Nashauri daraja jipya la Wami liwe la kulipisha. Chanzo muafaka cha tozo/Mapato

Nashauri daraja jipya la Wami liwe la kulipisha. Chanzo muafaka cha tozo/Mapato

Kwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.

MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.

Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
mkuu,bandiko lako bila picha ya daraja jipya la wami.hujalitendea haki.
 
Kwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.

MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.

Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
Mkuu wewe ushahamia Burundi?
 
Hakika "if you can't beat them, join them" naona wengi mnaanza kutembea kwenye huu msemo.

Hapo hatukomoani kama mnavyodhani, wale jamaa wao hawana maumivu ya tozo, kuwaambia waendelee kutukamua ni sawa na kuwaambia uko tayari kutembea uchi kwa kukosa mpaka nguo ya kuvaa, then wao wataanza kukutazama wakucheke wakiwa kwenye v8 zao.
 
Asietaka tozo, atapita kule bondeni kea zamani. Shikamoo tozo.
Hivi kwenye kamusi manake nini,,,aina ya kodi au makato ya lazima?!
 
IMG_20220828_081507.jpg
 
Kwakua tumedhamiria kukamua Kila Senti, kama ilivyo kwa Daraja la Kigamboni na lile la TanZanite, nashauri Mchungaji, Dr Mwigulu Nchemba aanzishe TOZO ya kupita Daraja kubwa, jipya, zuri la WAMI.

MAGARI yanayopita pale ni mengi sana, itakua chanzo kizuri sana Cha Mapato.

Nimemaliza, acha mkamuliwe Hadi Damu
Kwakua wamekupiga shavu la kushoto unaamua kumgeuzia na shavu la kulia
 
Back
Top Bottom