mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Hii nayo ni imani ya kipuuzi ya waafrika.Elimu za kichawi zinafundishwa mpaka ULAYA mpaka kuna vyuo.
Tafuta mtu aliyeishi ulaya akueleze kama amewahi kusikia habari za ulozi kule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nayo ni imani ya kipuuzi ya waafrika.Elimu za kichawi zinafundishwa mpaka ULAYA mpaka kuna vyuo.
Mkuu acha ubishi sio lazima ufike Ulaya unaweza kufanya research mwenyewe nakupa hii.Hii nayo ni imani ya kipuuzi ya waafrika.
Tafuta mtu aliyeishi ulaya akueleze kama amewahi kusikia habari za ulozi kule.
hizo hekaya wanazozidharau mpaka wanazitengenezea filamu?Mkuu acha ubishi sio lazima ufike Ulaya unaweza kufanya research mwenyewe nakupa hii.
INGIA PLAYSTORE search BLACK MAGIC or WHITE MAGIC (Ndo uchawi wenyewe huo) then angalia comments nyingi utakuta nyingi za watu weupe hasa ULAYA... Imani hizi zipo kila sehemu
Kaka usiseme hili halijakutokea i have experience naloUnakuta kijana mdogo tu , anaamini kuna watu wanamloga , dah bado ukombozi wa fikra ni changamoto kubwa .
Kwani unahisi uchawi ni nini? Uchawi ni taaluma inayohitaji baadhi ya formula ili kuleta matokeo. Hivi unaweza kuelezea ni nguvu gani hutumika kwenye mazingaombe, Kiasi kwamba uone mwana-mazingaombwe atafune wembe na kutoa sindano?!!. Man huwezi jua kila kitu hapa duniani.hizo hekaya wanazozidharau mpaka wanazitengenezea filamu?
mazingaumbwe ni sanaa, inafundishikaKwani unahisi uchawi ni nini? Uchawi ni taaluma inayohitaji baadhi ya formula ili kuleta matokeo. Hivi unaweza kuelezea ni nguvu gani hutumika kwenye mazingaombe, Kiasi kwamba uone mwana-mazingaombwe atafune wembe na kutoa sindano?!!. Man huwezi jua kila kitu hapa duniani.
Zisizoeleweka utendaji kazi wake.Mamlaka za giza ndo zipi hizo mkuu?
Kama upiZisizoeleweka utendaji kazi wake.
Mbona hata uchawi unafundishika zote hizo ni formula. Je, unaweza kuamini hata technology mara nyingi huelekeana na formula hizo hizo za kichawi!!mazingaumbwe ni sanaa, inafundishika
uchawi haupo, haujawahi kuthibitishwa
ni kweli wazungu waliamini kwenye uchawi, ila ni zamani sana, sasa hivi upo chini chini tu kwa nia ya kutunza utamaduni wala watu hawahangaiki nao
Utendaji kazi wa siri badala ya kanuni.Kama upi
aisee nakuachia weweMbona hata uchawi unafundishika zote hizo ni formula. Je, unaweza kuamini hata technology mara nyingi huelekeana na formula hizo hizo za kichawi!!
Chukua hiii NIKOLA TESLA kabla ya kuingia ndani alikuwa akizunguka nyumba mara tatu, Hotelini alikuwa akilala chumba inayogawanyika Kwa namba tatu... Alisema pia ungejua nguvu ya Namba 3,6 na 9 ungejua siri ya ulimwengu Kwahiyo unaona kabisa hiyo formula haitofautiani na uchawi..
Aliongeza pia, Ili ujue siri ya ulimwengu fikiria kuhusu FREQUENCY, VIBRATION and ENERGY. Kwahiyo unaona kabisa TECHNOLOGY Ina DNA za uchawi ndani yake
Wewe ni muongo nitakusaidia nini mie sasa mtafute mganga halisi mie huko kuwaganga siwezi nenda urangini kama unawasi wasi na kuolewaNipo tayari kusafiri kukufuata
Sipo single tena nipo doubleSorry kutoka nje ya mada, mara yako ya mwsho biringe bayoyo lini? Sometimes nyege zinaomoka unaweza jihisi una divinity kumbe u need piping
Unanichamba?Wewe ni muongo nitakusaidia nini mie sasa mtafute mganga halisi mie huko kuwaganga siwezi nenda urangini kama unawasi wasi na kuolewa
Wala nakuambia hiyo stage sijafika sijaolewa so sintoweza kukutibu mwayaUnanichamba?
Ugangani ?? 2 ila siagui badooUna umri gani ugangani?