Nashangaa wanaoshangilia watoto wao kupata Division One na Two wakati waliwapeleka shule za gharama

Nashangaa wanaoshangilia watoto wao kupata Division One na Two wakati waliwapeleka shule za gharama

Kuna ka mfumo madhubuti ka kukwiba mitihani kamejengwa kitaakamu kiasi kwamba hata ukiamua kukafuatilia utapata tabu sana kukabaini,na pengine ikachukua muda mrefu sana kukabaini.Hivi kuna mtu anaweza kupata past peper za St Francis wanazopiga wiki kadhaa kabla ya NECTA?Jiulize tafakali
 
Shule nzuri ni ipi, acha ulimbukeni, nachoona watu wanaliwa kwa kupenda misifa ya kijinga na kujenga social classes zisizo na maana. Nenda Ulaya uone km upuuzi huu wa kwetu upo kwao. Ile ni biashara tu wajinga wanaliwa bure, watoto wanakaririshwa mitihani wakifika vyuo vikuu hakuna kitu wanapasua wale waliotoka shule za serikali. Tuache kufaidisha wajanja wachache tuboreshe shule zetu za umma na tupende vya kwetu tulivyojenga kwa pesa zetu. Tuache kutumikishwa na watu wachache. Nilitegemea mtanzania mzalendo angesikitika kuona shule zetu za umma zikifanya vibaya.
Una tabia za kikoloni na roho chafu.
Kila kitu ni biashara.
Chochote kilicho bora kina gharama.
Huwezi kulinganisha mtoto aliyesoma kayumba na st . Frsncis.
Huwezi kuwapambanisha hata kujiamini kwao katika kusaka ajira.
Muachage maufala mengine yaliyojaa roho kutu.
 
IMG_0562.jpg

High performance secondary school
 
Lissu kasoma Mahambe primary
Kibatala kasoma Mkwawa secondary
 
This is primitive thinking...! Elimu nzuri ni gharama, watu wanajinyima ili watoto wao wasome shule nzuri wapate uelewa mkubwa. Hakuna anaependa kupeleka mtoto shule za kayumba ni hali ya uchumi tu.

Sent from my SM-G935U using JamiiForums mobile app
 
Kuna watoto wamesoma kayumba naona wamepasu kweli
Hao ndo wasifiwe sasa kwamba wanaakili..sada hawa waliosoviwa pepa nao wanashangiliwa utadhani wanaakili sana kumbe hakuna kitu.
 
Kuna wimbo wa TOT walikuwa wanaimba ukiona elimu ni ghali basi jaribu ujinga🐒
 
Soma vzuri uzi alafu linganisha na mfano wako
Shule nzuri=Hoteli nzuri
Kayumba=Mama ntilie
Kushangilia/kutoshangilia=Kwenda maliwatoni/kutokwenda.

Suala la kutofurahia mtoto akifanya vizuri kwa sababu alisoma shule nzuri haliwezekani kama ambavyo isivyowezekana kutokwenda maliwatoni sababu ulienda kula hoteli nzuri.
 
Back
Top Bottom