Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
- Thread starter
- #121
Kwa hiyo ukuu wa mkoa atakaa nao mileleKabla hata ya kutangaza kugombea Magu alisema, ukiacha cheo chako na kwenda kugombea ubunge ukikosa hurudi kwenye nafasi yako. Na kweli alipokosa nafasi ya kugombea ubunge ndio ikawa basi.
Hilo sio kwakwe tu, hata Kipi Warioba yalimkuta. Hata hivyo baada ya uchaguzi Magu hakufikisha hata miezi 6 akafariki, huenda angemrudisha pia.