Nashauri kuwe na Siku Maalum ya Waafrika wote 'Kujiombea' kwa Mwenyezi Mungu Ili tuwe na Akili

kama ulizaliwa hapa bongo ukapata chanjo zote wanazopewa watoto awa kibongo basi jua akili ilishaharibiwa toka utotoni nashukuru wazazi wangu japo hawakuwa na uwezo ila waliweza kuwa na ukaribu na madaktari toka nikiwa mchanga hivyo kuna baadhi ya chanjo walishauriwa wasinichome hata now nina mshkaji wangu ni doc. mara kibao ananielekeza nn cha kufanya na aina gani ya chanjo nimpe mwanangu toka akiwa tumboni mwa mama yake mpka akazaliwa na kukua sio kila chanjo ni lazima mtoto apewe zingine zina madhara ya baadae ndio maana utaskia tumepata msaada wa chanjo na nchi isipopokea i awekewa vikwazo kwahyo labda useme tujifukize na kujipiga nyu gu chafu na safi ili tusafishe kile kilichopandikizwa toka tukiwa wadogo sana
 
Hii komenti ya kindezi kabisa. Unaandika kitu usichokijua kwa kuamini conspiracy theories ulizomeza. Ungekuwa hujachanjwa saa hizi ungekuwa unatembea kwa kusota na matako sababu ya polio au tungekuwa tumekuzika kwa kufa sababu ya surua
 
Unaweza kunionyesha ni wapi katika Thread Content yangu nimeitaja Tanzania yako?

Pumbavu.
 
Hii komenti ya kindezi kabisa. Unaandika kitu usichokijua kwa kuamini conspiracy theories ulizomeza. Ungekuwa hujachanjwa saa hizi ungekuwa unatembea kwa kusota na matako sababu ya polio au tungekuwa tumekuzika kwa kufa sababu ya surua
Dawa Chungu ndiyo nzuri na huponya.
 
Unaweza kunionyesha ni wapi katika Thread Content yangu nimeitaja Tanzania yako?

Pumbavu.
Pumbavu ni wewe unayedhani mpaka utaje Tanzania kwa jina wakati werevu tunajuwa unachomaanisha. Mtusi wahedi
 
Sculptor nakufanyia sculpting yako, you deserve it GENTAMYCINE Tatizo picha ni ya huyo NYau muisrael… nipe picha yako naitoa kwa 3 dimension.
 
Hili nalo mkalitizame 👀
 
Taifa ambalo vijana tunategemea kubet kama njia ya kujikwamua kimaisha...heheheh
 
Ivi hili tahila kwann lisipigwe permanent ban, linakera namathread yake ya hovyo kama yametoka chooni looh, [emoji35][emoji35][emoji35][emoji35]
Kati ya yeye na wewe nani ana mathread ya hovyo humu

Katika watu wanaotakiwa siyo tu kupigwa ban bali kupigwa risasi kabisa ningependekeza namba moja uwe wewe hapo

Bullshit!!
 
Pumbavu ni wewe unayedhani mpaka utaje Tanzania kwa jina wakati werevu tunajuwa unachomaanisha. Mtusi wahedi
Wakihitajika Watu ( Wanadamu ) Werevu ( Intelligent ) Uncircumcised Baboon na Fool Wewe utajitokeza kweli?
 
Sculptor nakufanyia sculpting yako, you deserve it GENTAMYCINE Tatizo picha ni ya huyo NYau muisrael… nipe picha yako naitoa kwa 3 dimension.
Asante kwa Upendo wako na Kunikubali ila nikuambie tu hiyo Picha ( Avatar ) ya My Lovely Role Model wangu Former Israel Premier Benjamin BIBI Netanyahu haitotoka ( sitoitoa ) hapa kwani hata Kitabia ( Characteristically ) kwa 99% nafanana nae.
 
Kati ya yeye na wewe nani ana mathread ya hovyo humu

Katika watu wanaotakiwa siyo tu kupigwa ban bali kupigwa risasi kabisa ningependekeza namba moja uwe wewe hapo

Bullshit!!
Asante Mkuu una Pepo yako Mbinguni.
 
Ningekuwa Rais wa nchi ningehakikisha JF inafikia level za FB, IG, Twitter, Quora, WhatsApp n.k, maana hii mitandao mikubwa sote tunajuwa kuwa inamilikiwa na raia wa USA lkn pia hata sapoti ya nchi kwa mitandao hiyo ni kubwa ndiomaana utaona hata tamko la nchi ya USA huwaathiri adui zao mpka ktk hizi social nets ijapokuwa zinawamiliki halali wasiopangiwa cha kufanya na mamlaka ila wanasapotiana .

mfano kufungwa accounts za trump kisa kwenda kinyume na mambo ya kisiasa za nchi iweje mitandao isiyoshabikiana na siasa ihusike kufunga accounts? Pia putin na raia wa Russia wengi kublocks accounts zao zinazomilikiwa na raia wa USA kwa kusingizia wanaleta uchochezi wa kivita je hiyo ilikuwa ni msimamo ya mmiliki wa mitandao ama ni siasa na matakwa ya nchi? Si mnaona wanavyosapotiana na wamiliki?

Si ajabu mitaani kati ya watu 20 wenye uzoefu wa JF hawafiki hata3 na hata hawa wa3 wawili kati yao ndio wale wale wapumbavu ambao hutujazia server humu kwa mada za kipumbavu na ujinga ujinga, huyo mmoja ndie mwenye uangalau.

Tatizo pia linabaki kwa mmiliki wa JF hashauriki wala hataki kwenda na wakati,

JF ingekabidhiwa kwa watahalamu wa graphic na app developers nadhani hata wale vilaza wanaojificha Insta&Fb wangevutika kidogo na JF kutokana na muonekano mzima na mpangilio wa Contents humu JF.

Ni kweli tunatakiwa kuombea hii nchi, tatzio hata wale tutakao omba nao watayatia unajisi maombi, maana hawa ndio wale wale hawataki kuona mabadiriko ktk jamii either kwa madhumuni yao, uzembe ama upumbavu.
 
WAAFRIKA WANA LAANA YA MILELE(ila siyo Rwanda)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…