Nashauri Polisi waondoe zuio la sherehe siku ya Pasaka, imani hailinganishwi na chochote

Nashauri Polisi waondoe zuio la sherehe siku ya Pasaka, imani hailinganishwi na chochote

Kuzuia sherehe za Pqsaka kwa namna yoyote ile nikuingilia mfumo wa imani za watu, kushangilia na shamrashamra Ni sehemu ya ibada kwa kufufuka kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo, tuwaachie wanadamu waomboleze kwa utashi wao na si kuwaingilia tutaleta mpasuko kwenye nchi.


Ipo tofauti ya imani na amri za jeshi la Polisi, kuingilia Uhuru wa kuabudu ni kuingilia imani za watu. Wapo watu wanasherehe zao tusiwalazimishe waache kukaa na kusherekea. Kuomboleza iwe Kati ya mtu na mtu
Nadhani ni muhimu polisi kufanya kazi kwa kuzingatia sgeria, wasipoondoa zuio italeta misunderstanding ukizingatia kwamba Rais ni Muislamu, wakristo wanaweza kuwa na hisia tofauti juu ya zuio hilo na hata likamchafua Rais kwa namna moja au nyingine
 
Kwani kukiwepo shamrashamra au pasiwepo, inabadilisha nini kwa mwendazake? Mbona mnalazimisha kumfanya aonekane mkuu kuliko hata imani za watu? Acheni hizo Mungu ataendelea kuwaumbua mjue.
 
Nadhani ni muhimu polisi kufanya kazi kwa kuzingatia sgeria, wasipoondoa zuio italeta misunderstanding ukizingatia kwamba Rais ni Muislamu, wakristo wanaweza kuwa na hisia tofauti juu ya zuio hilo na hata likamchafua Rais kwa namna moja au nyingine
Polisi wamechemka vibaya
 
Kwani kukiwepo shamrashamra au pasiwepo, inabadilisha nini kwa mwendazake? Mbona mnalazimisha kumfanya aonekane mkuu kuliko hata imani za watu? Acheni hizo Mungu ataendelea kuwaumbua mjue.
Wanamuita shujaa wa Afrika
 
Kuzuia sherehe za Pqsaka kwa namna yoyote ile nikuingilia mfumo wa imani za watu, kushangilia na shamrashamra ni sehemu ya ibada kwa kufufuka kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo, tuwaachie wanadamu waomboleze kwa utashi wao na si kuwaingilia tutaleta mpasuko kwenye nchi.

Ipo tofauti ya imani na amri za jeshi la Polisi, kuingilia Uhuru wa kuabudu ni kuingilia imani za watu. Wapo watu wana sherehe zao tusiwalazimishe waache kukaa na kusherekea. Kuomboleza iwe Kati ya mtu na mtu.
CHADEMA bhana wakati wa CORONA walikataza maombi wakasema corona inatakiwa kuondolewa kwa sayansi na sio imani.

Leo sasa ndio wameokoka wamemjua Yesu kuliko hata wanaoomboleza kumlilia Mungu. Daaaaaaaaaaa
 
Pamoja na mikusanyiko ile tangu kuaga hadi kuzikwa kwa mh.. yaani vifo kupitia ugonjwa wa covid vimeripotiwa ni vingapi? Covid ya bongo ni tofauti na covid za Kenya, Rwanda nk?
 
Sidhani kama wamekataza watu wasiende kanisani kusali wa kuwazuia watu wasile na kunywa..hapana

nafikiri kilichozuiwa ni clubs na miziki yao..madisco vumbi hukoooo..visingeli sijui kanga moko na mengineyo.

Hebu tuwe wakweli unafki tuweke kushoto,,ina maana tangu magufuli afariki watu walikuwa hawaendi baa kulewa??ukweli ni kwamba..walikuwa wanaenda kulewa sana tu huko kwenye mabaa lkni ilikuwa ni kimya kimya hakuna nyimbo ya mista nice wala dudubaya,ni nyimbo za maombolezo na kumbukizi za ziara za The late huku watu wakigonga vyuma.


Ukisema serikali imekataza miziki katika kumbi za starehe hapo sawa lakini haijakataza tusiende kanisani kwetu kusali,kula pilau na vyombo nyumbani.

Hakuna kazi ngumu kama kumridhisha mwanadamu.😏😏
 
Kuzuia sherehe za Pqsaka kwa namna yoyote ile nikuingilia mfumo wa imani za watu, kushangilia na shamrashamra ni sehemu ya ibada kwa kufufuka kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo, tuwaachie wanadamu waomboleze kwa utashi wao na si kuwaingilia tutaleta mpasuko kwenye nchi.

Ipo tofauti ya imani na amri za jeshi la Polisi, kuingilia Uhuru wa kuabudu ni kuingilia imani za watu. Wapo watu wana sherehe zao tusiwalazimishe waache kukaa na kusherekea. Kuomboleza iwe Kati ya mtu na mtu.
Hata tusipoondoa hilo zuio mtatufanya nini ?
 
Kwani ukienda Kanisani Kusali na kurejea Kwako kisha ule Bata zote na Mkeo na Familia yako haitoshi hadi Ukazurule na Kupuyanga?

Leo Polisi wamelizuia hili kwa Maslahi mapana ya Usalama wako na hasa kutokana na Janga hili mnawaona wabaya au wanaingilia Haki za Kiimani.

Kwani hizo nchi zingine tena Kubwa tu Kiuchumi na Kijamii ambazo zimepewa Maelekezo haya haya au na zaidi Wao hawana Imani au hawajui Haki zao?

Kwani Polisi imewaambieni kuwa Zuio hili litakuwa ni endelevu kwa Sherehe nyingi tu zijazo za Kiimani hapa nchini?

Na ndiyo nyie nyie Wanafiki wakubwa Siku likitokea la kutokea mnakimbilia humu Mitandaoni kuilaumu Serikali na Jeshi la Polisi kwa Kutowajibika na Kusababisha Maafa makubwa kutokea.

Tena Mheshimiwa Rais Mama Samia akisema amridhishe kila Mtanzania atashindwa bali atupeleke hivi hivi tu Kikamanda ( Kijeshi ) mpaka tunyooke Kudadadeki.

Wakristo ( nami ni Mkristo vile vile ) tusianze sasa kutaka Kumpandikiza Mbegu ya Udini Rais Mama Samia Suluhu Hassan eti kwakuwa tu Yeye ni Muislamu na aonekane mbaya Kwetu na tumchukie.

Kama kweli Jeshi la Polisi wametoa Tangazo la Katazo hili Mimi All - Rounder nawaunga mkono 100% na tena ikiwezekana wale watakaokaidi Wakamatwe na Wapigwe sana Virungu na Warukishwe Vichurachura hadi Wakome.

Waswahili tuacheni Unafiki na Ubinafsi.
Kama mnahofia Corona kwanini mliruhusu ule umati kumuaga magufuli ? Kwani hamkufikiria kuhusu janga la Corona?
 
Na ndiyo nyie nyie Wanafiki wakubwa Siku likitokea la kutokea mnakimbilia humu Mitandaoni kuilaumu Serikali na Jeshi la Polisi kwa Kutowajibika na Kusababisha Maafa makubwa kutokea.
Hivi ile iliyotokea pale Mkapa stadium ya kumuaga magufuli si ni shereha ? na akaondoka na familia ya watu kadhaa waliokanyagana na kusababisha vifo sababu ya kumuaga hayati Jiwe.

Polisi hawakuwajibika kabisa.
 
Back
Top Bottom