Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona gari lako lina makosa na wamekusimamisha wewe jifanye hujui kiswahili na mwaga yai.Yaani polisi wengi wapo kama mimi darasa tatu
Sijui kwanini hawajifunzi kwa wenzetu wazunguMaombolezo ya kinafiki tu,kutumia mi nguvu hata kwa vitu visivyohitaji kutumia nguvu.
DuuuuuuuuKufa afe mwingine,kusherehekea tuzuiwe sisi
Tatizo lako umetawaliwa na mambo ya itikadi kila sehemu.Sie wakristo yetu ni ibada, hizo shangwe zipo kwenye kanisa gani?
Tangu lini wewe umekuwa msemaji wetu sisi wakristo?
Kuzuia sherehe za Pqsaka kwa namna yoyote ile nikuingilia mfumo wa imani za watu, kushangilia na shamrashamra Ni sehemu ya ibada kwa kufufuka kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo, tuwaachie wanadamu waomboleze kwa utashi wao na si kuwaingilia tutaleta mpasuko kwenye nchi.
Ipo tofauti ya imani na amri za jeshi la Polisi, kuingilia Uhuru wa kuabudu ni kuingilia imani za watu. Wapo watu wanasherehe zao tusiwalazimishe waache kukaa na kusherekea. Kuomboleza iwe Kati ya mtu na mtu
Nakumbuka walipo mkamata Manj alafu wapenzi wa yanga wakamsindikiza pale centorooo .Bado vichwa vya polisi vimeganda wanaogoapa jamaa atawapigia simu awaulize kwanini hawaja washughulikia watu..
Kumbe jamaa kesha pita hivi.
Ni mambo ya aibu kuingilia imani. Yaani Yesu mkombozi wangu kafufuka mimi nisifurahi??
Ati niomboleze mzee wa kutufokea kafa? Non sense.
Mkristo wa wapi hujui kufufuka kwa Mwokozi kuna mashangilio?Sie wakristo yetu ni ibada, hizo shangwe zipo kwenye kanisa gani?
Tangu lini wewe umekuwa msemaji wetu sisi wakristo?
Tulia wewe unayeombolezaUmekurupuka Pasaka hakuna mshangilio. Anyway kuna corona si ndo huwa nasema hivyo. Tulieni majumbani kwenu
Leo hii ndiyo mnaliona hili janga kuwa lipo na ni hatari?Kwani ukienda Kanisani Kusali na kurejea Kwako kisha ule Bata zote na Mkeo na Familia yako haitoshi hadi Ukazurule na Kupuyanga?
Leo Polisi wamelizuia hili kwa Maslahi mapana ya Usalama wako na hasa kutokana na Janga hili mnawaona wabaya au wanaingilia Haki za Kiimani.
Kwani hizo nchi zingine tena Kubwa tu Kiuchumi na Kijamii ambazo zimepewa Maelekezo haya haya au na zaidi Wao hawana Imani au hawajui Haki zao?
Kwani Polisi imewaambieni kuwa Zuio hili litakuwa ni endelevu kwa Sherehe nyingi tu zijazo za Kiimani hapa nchini?
Wakristo ( nami ni Mkristo vile vile ) tusianze sasa kutaka Kumpandikiza Mbegu ya Udini Rais Mama Samia Suluhu Hassan eti kwakuwa tu Yeye ni Muislamu na aonekane mbaya Kwetu na tumchukie.
Kama kweli Jeshi la Polisi wametoa Tangazo la Katazo hili Mimi All - Rounder nawaunga mkono 100% na tena ikiwezekana wale watakaokaidi Wakamatwe na Wapigwe sana Virungu na Warukishwe Vichurachura hadi Wakome.
Waswahili tuacheni Unafiki na Ubinafsi.
Mtu akinizuia kula gambe na kupiga supu hiyo itakuwa ni kunioneaKusherehekea tunasherehekea na hawatatufanya chochote! Lazima tuchinje wanakondoo kama kawaida! Na supu inanywewa!
Umekurupuka Pasaka hakuna mshangilio. Anyway kuna corona si ndo huwa nasema hivyo. Tulieni majumbani kwenu
Kuzuia sherehe za Pqsaka kwa namna....
Hivi shamrashamra zilizozuiwa ni zipi?Kwani police wamezuia ibada ya kusherekea ushindi wa Yesu?
Mimi nnchojua maana halisi ya sherehe za pasaka ni ibada makanisani...... Au nakosea ndugu zangu[emoji111][emoji106]
Tunamsherekea Kristu popote hata juu ya mti.Kwani police wamezuia ibada ya kusherekea ushindi wa Yesu?
Mimi nnchojua maana halisi ya sherehe za pasaka ni ibada makanisani...... Au nakosea ndugu zangu✌👍
Leo hii ndiyo mnaliona hili janga kuwa lipo na ni hatari?