Nashauri nafasi ya Urais tumpe Mzungu ili atuletee maendeleo

Sheria zikifuatwa kila kitu kitaenda sawa
Linatakiwa Bunge liwe na meno na kuwawajibisha wote wanaopindisha sheria hata kama ni Rais
 
Maendeleo hayaletwi ndio maana hayafiki, maendeleo yanajengwa. Maendeleo yanajengwa na wananchi kwa kushirikiana na serikali.

Kama maendeleo yangelikuwa bandarini au uwanja wa ndege kila kiongozi angeweza kuyafikisha kwa wananchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ni Rangi tu kwanini tuswakabidhi Albino wetu waiendeshe Nchi.

Nadhani tatizo letu liko kwenye Mindset zetu.
 
Wapo watakao beza hoja yako hii lakini ukweli ni kwamba upo sahihi kabisa nchi hizi za Africa nyingi zinatakiwa kuwa recolonized kwa miaka 100 mingine kama akivyosema Trump! Uhuru wa kujiendesha umetushinda kabisa lazima tuwe wakweli kama Zimbabwe wamesahihisha makosa na nchi zingine ziige mfano angalau kuruhusu njia kuu za uchumi kuwa chini ya wakoloni tukiwa mbioni kuwaachia kiti cha mjengoni!
 
Mbona R.i.p?
Si bado yupo?
 
Eti Mwigulu alete maendeleo Tanzania duh!!hapa mpaka parapanda iliye hamna kitu
 
KAZI ya uraisi inatakiwa iwe ni nafasi ya kuomba ajira na sio ya kugombea maana hawana cha maana zaidi ya kutuibia tu
 
Maendeleo ya nchi huletwa na mifumo imara ya nchi yenye uwezo wa kusimamiana na kudhibitiana!. Usije ukategemea kuwa kuna mtu yeyote anaweza kukuletea Maendeleo bila kuwepo mifumo hiyo imara!.
 
Kqwlo
Kweli aisee.....Mzungu anaamini ktk mafanikio ya wengi sio kama hawa wa kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…