babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,916
- 6,697
Kama vile mzee Mtei alivyonyamaza kimya kuhusu uteuzi wa wajumbe wa tume ya marekebisho ya katiba.hii dini kuna mahari ina shida, dini imejazwa chuki mwanzo mwisho. kama ingetokea imewekwa alama za kiislamu hakuna mkristo angehangaika na huo upuuzi
Hoja mfu na pumbufu kabisa. Ni hayo tuSerikali haina dini ila watu wake wana dini! Tanzania haina dini ila watu wake wana dini! Watu walishatahadharisha mapema tu hapa! Haya mambo ya misalaba kwenye jezi ya taifa sinunui hata Kama Mimi ni mkristo! This is not fair and this is our country View attachment 1051778View attachment 1051779
Sent using Jamii Forums mobile app
Msalaba ni kitu kilichotumika kumtesa Yesu, nisawa na wewe mtoto au ndugu yako ateswe na panga mpaka kupelekea kufa alafu ulichukue hilo panga au picha yake uwe unalivaa huku ukijua hili walitumia kumuulia mwanangu. Inakuja?Jamaa mmoja tulifika mahali tukapumzika, nikashangaa ameamka chaap na kuniambia twende zetu, nikamuuliza nini shida tena??
Akasema chek apo juu, kuangalia kuna alama ya msalaba. Dah nilicheka sana nikamsapoti tukaondoka lakini moyoni najiuliza kwel wanadam tumekuwa waoga sana na kifo sasa msalaba nao kumbe tunapaswa kuukimbia?
Sasa wale wanaotembea nao kwa shingo si wangekuwa wameshakufa muda mrefu??
Tusiwe na imani za kubahatisha tujaribu kufikiri mambo criticaly.
Mm napishana nayo sana lakini haiwezi kuniondoa kwenye ibada na Mungu au kunitisha chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app
badala ya kufanya uboreshaji wa viwanja na akademi but still kila mwaka ni jezi utadhan ndio zitafanya tuimalike ktk viwango vya sokaKuna baadhi ya watu wanakosoa jezi hii Mpya ya Taifa Star je kwa mtazamo wako kosa lipo wapi?View attachment 1051907
Sent using Jamii Forums mobile app
Madesigner wetu wako busy bado wanajadili vazi la taifa liwe lipi.Kwanini wasitafute designers wazuri huko duniani ama tz kama wapo watupe option kama tano hv ...tupigie kura jezi moja ama mbili....
Acha ujinga wewe!hii dini kuna mahari ina shida, dini imejazwa chuki mwanzo mwisho. kama ingetokea imewekwa alama za kiislamu hakuna mkristo angehangaika na huo upuuzi
Kwenye ambulance [emoji603] siyo msalaba Kwakuwa unalingana pande zote, na maana halisi ni kufikia pande zote.Mimi hata mumchore shetani kama mna picha yake sina wasi wasi. Msalaba sio ishara ya ukristo tu ipo zipo ishara nyingi, hata magari ya ambulance tusiwe basi tunayakaribia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Toeni huo msalaba unaleta uchocheziuzi matata sasa, kama wa England hiyo mistari kaskazini/kusini. Tuombee pande zote ziikubali!
Hii jezi ni idea ya lemutuzNiwe mkweli tu.
Hizi jezi ni mbaya.
Hazivutii hata kidogo.
Aliye kuambiana kwenye ambulance [emoji603] kana msalaba nani?, kwa taarifa yako huo sio msalaba.
Wewe unataka unacho kiamini na wenzio waishi ivo ivo? Hatuwezi kufanana ni bora jezi ingefata matakwa ya watu woteKwahiyo hawapandagi Ambulence maana ina msalaba piaa...
Pia nadhani hawashirikiani na shirika la msalaba mwekundu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi jezi hata ofisi ya procurement haijahusishwaKwanini wasipewe kazi vijana wakashindanishwa ku design halafu ikapigiwa kura design nzuri kupita zote?