Kwa mapema namna hii Rais wa Nchi kutegemea mitandao ya kijamii kutoa maamuzi ni janga...!
Rais ni taasisi inayopaswa iwe imara na isiyoyumba kwa maamuzi yake.Rais kutamka eti amelala saa 10 kwa sababu alikuwa anafuatilia mitandao ya kijamii inasema nini kuhusu uteuzi wake ni AIBU YA KARNE!
Kwa hakika ya nafsi yangu naanza kuingiwa na mashaka kumhusu kiongozi wetu huyo mpya hasa kwa yeye kutegemea mijadala isiyo rasmi kuamua kipi afanye.
Mungu ibariki Tanzania!
Wewe unatumia nini wakati huu? Yaani mnataka wananchi wawe updated na teknolojia lakini viongozi wabaki analojia?Kwa mapema namna hii Rais wa Nchi kutegemea mitandao ya kijamii kutoa maamuzi ni janga...!
Rais ni taasisi inayopaswa iwe imara na isiyoyumba kwa maamuzi yake.Rais kutamka eti amelala saa 10 kwa sababu alikuwa anafuatilia mitandao ya kijamii inasema nini kuhusu uteuzi wake ni AIBU YA KARNE!
Kwa hakika ya nafsi yangu naanza kuingiwa na mashaka kumhusu kiongozi wetu huyo mpya hasa kwa yeye kutegemea mijadala isiyo rasmi kuamua kipi afanye.
Mungu ibariki Tanzania!
...2025 yenyewe hawezi kuwa mgombea, utaikumbua hii sentensi yangu.Rais Samia Suluhu Hassan mpaka 2035
Amesahau kuna kiongozi wa kabila lake alikuwa anasoma meseji za wake za watu na kuzitoa hadharani?Uyo anavofanya mbona kawaida, Kuna kiongozi alikw anatoka usiku kupita majumbani kimyakimya kusikiliza manunguniko tu, kisha anajua watu wake wanataka nn.
Raisi lazima awe msikivu, na karne hii watu wanaongeza mitandaoni. Kwahiyo hana kosa hapo zaidi ya kutekeleza wajibu wake.
Mipango ya Mungu haitabiriki.Rais Samia Suluhu Hassan mpaka 2035
Bora umemjibu kama hivi mjinga huyuMse nge kweli ww... Kwahiyo wewe hapa upo kwenye mtandao wa matako yako...
Mafashisti anga limewakataaKwa mapema namna hii Rais wa Nchi kutegemea mitandao ya kijamii kutoa maamuzi ni janga...!
Rais ni taasisi inayopaswa iwe imara na isiyoyumba kwa maamuzi yake.Rais kutamka eti amelala saa 10 kwa sababu alikuwa anafuatilia mitandao ya kijamii inasema nini kuhusu uteuzi wake ni AIBU YA KARNE!
Kwa hakika ya nafsi yangu naanza kuingiwa na mashaka kumhusu kiongozi wetu huyo mpya hasa kwa yeye kutegemea mijadala isiyo rasmi kuamua kipi afanye.
Mungu ibariki Tanzania!
Tena ya moyoni yasio na chembe ya unafiki,wala hofu ya kusakwa kama ilivyo kuwa hapo awali,japo haikuwa yote iliyowaficha wachangiaji. Kwa jf sikuwahi kuwa na shaka, tuendapo Naona unafiki uliotokana na hofu ya kusakwa kwa kuonge utatoweka kabisa.Huko ndiko tunakotoa ya moyoni zaidi bila woga, ni vyema ukawajua vyema unaowaongoza itakusaidia sana. Hata mwenda zake alikuwa anakesha huko.
Yule mwingine, mwenda zake alitaka kuzuia kabisa mitandao, magazeti, macho msione(You Tube)!Kwa mapema namna hii Rais wa Nchi kutegemea mitandao ya kijamii kutoa maamuzi ni janga...!
Rais ni taasisi inayopaswa iwe imara na isiyoyumba kwa maamuzi yake.Rais kutamka eti amelala saa 10 kwa sababu alikuwa anafuatilia mitandao ya kijamii inasema nini kuhusu uteuzi wake ni AIBU YA KARNE!
Kwa hakika ya nafsi yangu naanza kuingiwa na mashaka kumhusu kiongozi wetu huyo mpya hasa kwa yeye kutegemea mijadala isiyo rasmi kuamua kipi afanye.
Mungu ibariki Tanzania!