Nashauri Polisi waondoe zuio la sherehe siku ya Pasaka, imani hailinganishwi na chochote

Nashauri Polisi waondoe zuio la sherehe siku ya Pasaka, imani hailinganishwi na chochote

Mimi lazima nifanye sherehe kushangilia kumbukumbu ya ufufuko wa mwokozi wangu.
 
Tanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
 
Kwa hiyo hata mechi ya simba na vital .mugalu akifinga tusishangilie duuuu
 
Kuzuia sherehe za Pqsaka kwa namna yoyote ile nikuingilia mfumo wa imani za watu, kushangilia na shamrashamra ni sehemu ya ibada kwa kufufuka kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo, tuwaachie wanadamu waomboleze kwa utashi wao na si kuwaingilia tutaleta mpasuko kwenye nchi.

Ipo tofauti ya imani na amri za jeshi la Polisi, kuingilia Uhuru wa kuabudu ni kuingilia imani za watu. Wapo watu wana sherehe zao tusiwalazimishe waache kukaa na kusherekea. Kuomboleza iwe Kati ya mtu na mtu.
Naunga mkono hoja.
 
Kwani ukienda Kanisani Kusali na kurejea Kwako kisha ule Bata zote na Mkeo na Familia yako haitoshi hadi Ukazurule na Kupuyanga?

Leo Polisi wamelizuia hili kwa Maslahi mapana ya Usalama wako na hasa kutokana na Janga hili mnawaona wabaya au wanaingilia Haki za Kiimani.

Kwani hizo nchi zingine tena Kubwa tu Kiuchumi na Kijamii ambazo zimepewa Maelekezo haya haya au na zaidi Wao hawana Imani au hawajui Haki zao?

Kwani Polisi imewaambieni kuwa Zuio hili litakuwa ni endelevu kwa Sherehe nyingi tu zijazo za Kiimani hapa nchini?

Na ndiyo nyie nyie Wanafiki wakubwa Siku likitokea la kutokea mnakimbilia humu Mitandaoni kuilaumu Serikali na Jeshi la Polisi kwa Kutowajibika na Kusababisha Maafa makubwa kutokea.

Tena Mheshimiwa Rais Mama Samia akisema amridhishe kila Mtanzania atashindwa bali atupeleke hivi hivi tu Kikamanda ( Kijeshi ) mpaka tunyooke Kudadadeki.

Wakristo ( nami ni Mkristo vile vile ) tusianze sasa kutaka Kumpandikiza Mbegu ya Udini Rais Mama Samia Suluhu Hassan eti kwakuwa tu Yeye ni Muislamu na aonekane mbaya Kwetu na tumchukie.

Kama kweli Jeshi la Polisi wametoa Tangazo la Katazo hili Mimi All - Rounder nawaunga mkono 100% na tena ikiwezekana wale watakaokaidi Wakamatwe na Wapigwe sana Virungu na Warukishwe Vichurachura hadi Wakome.

Waswahili tuacheni Unafiki na Ubinafsi.
Wewe ni Mkristo wa wapi labda?
Kwahiyo mwaka huu pasaka ikisherekewa italeta maafa...aaaah aisee basi itakua sawa ata Chrimass nk watu wasisherekee maana zitaleta majanga..
Ila wabunge washangilie,wapige vigelegele nk..Mtu mweusi ni mweusi tu
 
Kwani ukienda Kanisani Kusali na kurejea Kwako kisha ule Bata zote na Mkeo na Familia yako haitoshi hadi Ukazurule na Kupuyanga?

Leo Polisi wamelizuia hili kwa Maslahi mapana ya Usalama wako na hasa kutokana na Janga hili mnawaona wabaya au wanaingilia Haki za Kiimani.

Kwani hizo nchi zingine tena Kubwa tu Kiuchumi na Kijamii ambazo zimepewa Maelekezo haya haya au na zaidi Wao hawana Imani au hawajui Haki zao?

Kwani Polisi imewaambieni kuwa Zuio hili litakuwa ni endelevu kwa Sherehe nyingi tu zijazo za Kiimani hapa nchini?

Na ndiyo nyie nyie Wanafiki wakubwa Siku likitokea la kutokea mnakimbilia humu Mitandaoni kuilaumu Serikali na Jeshi la Polisi kwa Kutowajibika na Kusababisha Maafa makubwa kutokea.

Tena Mheshimiwa Rais Mama Samia akisema amridhishe kila Mtanzania atashindwa bali atupeleke hivi hivi tu Kikamanda ( Kijeshi ) mpaka tunyooke Kudadadeki.

Wakristo ( nami ni Mkristo vile vile ) tusianze sasa kutaka Kumpandikiza Mbegu ya Udini Rais Mama Samia Suluhu Hassan eti kwakuwa tu Yeye ni Muislamu na aonekane mbaya Kwetu na tumchukie.

Kama kweli Jeshi la Polisi wametoa Tangazo la Katazo hili Mimi All - Rounder nawaunga mkono 100% na tena ikiwezekana wale watakaokaidi Wakamatwe na Wapigwe sana Virungu na Warukishwe Vichurachura hadi Wakome.

Waswahili tuacheni Unafiki na Ubinafsi.
Wewe ni Mkristo wa wapi labda?
Kwahiyo mwaka huu pasaka ikisherekewa italeta maafa...aaaah aisee basi itakua sawa ata Chrimass nk watu wasisherekee maana zitaleta majanga..
Ila wabunge washangilie,wapige vigelegele nk..Mtu mweusi ni mweusi tu
 
Kwani ni lini lilitangazwa halipo nchini?
kwahiyo unataka kusema impact yake hilo dude ipo tu wakati wa mikusanyiko ya sikukuu ila haikuwepo wakati wa mikusanyiko ya maombolezo?

we jamaa huwa unajikuta una busara sana kumbe empty headed..Elewa tangazo lililotolewa na polisi halijahusisha ishu hiyo nyingine unayoisema..zuio limetolewa kupisha maombolezo kitu ambacho hakiko sawa kwa namna moja ama nyingine...

Mwendazake kashatangulia, taifa liliomboleza ila mwendazake hajawahi kuwa na hawezi kuwa mkubwa zaidi ya imani za watu..

wewe kuwa mkirisito kama ulivyosema kule juu kwenye comment yako uchwara, hakujustify hili zuio....
 
Sie wakristo yetu ni ibada, hizo shangwe zipo kwenye kanisa gani?

Tangu lini wewe umekuwa msemaji wetu sisi wakristo?
Sisi wakristo pasaka ni ibada ya Shangwe hata kanisani huwa ni kusherehekea kufufuka kwa Bwana Yesu,hii huwa ni ibada ya kushangilia zaidi,kwahio tuache kusherehekea kufufuka kwa Mkombozi wa Ulimwengu tuomboleze kifo cha mtu?
 
Polisi wanataka kumchonganisha Mama na Wakristo,hii ni hujuma kabisa kwa awamu ya sita. Sukuma Gang wameamua kuivuruga nchi
 
Kuzuia sherehe za Pqsaka kwa namna yoyote ile nikuingilia mfumo wa imani za watu, kushangilia na shamrashamra ni sehemu ya ibada kwa kufufuka kwa Mwokozi wetu Yesu Kristo, tuwaachie wanadamu waomboleze kwa utashi wao na si kuwaingilia tutaleta mpasuko kwenye nchi.

Ipo tofauti ya imani na amri za jeshi la Polisi, kuingilia Uhuru wa kuabudu ni kuingilia imani za watu. Wapo watu wana sherehe zao tusiwalazimishe waache kukaa na kusherekea. Kuomboleza iwe Kati ya mtu na mtu.
Sifa mama kristo huwa hatetewi, hujitetea mwenywe ikiwa mnataka kusadiki yale maneno aliyosema kuwa yeye ni BWANA wa mabwana basi nyamazeni kimya. Na pili alituasa lieni na wanao lia furahini na wanafurahi inatupasa kufahamu hilo pia. Kifupi kasirika lkn usitende zambi kama sayansi ya biblia inavyoelekeza.
 
Jeshi la polisi wanapokea maelezo toka kwa nani yakuwaelekeza wananchi! Huyo anaye toa maelekezo yeye sio mkristo, tunalazimishwa kuhuzunika badala ya furaha
 
Mnataka kufanya mikusanyiko ilhali kuna Corona? Hamuogopi kuambukizana? Tulieni majumbani mwenu mpike pilau mvimbiwe.
 
Back
Top Bottom