Tena usije kuta yuko pabaya huko anakula vitasa akiulizwa "huyu Ben na Azory na yule kwa nini uliwaleta huku kwani kazi yako?"Utawala wa hovyo kabisa, tuache kusherekea sababu ya mtu ambaye tayari hatunaye?
Mkuu tukija kwenye uhalisia tena kwa haki kabisa.pita maeneo mengi tu yaani baada ya kuzika tu kesho yake sehemu za starehe walianza kupiga miziki tena kwa sauti tu.juzi nilitoka bukoba nikapita morogoro samaki samaki usiku wa saa saba hivi na Basi ya frester tukakuta watu wanapiga muziki kwa sauti kubwa Kama kina sherehe. Alafu leo uzuie sherehe za pasaka kweli?Very true
Wakati mnaaga marehemu korona haikuweza kuambukiza?Mnataka kufanya mikusanyiko ilhali kuna Corona? Hamuogopi kuambukizana? Tulieni majumbani mwenu mpike pilau mvimbiwe.
Umesoma nilichoandika? Naona kiswahili changu kigumu.Unaishi wapi kwenye kelele? Mi ninapoishi hata wacheze simba na yanga goal likafungwa huwezI sikia kelele za mtaani
Sie tuna upako wa Mungu, nyie tulieni ndani kwenu msije kufa kwa CoronaWakati mnaaga marehemu korona haikuweza kuambukiza?
Kumbe Yesu unamjua ila basi tu huwa unakaza ubongoTanzania ina viongozi wajinga sana!Huwezi kuingilia masuala ya imani za watu!!They are very stupidy!Ina maana Magufuli ni mkubwa na ni mkuu kuliko Yesu ambae anatarajia kufufuka siku ya Pasaka?!
Kwani mimi kumjua Yesu ni lazima nimfuate na kumtii?Kwani wewe humjui mtume Mohamadi?Unamfuata na kumtii?Kumbe Yesu unamjua ila basi tu huwa unakaza ubongo
Kama humtii mbona povu lakutoka?Kwani mimi kumjua Yesu ni lazima nimfuate na kumtii?Kwani wewe humjui mtume Mohamadi?Unamfuata na kumtii?
Povu limenitoka kwa sababu huwa naheshimu imani za watu wengine.Sipendi imani za watu wengine zisiheshimiwe.Kama humtii mbona povu lakutoka?
Siku ukimjua utamfuata?Kwa sababu umedai kuwa namjua yesu kwa hiyo huwa namfuata!Huyo uliyemtaja mimi simjui.