Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla hata ya kutangaza kugombea Magu alisema, ukiacha cheo chako na kwenda kugombea ubunge ukikosa hurudi kwenye nafasi yako. Na kweli alipokosa nafasi ya kugombea ubunge ndio ikawa basi.Aliposhindwa ubunge Jiwe akamuweka kando! Ndio akaanza utapeli wa kuwafuata matajiri na ku waambia eti ametumwa na Magu wamjengee nyumba!! Kama mtakumbuka Makonda alikuwa na kesi ya kiwanja na wamanga fulani alitaka kuwadhulumu kiwanja!
Nipo na zaidi ya nusu karne duniani; narudia tena; Magufuli alimpiga chini Makonda? Lini? And how?Wewe umezaliwa jana??
Huo muda wa kuanza kukusimulia wewe peke yako sina.Nipo na zaidi ya nusu karne duniani; narudia tena; Magufuli alimpiga chini Makonda? Lini? And how?
Umedanganya mkuu; Makonda hakufukuzwa na Magufuli. Makonda kama mzee, "engineer, soma hiyo" wote walikwenda kugombea ubunge na wakaukosa and automatic (kwa utaratibu/sheria ya wakati ule ) wakajikuta hawana kazi. Nakukumbusha tuHuo muda wa kuanza kukusimulia wewe peke yako sina.
Wala asiondoke mtu. Gambosh tunamkumbuka naye alipokuwa RCJoto la siasa mkoa wa Arusha hasa Arusha mjini limeanza kuchomoza kwa Kasi lakini kwa hulka ya Paul m
Makonda na Mrisho Gambo mambo yatakuwa mabaya sana
! Inaonekana Makonda amesahau kwamba yeye ni mkuu wa mkoa ,anataka afanye kazi zote na za kibunge pia !
Makonda pia ni kama anadhani Yuko juu ya mbunge na mbunge anaona yeye Yuko juu ya mkuu wa mkoa ! Makonda kateuliwa na rais gambo kateuliwa na wananchi !! Nani anastahili ?
Mafahari Hawa mmoja aondoke tumwache aliyeteuliwa na wananchi afanye kazi zake !Kuna mazingira pia ya kukwamishana na kutaka kuonyesha Mimi ni zaidi ushauri wangu makonda aende mkoa mwingine kama anataka ubunge asubiri muda ukifikaam
Tukiwa Kolomije.Mlikuwa mnatuambia nyinyi mkiwa wapi?
Kumbe kimeumana kweli !Mwenyekti wa ccm mkoa wanArusha kasema tamko la madiwani ni BATILI.. Ni makosa kisheria ...mbunge anaingiliwa kazi zake aachwe amalizie mda wake
Ningesema RC awe ni mtu wa kuchaguliwa na wananchi wa mkoa mzima!Hivi kwa nini cheo cha mkuu wa mkoa kisingefutwa kabisa!!!
Ikabaki, ukiwa mbunge ndio unakua mkuu wa mkoa(kwanza itasaidia hata wabunge wawe wanakaa mikoani huko).
Wale sio wa kubadilika zile ni tabia ambazo huenda hata ziko kwenye damu,ushamba mwingi na kupenda sifa.Wataalam wa kuigiza hawa,huwezi kuwafahamu kama sio mchunguziSawa lakini zama zimebadilika
Ila sidhani kama atajitunisha tenaKumbe kimeumana kweli !
Na Makonda sio mtu wa kutishwa na Mwenyekiti wa Mkoa 😅!
Ngoja tuone ! What is coming next .