Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Tena usije kuta yuko pabaya huko anakula vitasa akiulizwa "huyu Ben na Azory na yule kwa nini uliwaleta huku kwani kazi yako?"Utawala wa hovyo kabisa, tuache kusherekea sababu ya mtu ambaye tayari hatunaye?
Halafu huku mnazuia pasaka watu wasile pilau!