Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Kwani jiwe amefanyeje?Angalau JK kwa kipindi cha mpito hata miaka 5 wakati nchi inatibu majeraha yalioachwa na Jiwe. Nchi irudi kwenye umoja wa kitaifa. Kuliko ilivyoparaganyika hivi!
Ameshakwambia jk wakat anafanyiwa upasuaji wa tezi dume watanzania tulijuzwa, picha zilipigwa wakati anaingia chumba cha upasuaji na hakuna aliemuombea mabaya.Kwani jiwe amefanyeje?
Mbona mnatuacha njia panda.
CCM pumba kweli kichwani, umesahau kuwa huwa mnamchagua mapema kabla ya uchaguzi?Bado miaka 4 wewe unawaza uchaguzi Leo? Kwamba watanzania hadi 2025 hatatokea mwingine mwenye uwezo isipokuwa kumrudisha mzee Kikwete?
Katiba sio mshahafu.Kama ilivyo kuongeza ndivyo ilivyoKatiba inaruhusu?
Hofu ya kukosa buku 7 huu mradi tumefikia tamati sasa , mfadhili hayupo.Lumumba njaa kali.Nasikitika sana Mana sioni wadau wa Lumumba wapo waapi Bia yetu , USSR kimya, wote wapi kimya semeni neno.
Aliyepo kama hayupo je?Kwanini tusimuongeze mitano mingine aliyepo?
Sasa anza na maombi ya kubadili Katiba kwanza.Katiba sio mshahafu.Kama ilivyo kuongeza ndivyo ilivyo
Kwani kuna siku maalumu ya kunywa biaUsitake nyinywe beer
EeeeKwani kuna siku maalumu ya kunywa bia
Weekend and holy dayKwani kuna siku maalumu ya kunywa bia
Weekend ndo ishafikaWeekend and holy day
Leta vocha kabisaJamani atakaye weza kunielezea hii sintofaham iliyo sasa kuna vocha yake...
Maana sielewi