Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
mkuu,bandiko lako bila picha ya daraja jipya la wami.hujalitendea haki.Kwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.
MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.
Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
Dah sijapiga picha. Wacha nifanye namnamkuu,bandiko lako bila picha ya daraja jipya la wami.hujalitendea haki.
Mkuu wewe ushahamia Burundi?Kwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.
MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.
Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
Mimi nilianzisha mada kabisa hapa kuwa nitahamia Zambia na sio BurundiMkuu wewe ushahamia Burundi?
Mwigulu njoo wanakutukana hukuManyoko zako mbwa mkubwa ww
Huo ni ujuha, si limejengwa kwa kodi zetu? Tulipie mara mbili?Dah sijapiga picha. Wacha nifanye namna
Na hili nalo mkalifanyie kazi!Walivyo na akili mbovu wanaweza kuchukua hili wazo
Madelu ni hovyo kabisa toka nchi hii kuumbwaMwigulu njoo wanakutukana huku
Kwakua wamekupiga shavu la kushoto unaamua kumgeuzia na shavu la kuliaKwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.
MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.
Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
Hili hapamkuu,bandiko lako bila picha ya daraja jipya la wami.hujalitendea haki.
Hili Sheikh??Huyu mwiguluuu hafai hata kuongoza kundi la mbuzi...hana maono yupoyupo tu Kama vile
Atapiga mbiziAsietaka tozo, atapita kule bondeni kea zamani. Shikamoo tozo.
Hivi kwenye kamusi manake nini,,,aina ya kodi au makato ya lazima?!