Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
🤝🤝Idara zote apewe mzungu. Kuwe na mkataba wa kulipana ada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤝🤝Idara zote apewe mzungu. Kuwe na mkataba wa kulipana ada
Tako lako jeusi lenye chunusi!Kipara bila akili nisawa tako
Sio kweli Qatar mbona inajengwa na wageni, UAE imejengwa na wageni, same to USA, CANADA, Sweden n.kNchi hujengwa na wananchi wote katika nchi husika. Usitegemee kujengewa nchi yako na watu wengine.
Na hiyo ada apewe mzungu atutunzieIdara zote apewe mzungu. Kuwe na mkataba wa kulipana ada
Mbona R.i.p?...mfano mzuri Mr.Scott (rip),ndiye mzungu aliyeiletea heshima sarafu ya zambia (kwacha )na alitawala less than 9mths,Leo hapa tunduma unahitaji 110ths ili upate 1 zambian kwacha, noti ya juu kabisa ni 100,Tanzania tuna 10,000 na kuna wapumbavu humu wanataka noti ya 100,000,welcome to Zimbos
Umewaza kama mimiUna hoja japo umewasilisha bandiko kimzaha sana.
No mkuu ameshatangulia mbele ya hakiMbona R.i.p?
Si bado yupo?
Kweli aisee.....Mzungu anaamini ktk mafanikio ya wengi sio kama hawa wa kwetuNdugu zangu Watanzania napendekeza Wazungu wagombee nafasi ya Urais ili watuletee maendeleo,tumeona katika shughuli za kimaendeleo tumewapa bandari ndugu zetu DP World,tumefanikiwa, Tanesco napo panasua sua tumwongezee DP World aweze kuleta Umeme wa uhakika wakikataa tuwaite tena Net Solution ili watuendeshee shirika letu la Umeme,bado tuna idara nyingi pia zimedorora kama idara za maji zote za mijini na vijijini nchi nzima kama nyongeza,baada ya hapo wapewe na hospitali/zahanati/vituo vya afya vyote nchi nzima kama bonus ila nimeona tunazunguka bure tufanye kama walivyofanya Zimbabwe,wamewaita tena Wazungu waje walime kwenye mashamba makubwa plantations maana Wazimbabwe hawawezi kulima,Wazungu wameitikia wito wamekuja na wameanza kulima, Zimbabwe imeanza kuwa ya kijani badala ya jangwa,kwa nini sisi Watanzania tusiwaite Wazungu waje wagombee urais na chawa wawapigie kampeni washinde urais na nchi yetu iongozwe tena na mzungu,tuanze kula nyama za kwenye kopo,tufufue kile kiwanda cha Tanganyika Packers, tufufue Ceramic kiwanda cha vyombo vya Udongo pale Morogoro,Tufufue viwanda vya nguo Polyester na Mwatex,Viwanda vya kutengeneza magari aina ya Nyumbu,viwanda vya kutengeneza viatu kama Moro Shoes,Wazungu walete ofisi zao kubwa kubwa za UN na NGO's makubwa tuongee kiingereza kama Kenya,hatutaongea kiswahili tutaongea kiingereza,mnaonaje Watanzani
Mwanzo tulidhani jamaa alitutukana kumbe alikuwa sahihi"Mwafrika hawezi kujitawala" Botha
Kuna wapumbavu watakupiga kwa hoja yako lakini wenye akili timamu wataunga mkono hoja pasi na shaka.
Sio kila mtu ni kiongozi.