuzika ndipo akamwita Mama pembeni akamkabidhi kadi akamwambia hii alinipa Mzee niwe namtolea Pesa na kwenye akaunti kimebakia kiasi kadhaa. Mama hakuamini macho yake. Kuanzia siku ile Dogo akawa halipi kodi na akawekwa kwenye orodha ya msosi kama mmoja Wa watoto Wa Mama. Na jukumu la kutoa pesa Mama akamwachia aendelee nalo pindi akihitaji pesa.
Yule Jamaa alipomaliza chuo hakumaliza mwezi Mtaani akala Shavu kwenye Mashirika ya UN, Mshahara mnono na marupurupu ya maana. Mpaka Leo anamhudumia yule Mama pamoja na kuipa sapoti zote Familia ya Marehemu Mstaafu, na hata shughuli za kuozesha mabinti Wa Mstaafu Mama alimkabidhi Jamaa asimamie kama Kaka Mkubwa Wa Familia..
Unamwacha tu asimame na mwanaye, yaani mtu unaenda mtaani bila kumvalisha mtoto vizuri ujinga tu.Mmoja aliomba nimshikie mtoto nikamuuliza huyo mtoto umemfunga pampaz? Akasema hapana.nikasema akinikojolea?[emoji23][emoji23] big no
I love beautiful stories like this. With good endings.Unenikumbusha Miaka kadhaa nyuma; kuna Jamaa alikuwa mwanafunzi chuo flani amepanga kwa Msataafu mmoja anaishi na Familia yake..
Huyu Mwanachuo alikuwa mtu Wa Dini sana ilhali Vijana Wa Mzee Mstaafu walikataa shule wakawa watu Wa mitungi na Bhange tu. Mstaafu akatokea kumwelewa sana Bwana mdogo mpaka akamkabidhi Kadi yake ya Benki. Siku akitaka pesa anamwambia Dogo amtolee mpunga Kwenye ATM maeneo ya chuoni kwao akirejea maskani awe anampatia.
Maisha yakaenda hivyo, huku Familia haijui kuwa Mzee amekabidhi kadi kwa Dogo maana Mzee alimwambia wakijua watakusumbua.. Sasa siku moja Ghafla Mzee Presha ikapanda, ile kumwahisha Hospitali akafia njiani. Jioni Jamaa anarejea akakutana na msiba, Mama Analia na kuomboleza wataishije bila Mzee.
Dogo akala buyu tu mpaka walipomaliza kuzika ndipo akamwita Mama pembeni akamkabidhi kadi akamwambia hii alinipa Mzee niwe namtolea Pesa na kwenye akaunti kimebakia kiasi kadhaa. Mama hakuamini macho yake. Kuanzia siku ile Dogo akawa halipi kodi na akawekwa kwenye orodha ya msosi kama mmoja Wa watoto Wa Mama. Na jukumu la kutoa pesa Mama akamwachia aendelee nalo pindi akihitaji pesa.
Yule Jamaa alipomaliza chuo hakumaliza mwezi Mtaani akala Shavu kwenye Mashirika ya UN, Mshahara mnono na marupurupu ya maana. Mpaka Leo anamhudumia yule Mama pamoja na kuipa sapoti zote Familia ya Marehemu Mstaafu, na hata shughuli za kuozesha mabinti Wa Mstaafu Mama alimkabidhi Jamaa asimamie kama Kaka Mkubwa Wa Familia..
Duu ukiwa mwaminifu safi sana, unapata ndugu bila gharama yeyote ambao hawana hata usumbufuUnenikumbusha Miaka kadhaa nyuma; kuna Jamaa alikuwa mwanafunzi chuo flani amepanga kwa Msataafu mmoja anaishi na Familia yake..
Huyu Mwanachuo alikuwa mtu Wa Dini sana ilhali Vijana Wa Mzee Mstaafu walikataa shule wakawa watu Wa mitungi na Bhange tu. Mstaafu akatokea kumwelewa sana Bwana mdogo mpaka akamkabidhi Kadi yake ya Benki. Siku akitaka pesa anamwambia Dogo amtolee mpunga Kwenye ATM maeneo ya chuoni kwao akirejea maskani awe anampatia.
Maisha yakaenda hivyo, huku Familia haijui kuwa Mzee amekabidhi kadi kwa Dogo maana Mzee alimwambia wakijua watakusumbua.. Sasa siku moja Ghafla Mzee Presha ikapanda, ile kumwahisha Hospitali akafia njiani. Jioni Jamaa anarejea akakutana na msiba, Mama Analia na kuomboleza wataishije bila Mzee.
Dogo akala buyu tu mpaka walipomaliza kuzika ndipo akamwita Mama pembeni akamkabidhi kadi akamwambia hii alinipa Mzee niwe namtolea Pesa na kwenye akaunti kimebakia kiasi kadhaa. Mama hakuamini macho yake. Kuanzia siku ile Dogo akawa halipi kodi na akawekwa kwenye orodha ya msosi kama mmoja Wa watoto Wa Mama. Na jukumu la kutoa pesa Mama akamwachia aendelee nalo pindi akihitaji pesa.
Yule Jamaa alipomaliza chuo hakumaliza mwezi Mtaani akala Shavu kwenye Mashirika ya UN, Mshahara mnono na marupurupu ya maana. Mpaka Leo anamhudumia yule Mama pamoja na kuipa sapoti zote Familia ya Marehemu Mstaafu, na hata shughuli za kuozesha mabinti Wa Mstaafu Mama alimkabidhi Jamaa asimamie kama Kaka Mkubwa Wa Familia..
Haswa ila ukikaa kule kwa dereva unawaacha huku nyuma wapambane na hali zaoSiti ya karibu na mlangi ndio kimeo kwa hizi ishu
Hadithi njoo uongo njoo utamu koleaKuna mmoja alikataa kumpisha mzee kwenye daladala akiwa anaenda interview wakashuka wote kwenye basi
Kuingia ofisi ya interview akakuta yule mzee ndie wa kumhoji oral interview
Kilichofuata alimwamkia tu mzee akamwambia nenda.Alitoka analia akajua kitakachofuata.Hakupata kazi
Yeah ndio mnao kuwaga wahanga wa kupisha Siti wazee.Siti ya karibu na mlangi ndio kimeo kwa hizi ishu
Hadithi njoo uongo njoo utamu koleaUnenikumbusha Miaka kadhaa nyuma; kuna Jamaa alikuwa mwanafunzi chuo flani amepanga kwa Msataafu mmoja anaishi na Familia yake..
Huyu Mwanachuo alikuwa mtu Wa Dini sana ilhali Vijana Wa Mzee Mstaafu walikataa shule wakawa watu Wa mitungi na Bhange tu. Mstaafu akatokea kumwelewa sana Bwana mdogo mpaka akamkabidhi Kadi yake ya Benki. Siku akitaka pesa anamwambia Dogo amtolee mpunga Kwenye ATM maeneo ya chuoni kwao akirejea maskani awe anampatia.
Maisha yakaenda hivyo, huku Familia haijui kuwa Mzee amekabidhi kadi kwa Dogo maana Mzee alimwambia wakijua watakusumbua.. Sasa siku moja Ghafla Mzee Presha ikapanda, ile kumwahisha Hospitali akafia njiani. Jioni Jamaa anarejea akakutana na msiba, Mama Analia na kuomboleza wataishije bila Mzee.
Dogo akala buyu tu mpaka walipomaliza kuzika ndipo akamwita Mama pembeni akamkabidhi kadi akamwambia hii alinipa Mzee niwe namtolea Pesa na kwenye akaunti kimebakia kiasi kadhaa. Mama hakuamini macho yake. Kuanzia siku ile Dogo akawa halipi kodi na akawekwa kwenye orodha ya msosi kama mmoja Wa watoto Wa Mama. Na jukumu la kutoa pesa Mama akamwachia aendelee nalo pindi akihitaji pesa.
Yule Jamaa alipomaliza chuo hakumaliza mwezi Mtaani akala Shavu kwenye Mashirika ya UN, Mshahara mnono na marupurupu ya maana. Mpaka Leo anamhudumia yule Mama pamoja na kuipa sapoti zote Familia ya Marehemu Mstaafu, na hata shughuli za kuozesha mabinti Wa Mstaafu Mama alimkabidhi Jamaa asimamie kama Kaka Mkubwa Wa Familia..