Elvis Legacy
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 3,984
- 5,820
Ze ingilishi langweji izi difikati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni yako mkuu. Degree unasomea fani hiyo fani jitahidi uwe na uwezo wa kuilezea kwa lugha ya kiingereza kwa kujiamini maana hukufundishwa kwa kiswahili.umesahau hili mkuu yaani degree watu wasiwe wanasoma fani yoyote, hizi sijui sociology watu wasome wakiwa form five na six, mtu akifika chuo ni kusoma english course tu miaka mitatu tutafanikiwa sana, maendeleo hayana chama.
Kuna wazungu wanajua TZ ni mkoa ulioko 🇰🇪 . Kama huwezi kujieleza kimataifa, anayejua atakutumia kwa maslahi yake binafsi
Sijasoma mkuu, ila nakerwa na wasomi waoga na wababishaji kuongea lugha waliokuwa wanatumia chuoni.Tuanze na wewe mwenyewe una kiwango Gani cha elimu.
Usipojelezea kwa kueleweka huwezi kusikilizwa. Atasikilizwa anaeyeweza kufanya na kujielezea vizuri kwa ufasaha.Ndo maana enzi zile walituibia kila litu kizuri wanatangaza kipo kwao na wazungu wakawaamini. Mfano mlima Kilimanjaro
Hatari.Degree za kuungaunga kama za Magufuli.
Miaka zaidi ya 12 unafundishwa kwa kiingereza na bado hukijui sasa unafaulu vipi?
Waru waliosoma kabla ya uhuru na shule za kikoloni. Wanauwezo mkubwa wa kuongea kiswahili na kiingereza tena bila kuchanganya kama wasomi wajanjawajanja wa kisasa.Huwa naona kama Baba wa Taifa kwa hili la KISWAHILI kuwa lugha ya kufundishia kwa elimu ya MSINGI hakuwa SAWA..tungekuwa tu kama wenzetu wa Kenya,Uganda+ SADC yote,ukitoa Msumbiji
Eti mtu ana degree hajui kutaja entrepreneurshipHatari.
Ndio maana JF kuna majukwaa ya Kiingereza, yamezubaa sana.
mkuu unanikataa, mimi nataka kufanya kazi russia kiingereza sikihitaji, angalau ungesema mtu awe fluently lugha yoyote ya kimataifa na kiswahili lazima, kulazimishana kiingereza ni utumwa mkuu, au wewe bado minyororo unayo shingoni imekamata kichwa na ubongo wako.Hii ni yako mkuu. Degree unasomea fani hiyo fani jitahidi uwe na uwezo wa kuilezea kwa lugha ya kiingereza kwa kujiamini maana hukufundishwa kwa kiswahili.
Lakini isiihie hapo, uwe na uwezo wa kujieleza kwenye mambo mengine yoyote ya kijamii na kimataifa kwa lugha ya kimataifa. Sio msomi mjanjamjanja the the the nyingi kama STD 7 Kayumba.
Inatakiwa vyuo vianzishe vile vibao vya kuvalishwa Swahili Speakers hadi mabwenini kwao.Eti mtu ana degree hajui kutaja entrepreneurship
Kiingereza ni Lugha ya kimataifa. Warusi wanaotaka kufunguka nje ya Urusi wanakijua. Vladimir Putin anakijua, Dimirty Medvedev anakitwanga tena kilichonyooka.mkuu unanikataa, mimi nataka kufanya kazi russia kiingereza sikihitaji, angalau ungesema mtu awe fluently lugha yoyote ya kimataifa na kiswahili lazima, kulazimishana kiingereza ni utumwa mkuu, au wewe bado minyororo unayo shingoni imekamata kichwa na ubongo wako.
Kama English ni mafanikio , wote waliofanikiwa wangekuwa wanazungumza kiingereza Kwa ufasahaWasomi wengi hawawezi kuongea Kiingereza kwa unyoofu na kwa kujiamini.
Kuna msomi mmoja ilibidi nimuandikie barua ya kazi maana alikuwa anaenda kuabika kwa madudu aliyoandika. Ajabu ana 1.6 ya HGL na UpperSecond ya Sociology.
Naamini kama huwezi kujieleza kwa unyoofu na kwa lugha nyepesi kule unachokielewa basi wewe hukielewi na kama ulijifunza kwa Kiingereza tunataka ukieleze kwa uzuri kwa lugha hiyo.
Moja ya majuto yangu katika elimu ya juu, nikutojipa muda wa kutosha kujiendeleza kuongea na kuandika kiingereza kwa ufasaha. Niliashumu najua.
Nini maoni yako?
Mimi nakubali nimechelewa, nafosi kukipiga brashi ili kinyooke maana kuna watu bila kuwaongelesha kwa kiingereza hawawezi kunichukulia siriasi.Kuna interview nilienda kufanya nikamkuta mdada mmoja wa kibongo na mzungu mmoja. Japo nilipita ila mpaka leo huwa nikikumbuka aibu nilizopata mule nabaki kusononeka.
Mtoto wangu nitajitahidi nimuandae mapema kwenye lugha kuna watu kibao wamepishana na fursa kibao tena za maana kisa kutokujua lugha vizuri.
Sent from my SM-A025U using JamiiForums mobile app
Kiingereza sio mafanikio. Ila kuwa mhitimu wa elimu ya juu alafu hujui kuandika, kusoma na kuongea kiingereza kwa ufasaha ni ujinga.Kama English ni mafanikio , wote waliofanikiwa wangekuwa wanazungumza kiingereza Kwa ufasaha
maslahi gani mkuu kuombea mikopo au, mbona hata kiswahili ni lugha ya kimataifa hujui east afrika yote kiswahili kinazungumzwa kwa ujumla watu zaidi ya millioni 200 wanakipiga, ulienda lini libya au afuganistaniKiingereza ni Lugha ya kimataifa. Warusi wanaotaka kufunguka nje ya Urusi wanakijua. Vladimir Putin anakijua, Dimirty Medvedev anakitwanga tena kilichonyooka.
Wachina wanajifunza, waarabu wanajifunza. Lazima ukijue kwa maslahi mapana nje ya Urusi. Dunia nzima ni Yetu sio busara sana kuufunga ubongo kwa mipaka ya kinchi.
Personal, I don't know how to speak English well, but now am trying to speak well than before.Me I didn't now to speaking English best, but now I trying to speaking good than after.
Watoto wa njano njano, fanyieni marekebisho ya kidhungu changu.
Mbona umeandika ViseversaNa kuna wengi wanajua kuongea kiingereza ila hawajui kukiandika.
Kiswanglish yaani kuchanganya kiswahili na kiingereza ni default language ya wasomi yaani sio wanajifanyisha ila hio ndio ipo automatically kwao sasa suala la kuongea dull English hapo tatizoMjuongeaji mzuri wa lugha huwa hchanganyi changanyi. Utaona mtu anahojiwa kwa kiswahili, halafu anajilazimisha kuweka maneno ya kiingereza " ... to me, mimi naona it is better ku-translate tafsri hii kutoka kiswahili kuwa english directly moja kwa moja."